Hii hapa[emoji121]
Labda hukunielewa dada faiza kuwa uko sahihi, shida yangu ni wenzio walio wengi kusita kujitokeza hadharani kuwaambia ukweli wa zenj kuwa znz sio nchi kamili
Naomba moderator uhamishie uzi huu kwenye jukwaa la siasa ili ukumbi huu uendelee kijadili michezo.Nimefurahi na Jibu la Nape
Maaana CUF kila siku tukisema kua huu muungano una matatizo hawataki na wanatutukana tukiwaambia kua tunataka Zanzibar yenye mamlaka kamili walikua wakitutukana sasa leo sijui wanasemaje
Ukweli kua zanzibar haiwezi kua mwanachama mpaka tuwe na mamlaka kamili
Kucheza mpira mnajua?Zanzibar ni nchi ilio na internal sovereighnty . Ktk muungn zanzibar imepoteza external sovereighnty.
Nahis wanacho fanya fifa ni ukoloni mamboleo na kutaka kutugombanisha wa Tanzania.
Scotland ni sw sw na zanziba mbn wao wamewakubl na kuwa wanachama wa fifa?
Scotland ipo ktk muungano na england na tulichopoteza sisi ktk muungn ndicho walichopoteza scotland sasa kwann wao wakubaliwe sisi tusikubaliwe ? Au kwa kuwa sisi ni waafrika?
Usipotoshe umma, hivi mnapata wapi ari ya kudanganya tu. Suala likuwa Zanzibar inihoji FIIFA njia zilizotumiwa na TFF kupata usajili wa FIFA hazikuwa sahihi. Tanzania ni muunganoi wa nchi mbili, hivyo haipaswi chama cha mpira wa mshirika mmoja kuchukua mamalaka ya kumsemea mshirika mwengine,
FIFA haijasema kama Zanzibar sio nchi, na si wa pumbavu wa kusema hivyo. Nakufahamisha kilichotokea kwa faida yako na watu wenye akili zinazolingana wewe. Hivyo ndivyo Zanzibar ilivyoituhumu TFF kuvaa koti la muungano walipokwenda kuomba uanachama. Jambo hili ndio lilounda jopo kwenda Zurich ili wapate ufumbuzi, FIFA ilieleza wazi kuwa si Tanganyika wala Zanzibar kama washirika wa muungano ambayo ana haki ya kupata uanachama wa FIFA. Hivyo FIFA waliitaka TFF na ZFF kukaa pamoja na kuwafikiana na wapeleke chombo kinachokubaliwa na pande hizo mbili.Taarifa ime sema si Tanganyika wala Zanzibar itakayokubaliwa kuwa mwana chama wa kujitegemea.Tanganyika na Zanzibar hazitakuwa wanachama wa Fifa na chombo mahsusi kitakachoundwa ndio kitasimamia michezo
Uamuzi huu TFF hawakuupenda na matokeo yake kufichwa mpaka yalipotokea mabadiliko ya mfumo wa uongozi Zanzibar, na cheo cha Naibu Waziri Kiongozi kufutwa na Shamhuna kupoteza madaraka hayo. Hayo ndio yaliojiri. na hata hivyo hilio halijafa na ulipokuja mchakato wa katiba nawazanzibari kuunga mkono uwepo wa serikali tatu, hilo litajadiliwa .
Nikisema wewe ndio muongo mkubwa nitakuwa kama jamaa aliyeibiwa nguo mtoni akatoka mtupu kumfukuza mwizi, wote tutaonekana machizi.Usipotoshe umma, hivi mnapata wapi ari ya kudanganya tu. Suala likuwa Zanzibar inihoji FIIFA njia zilizotumiwa na TFF kupata usajili wa FIFA hazikuwa sahihi. Tanzania ni muunganoi wa nchi mbili, hivyo haipaswi chama cha mpira wa mshirika ....
Nkweli lakini hukweka wazi, nakusaidia " Even bofore tanganyika, ukanda wa pwani kabla ya wakoloni ilikuwa Zanzibar"Even bofore tanganyika, ukanda wa pwani na zanzibar kabla ya wakoloni ilikuwa kitu kimoja.
Uthibitisho wa kwanza " justice delayed is justice denied" Mhe. hakusema kipi kimechelewesha kutolewa uamuzi ambao tayari ulikuwa umeshatumwa na FIFA zaidi ya miaka miwili sasaNikisema wewe ndio muongo mkubwa nitakuwa kama jamaa aliyeibiwa nguo mtoni akatoka mtupu kumfukuza mwizi, wote tutaonekana machizi.
Mimi nimeleta uthibitisho huu hapa:
Sasa na we lete uthibitisho kwamba Nape na mimi tumedanganya umma.
Kama unataka jibu lako muulize marcio meksime alichoongea wakati akienda zanzibar na pia iddi kipinguKucheza mpira mnajua?
Hili jambo lazima litaingia siasa wewe sasa ulitegema jibu lije vipi wakati ushaambiwa zanzibar sio nchiNaomba moderator uhamishie uzi huu kwenye jukwaa la siasa ili ukumbi huu uendelee kijadili michezo.
Sadaka! Ndio maana nikasema lipelekwe jukwaa la siasa. Kama wangesema Zanzibar Heroes siyo timu, huu ungekuwa ndio ukumbi wake.Hili jambo lazima litaingia siasa wewe sasa ulitegema jibu lije vipi wakati ushaambiwa zanzibar sio nchi
Hujanielewa nimemaanisha nini na mimi naongea hapa hapaSadaka! Ndio maana nikasema lipelekwe jukwaa la siasa. Kama wangesema Zanzibar Heroes siyo timu, huu ungekuwa ndio ukumbi wake.
Kama sijakuelewa basi ni kwa bahati mbaya. Naamini wewe umenielewa.Hujanielewa nimemaanisha nini na mimi naongea hapa hapa
Hiyo haiwezi kuwa sababu ya Zanzibar kutokua nchiKinondoni inaweza izidi Zanzibar watu