Nimekuuliza, nawe unaniuliza tena..ha haa haya bwana π
Ni hivi, Messi amepata 48%...Van djik 38%...Ronaldo 36%...Salah wanne
Sasa hizo kura 2 kweli zitamfanya Messi asichukue!!!!, okay ongeza zifike 10 kwa salah na bado King angechukua tu...He deserved kama kawaida yake.
Mdogo ake andunje.................
uwe unaelewa swali kabla hujajibu.
Jiongeze mkuu sio kila kitu utafuniwe, inamana hujui walicheza vipindi gani? Na hawakuwahi ingia hata top 5 ya contenders hata mara moja.
Wewe ndio elewa swali kabla hujajibu, ndio shida ya mswahili π akiishiwa hoja anapanic...nimekupa swali dogo tu umeshindwa kulijibu...my advice to you..Don't speak if you don't know what you're talking about!
Dogo unatumia nguvu nyingi sana kutetea ujinga.
Kifupi andunje kapewa kura ambazo hakustahili.
............