Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Huyu AJ ana asili ya Nigeria? His superb athleticism makes one wanna make that kind of observation.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hv huyo Joshua kwa nn asiwekewe mtu kama myweather au manpakiao ili tujue kama yeye ni kidume kweli
Hoja imewekwa kwenye jukwaa LA habari na hoja mchanganyiko sio jukwaa LA wadau wa ngumi, hivyo kila m2 ana Uhuru wa kuchangia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
We jamaa unaonekana sio mdau wa ngumi kabisa kwa hii comment yako. Nimecheka sana!
Sawa lakini mchango ulivyo kituko ndio ulionichekesha.Hoja imewekwa kwenye jukwaa LA habari na hoja mchanganyiko sio jukwaa LA wadau wa ngumi, hivyo kila m2 ana Uhuru wa kuchangia
[emoji13] OK ngoja tucheke wote,pasaka njemaSawa lakini mchango ulivyo kituko ndio ulionichekesha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hv huyo Joshua kwa nn asiwekewe mtu kama myweather au manpakiao ili tujue kama yeye ni kidume kweli
Ahsante sana Mwl. Kashasha,Mechi inaisha kwa t.k.o joshua anashinda kwa sabb zfuatazo,,,,power punches,stamina,combination of punches na sahv amepunguza uzito sana kwnye hili pambano compared na mapambano ya nyuma so tutegemee atakua na speed zaidi uck wa leo ukijumlisha na physical appearance anashindaa kwa kishindo zaidi ya huyo samoa