Fight Night: Anthony Joshua ampiga kwa points Joe Parker

Fight Night: Anthony Joshua ampiga kwa points Joe Parker

Mechi inaisha kwa t.k.o joshua anashinda kwa sabb zfuatazo,,,,power punches,stamina,combination of punches na sahv amepunguza uzito sana kwnye hili pambano compared na mapambano ya nyuma so tutegemee atakua na speed zaidi uck wa leo ukijumlisha na physical appearance anashindaa kwa kishindo zaidi ya huyo samoa
Wewe humjui Parker wewe ndio maana unajiropokea tu
 
Baada ya pambano mtakuja ooh dogo kapigwa ila mechi ilikua ngumu kwa a.j,,,oooh kwa mchezo tulioona hawez shinda kwa wilder haterz hahahha
 
Ningependa kujua pambano litarushwa live kwenye channel gan, nimeangalia tv schedule ya dstv hawaonyeshi.
 
JAMANI NDONDI ZA HUYU MZEE WA "NGUMI JIWE" ZINAONYESHWA NA CHANNEL GANI MAANA KWENYE RATIBA INAOSHESHA INACHEZWA SAA 5 KAMILI LEO USIKU?
Anthony-Joshua-012.jpg
 
The fight will be broadcast live on Sky Sports Box Office.

It will cost £19.95 up to midnight on Friday March 30 - ie the day before the fight - but will go up to £24.95 for telephone bookings on the day of the fight. Online and remote control bookings will remain £19.95.

Big fight betting guide and recommended bet >>Best betting offers including AJ to win in rounds 1-3 boosted to 10/1 >>How do I book?

You can book online by clicking here.

To stream the fight, you can order online here and then watch it at the same link, or download the Sky Sports Box Office app.

And to order on the phone, you need to call 03442 410888 (0818 220 225 from ROI). Telephone bookings may incur a £2 fee, while the fight goes up to £24.95 when purchased this way on the day.

What are they saying?

Joseph Parker on Saturday's fight

"The All Blacks always do great here in Wales so I'm looking forward to keeping that record clean."

"I think some of the things our team have said has got under his skin, he looks a little angry and tense. We're excited but it's a controlled excitement."

He added: "Klitschko's a great fighter and a great champion who we respect, but Klitschko's Klitschko. I'm Joseph Parker and a different story altogether. I'm young, hungry, fit and strong. I've got my speed back and I'll show you on Saturday."

And when asked whether he had a message for his opponent on Saturday, Parker added: "I'll see you soon, let's go to war!"

Anthony Joshua on talking to Wladimir Klitschko's trainer

Anthony Joshua has insisted it will take 'more than a human' to stop him CREDIT: PA

"I'm finding ways to improve and new ways to get better," Joshua said. "I chat to Johnathon Banks a lot, a friendship which developed from when I trained with Klitschko as a sparring partner. I use the conversations as a way to speak to Klitschko.

"'How did he forever want to improve?' - I ask these questions. He told me they worked a lot on his jab and his movement before the fight with me. It's humbling to know that he got beat a few times and managed to come back."

Joseph Parker on Tyson Fury joining his ring walk

I might give him a text and say, ‘Bro, do you want to walk in with me?'

He may just walk in with me or he may just sit in the front row and watch the fight. But I know I have a lot of support from Tyson, which is awesome.

Anthony Joshua on Tyson Fury's possible cameo

Anthony Joshua believes Tyson Fury's cameo would be 'good for boxing' CREDIT: PA

It's good. It brings attention to the sport It will be interesting because I am sure Fury will try and do a little tag-team and do a few rounds for him. He's just got that in his locker.

No matter what he says outwardly, he has a lot of underlying respect for me and that's just as a far as I know but I just take it with a pinch of salt. "I don't take anything from him to heart and if he wants he is welcome to walk to the ring.

What are the latest odds?Big fight betting guide and recommended bet >>Best odds including AJ to win in rounds 1-3 boosted to 10/1 >>

Anthony Joshua 1/6

Joseph Parker 9/2

Draw 33/1

And what do you think?
 
Anthony Joshua kama leo akishinda atakuwa amechukua mikanda minne kati ya mitano ya ubingwa wa dunia! Mkanda utaobakia wa WBC upo kwa Deontay Wilder.

Kama akichukua na huo atakuwa undisputed heavyweight champion of the world ikiwa ni mara ya kwanza kwa bondia kutoka UK baada ya Lennox Lewis miaka ya mwanzoni ya 2000.
 
Nimeshaa jaribu kutafuta kila mahala wajama wamebana. Ukikuta live streaming unatakiwa ujisajili halafu uweke visa namba ""angameshtuka msee!!!!" nasubiri tuu kesho kwenye magazeti sina ujanja hapo ndipo uafrika unapokuwa mchungu unatamani kitu lakini kila ukifurukuta unagonga mwamba
 
Nimeshaa jaribu kutafuta kila mahala wajama wamebana. Ukikuta live streaming unatakiwa ujisajili halafu uweke visa namba ""angameshtuka msee!!!!" nasubiri tuu kesho kwenye magazeti sina ujanja hapo ndipo uafrika unapokuwa mchungu unatamani kitu lakini kila ukifurukuta unagonga mwamba
Download 1xbet af kujiunga ni email na phone # utaona live streaming zote dunian
 
Jamaa balaa ...hili pambano hulioni bila kulipia dadadeki .....huko you tube watu wanahangaika tu ....noma sana ...
 
Back
Top Bottom