Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
D.Trump katoa hii, Fight for Trump, save Amerika - save the World, ...
Ni rahisi zaidi kucheza ukiwa nje ya uwanja.Jamaa ni mzee lakini ana akili za kitoto sana
Jamaa ni mzee lakini ana akili za kitoto sana
Kawaambukiza mpaka mashabiki wake yaani ni ujinga ujinga, Fight yake eti anajifanya Fight for the world. Mjinga kabisa huyu.Jamaa ni mzee lakini ana akili za kitoto sana
Mkuu ushaidi uko wapi?Democrats wanaiaibisha sana marekani, Yani kweli wameiba kura wazi wazi hivi 😟😟 Hapana kwakweli, Trump ndie raisi mwenye kura halali ukiachana na zile feki za biden
Yaani trump atajua kama hajui. Aliwekeza Sana kwa WAYAHUDI kuliko kwa wamarekani waliompigia kura. Sasa atavuna alichopanda.Babu (Trump) haamini kama anaondoka White house mwakani.
Mkuu una akili kweli wewe (in joti's voice)Yaani trump atajua kama hajui. Aliwekeza Sana kwa WAYAHUDI kuliko kwa wamarekani waliompigia kura. Sasa atavuna alichopanda.
Fight for the world of Trumpet.Kawaambukiza mpaka mashabiki wake yaani ni ujinga ujinga, Fight yake eti anajifanya Fight for the world. Mjinga kabisa huyu.
Achana na mambo ya trumpD.Trump katoa hii, Fight for Trump, save Amerika - save the World, ...
Ameshaelewa, Ila anachangisha pesa ili aweze kulipa madeni yake, Baada ya Senate Majority Leader Mzee Mitch kumtambua Biden hadharani ndio ulikuwa Mwisho wa Claims za Trump, Alipoanza malalamiko yake ya kudai ana ushaidi na kutaka kwenda Mahakamani walimkubalia na kumwacha afanye hivyo, uko Mahakamani amejikuta hana ushahidi.Trump kama Trump hajashindwa bado
Mbona hataki kuelewa??
☺💣💥