Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio umemaliza sio hawa wanasema tu picha pichaaaa hawatoi vigezo matokeo yke kaleta tu picha yupo na mama yke sijui bibi yule tena anatutazama badala ya kugeukia ukutani yaani chochote cha maana ageuke tuone kweli? au mtoa mada tu ana yake!Uzi hautekelezeki bila picha ya FIFI, tena hatutaki picha akiwa amekaa tunataka asimame tena asituangalie
Yaani sijaona chochote cha maanaWewe ndio umemaliza sio hawa wanasema tu picha pichaaaa hawatoi vigezo matokeo yke kaleta tu picha yupo na mama yke sijui bibi yule tena anatutazama badala ya kugeukia ukutani yaani chochote cha maana ageuke tuone kweli? au mtoa mada tu ana yake!
hapo FIFI ni yupi?View attachment 1482061
Huyo wa kulia mwanzo alovaa tisheti
Bongo movies kukua kazi sana,uzuri unathaminiwa kuliko talent.Mwisho wa siku tasnia inakosa ubunifu sababu wahusika sio talented.
nywele ndefuhapo FIFI ni yupi?
Bongo tuna kosea sana,wasichana wa bongo movie walio ingia kuanzia 2010 mpaka hivi sasa 95% hawajui kuigiza ila uzuri wao ndio umewapa nafasi ktk tasnia hii.Unamfahamu maxrioba? Jamaa ni multi talented as anafanya vitu vingi katika ubora lakini sikutegemea kama angerudia kosa lile lile linalofanywa na bongomuvi wengi. Ana series yake inaitwa WE MEN, wengi tulitegemea utofauti wa mambo mengi ambayo kiukweli kajitahidi sana ingawa amefanya kosa lile lile la kuchagua wasichana sijui kwa kigezo cha uzuri au lah, kati ya waigizaji wake wote wa kike nafikiri ni Wema Sepetu tu ndiye anayeweza kuingiza vizuri (japo mi si mshabiki wake siwezi kukataa ukweli kuwa wema anajitahidi sana katika kuigiza) Wengine aliowarecruit ni tatizo sana, very fake, wamekosa kuwa natural kwenye kuigiza wanakera na kuboa, na yupo kaka mmoja mweupe hivi naye ni tatizo sana. Ukiwaangalia uigizaji wao ni kama kuna ombwe fulani hivi kwenye actions, ni kama kuna muda muigizaji hajui chakufanya....
Hivi wenzetu waliofanikiwa katika movie industry wanawezaje “kuigiza bila kuigiza”? Hii inasababishwa na waigizaji wenyewe au Directors?
Eewah [emoji3][emoji3]
naona unawaita malaya waliokubuhuEthinical Ninjah CEH ,mrangi ,anasbo ,bullar na crew yetu wote njooni this way tuna mada mezani[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app