Figisu dhidi ya CHADEMA zashika kasi, RC Mwanza apiga marufuku mikusanyiko

Figisu dhidi ya CHADEMA zashika kasi, RC Mwanza apiga marufuku mikusanyiko

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Hali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!

Ukumbuke Chadema wamepanga kufanya kongamano la Mjadala wa Katiba Mwanza.

Kwa akili za RC mikusanyiko ya Mazishi na ibada huwa Virusi vya Covid-19 vinakaa nje kwanza hadi wamalize ibada.

Waoga sana sana
 
#Breakingnews
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima mkoani humo katika jitihada za kudhibiti Ugonjwa wa Covid 19."tutaruhusu misiba tu na ibada". "Hakuna kusanyiko lolote bila kuwa na kibali Mwanza" https://t.co/CkxQGvPd9K
 
Hali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!

Ukumbuke Chadema wamepanga kufanya kongamano la Mjadala wa Katiba Mwanza.

Kwa akili za RC mikusanyiko ya Mazishi na ibada huwa Virusi vya Covid-19 vinakaa nje kwanza hadi wamalize ibada.

Waoga sana sana
Hakuna cha kongamano wala upuuzi mwingine wowote.Hiyo ni marufuku
 
#Breakingnews
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima mkoani humo katika jitihada za kudhibiti Ugonjwa wa Covid 19."tutaruhusu misiba tu na ibada". "Hakuna kusanyiko lolote bila kuwa na kibali Mwanza" https://t.co/CkxQGvPd9K
Covid guidelines zinatolewa na wizara siyo mkuu wa mkoa.
 
Hii delay tactic wala haisadii, tena inamharibia rais Samia maana wananchi watatafsiri kuwa anatumia Corona kama kisingizio cha kisiasa tu!

Kwa hiyo measures zoote atakazotangaza dhidi ya Korona raia wataona ni siasa!

Mkuu wa mkoa anaweza kujiona ana akili lakini kumbe anakwaza mapambano dhidi ya Corona kwa kiwango kikubwa sana, kwa sababu agizo lake lina motive ya siasa ndani yake na si kwa dhati ya kupambana na Korona

Haya madudu ambayo wateule wa rais wanafanya unfortunately lawama zinarudi kwa Samia, kwa sababu tunahisi amebariki dhuluma zao!
 
Hii delay tactic wala haisadii, tena inamharibia rais Samia maana wananchi watatafsiri kuwa anatumia Corona kama kisingizio cha kisiasa tu!

Kwa hiyo measures zoote atakazotangaza dhidi ya Korona raia wataona ni siasa!

Mkuu wa mkoa anaweza kujiona ana akili lakini kumbe anakwaza mapambano dhidi ya Corona kwa kiwango kikubwa sana, kwa sababu agizo lake lina motive ya siasa ndani yake na si kwa dhati ya kupambana na Korona

Haya madudu ambayo wateule wa rais wanafanya unfortunately lawama zinarudi kwa Samia, kwa sababu tunahisi amebariki dhuluma zao!
Umeiweka kitaalam sana sana! Wapuuzi hawataelewa watajiona wameshinda ila itakuja ku-backfire vibaya saana
 
#Breakingnews
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima mkoani humo katika jitihada za kudhibiti Ugonjwa wa Covid 19."tutaruhusu misiba tu na ibada". "Hakuna kusanyiko lolote bila kuwa na kibali Mwanza" https://t.co/CkxQGvPd9K
Amesema mikusanyiko isiyo ya lazima, katiba ni ya lazima
 
Back
Top Bottom