Figisu dhidi ya CHADEMA zashika kasi, RC Mwanza apiga marufuku mikusanyiko

Figisu dhidi ya CHADEMA zashika kasi, RC Mwanza apiga marufuku mikusanyiko

Umeiweka kitaalam sana sana! Wapuuzi hawataelewa watajiona wameshinda ila itakuja ku-backfire vibaya saana
Fanyeni kongamano acheni mbwembwe 🤣🤣🤣🤣

Ingieni barabarani mpaka kieleweke.
 
Mbowe kama anataka mikusanyiko aanzie kwao huko Kilimanjaro kwanza,tuone kama atapata watu...

Kuna wimbi la tatu la Covid 19,kaka yake kafarik sasa anataka nani afe Ili azid kuamin kuwa huu ugonjwa haujitaji masihara
Mbona mkiambiwa chanjo mnagoma, leo tangu wimbi la tatu limeingia, serikali imeweka mikakati gani angalau Kama ile ya kipindi Cha kwanza kwenye jamii?maana
Kama magari yanajaa,VITAKASA MIKONO na maji tiririka kila sehem hatuoni Kama mwanzo, msisitizo wa barakoa hamna, Mnakimbiza mwenye, uko watu wanakusanyika Kama kawa, Sasa kongamano la chadema ndo inakua nongwa?

Na Kama kongamano la chadema ambalo wamekua wakichukua taadhali zote kujikinga, vipi MIKUTANO ya ccm mbona hata sion wakifanya vile,?

Nawambieni taifa tulipo KWA Sasa viongozi wanaitaji tumia busara Sana kuliko mabavu, na ushabiki, sio wakati mzuri mno wa dhiaka KWA makundi mengine kisa umeshika dola, hatufiki KWA mtindo huu
 
#Breakingnews
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima mkoani humo katika jitihada za kudhibiti Ugonjwa wa Covid 19."tutaruhusu misiba tu na ibada". "Hakuna kusanyiko lolote bila kuwa na kibali Mwanza" https://t.co/CkxQGvPd9K
Acheni na Tozo za miamala corona iishe kwanza.
 
Mbona mkiambiwa chanjo mnagoma, leo tangu wimbi la tatu limeingia, serikali imeweka mikakati gani angalau Kama ile ya kipindi Cha kwanza kwenye jamii?maana
Kama magari yanajaa,VITAKASA MIKONO na maji tiririka kila sehem hatuoni Kama mwanzo, msisitizo wa barakoa hamna, Mnakimbiza mwenye, uko watu wanakusanyika Kama kawa, Sasa kongamano la chadema ndo inakua nongwa?

Na Kama kongamano la chadema ambalo wamekua wakichukua taadhali zote kujikinga, vipi MIKUTANO ya ccm mbona hata sion wakifanya vile,?

Nawambieni taifa tulipo KWA Sasa viongozi wanaitaji tumia busara Sana kuliko mabavu, na ushabiki, sio wakati mzuri mno wa dhiaka KWA makundi mengine kisa umeshika dola, hatufiki KWA mtindo huu

Chanjo ni hiyar ya mtu,huwez kunilazimisha,

Pia huwez lazimisha mikutano Ili hali unajua fika maradhi haya yanasambaa kwa hiyo mikusanyiko,hiyo siyo akili
 
Hali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!

Ukumbuke Chadema wamepanga kufanya kongamano la Mjadala wa Katiba Mwanza.

Kwa akili za RC mikusanyiko ya Mazishi na ibada huwa Virusi vya Covid-19 vinakaa nje kwanza hadi wamalize ibada.

Waoga sana sana
Safi kabisa ,sasa yule TONDO aka Mbowe arudi tu machame kupumzika ,mjinga mkubwa
 
Yeye alikuwa anakagua Mirad ya maendeleo,na usisahau yule ni president
Sasa president, kisa kukagua miradi ya maendeleo wafikili Corona inamuogopa? tunachosema ni kwamba tuamue Kama taifa hakuna mikusanyiko yoyote, hakuna Cha president, tena ambaye ni kiongonzi wa taifa,

Vinginevyo acheni jificha kwenye kivuli Cha Corona, kisa tu woga wa katiba mpya, INAKUJA NA HAKUNA WA KUZUIA ILISHAKUA
 
Hali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!...
Kwa hiyo hata mechiya simba na Yanga Kigoma Haitukua na watazamaji
 
Back
Top Bottom