Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,454
- 11,029
Nimekuuliza, nawe unaniuliza tena..ha haa haya bwana 😀
Ni hivi, Messi amepata 48%...Van djik 38%...Ronaldo 36%...Salah wanne
Sasa hizo kura 2 kweli zitamfanya Messi asichukue!!!!, okay ongeza zifike 10 kwa salah na bado King angechukua tu...He deserved kama kawaida yake.
Mdogo ake andunje.................
uwe unaelewa swali kabla hujajibu.