Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Fanyeni kongamano acheni mbwembwe 🤣🤣🤣🤣Umeiweka kitaalam sana sana! Wapuuzi hawataelewa watajiona wameshinda ila itakuja ku-backfire vibaya saana
Ingieni barabarani mpaka kieleweke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanyeni kongamano acheni mbwembwe 🤣🤣🤣🤣Umeiweka kitaalam sana sana! Wapuuzi hawataelewa watajiona wameshinda ila itakuja ku-backfire vibaya saana
Ni sahihi lakini mamlaka yake yako limited.Mkuu wa serikali mkoani ni mkuu wa mkoa sio wizara.
Mbona mkiambiwa chanjo mnagoma, leo tangu wimbi la tatu limeingia, serikali imeweka mikakati gani angalau Kama ile ya kipindi Cha kwanza kwenye jamii?maanaMbowe kama anataka mikusanyiko aanzie kwao huko Kilimanjaro kwanza,tuone kama atapata watu...
Kuna wimbi la tatu la Covid 19,kaka yake kafarik sasa anataka nani afe Ili azid kuamin kuwa huu ugonjwa haujitaji masihara
Acheni na Tozo za miamala corona iishe kwanza.#Breakingnews
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima mkoani humo katika jitihada za kudhibiti Ugonjwa wa Covid 19."tutaruhusu misiba tu na ibada". "Hakuna kusanyiko lolote bila kuwa na kibali Mwanza" https://t.co/CkxQGvPd9K
Mbona mkiambiwa chanjo mnagoma, leo tangu wimbi la tatu limeingia, serikali imeweka mikakati gani angalau Kama ile ya kipindi Cha kwanza kwenye jamii?maana
Kama magari yanajaa,VITAKASA MIKONO na maji tiririka kila sehem hatuoni Kama mwanzo, msisitizo wa barakoa hamna, Mnakimbiza mwenye, uko watu wanakusanyika Kama kawa, Sasa kongamano la chadema ndo inakua nongwa?
Na Kama kongamano la chadema ambalo wamekua wakichukua taadhali zote kujikinga, vipi MIKUTANO ya ccm mbona hata sion wakifanya vile,?
Nawambieni taifa tulipo KWA Sasa viongozi wanaitaji tumia busara Sana kuliko mabavu, na ushabiki, sio wakati mzuri mno wa dhiaka KWA makundi mengine kisa umeshika dola, hatufiki KWA mtindo huu
Safi kabisa ,sasa yule TONDO aka Mbowe arudi tu machame kupumzika ,mjinga mkubwaHali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!
Ukumbuke Chadema wamepanga kufanya kongamano la Mjadala wa Katiba Mwanza.
Kwa akili za RC mikusanyiko ya Mazishi na ibada huwa Virusi vya Covid-19 vinakaa nje kwanza hadi wamalize ibada.
Waoga sana sana
Mwenyekiti wenu majuzi alipita pita MOROGORO, DUMILA, unasemaje KWA iloChanjo ni hiyar ya mtu,huwez kunilazimisha,
Pia huwez lazimisha mikutano Ili hali unajua fika maradhi haya yanasambaa kwa hiyo mikusanyiko,hiyo siyo akili
Kama ilivyo chanjo , mikutano ni hiyari, halazimishwi mtu kwenda mkutanoni.Chanjo ni hiyar ya mtu,huwez kunilazimisha,
Pia huwez lazimisha mikutano Ili hali unajua fika maradhi haya yanasambaa kwa hiyo mikusanyiko,hiyo siyo akili
MaCCM wote akili zao hazinaga akili.Hio Virus havihusikii vinaogopa Simba na Yanga. Huyu RC akili zake hazina akili
Mjinga ni wewe na ccm nzimaSafi kabisa ,sasa yule TONDO aka Mbowe arudi tu machame kupumzika ,mjinga mkubwa
Mwenyekiti wenu majuzi alipita pita MOROGORO, DUMILA, unasemaje KWA ilo
Ndio mnachotaka sio? Tuna akili kuliko shule!Fanyeni kongamano acheni mbwembwe 🤣🤣🤣🤣
Ingieni barabarani mpaka kieleweke.
President hapati corrona au umeshasahau juzi tu??Yeye alikuwa anakagua Mirad ya maendeleo,na usisahau yule ni president
Kama ilivyo chanjo , mikutano ni hiyari, halazimishwi mtu kwenda mkutanoni.
Never and Never. Ingieni barabarani makamanda🤣Ndio mnachotaka sio? Tuna akili kuliko shule!
Never and Never. Ingieni barabarani makamanda🤣Ndio mnachotaka sio? Tuna akili kuliko shule!
Narudia, we don't argue with fools!Never and Never. Ingieni barabarani makamanda🤣
Msikubali
Hapana, kaawaambia kuhusu Tozo. Shetani wakubwa nyieSasa kama siyo lazima,kwann mbowe anataka kunilazimisha hiyo mikutano??
Kwan wapi wananchi wamemuambia mbowe kuwa wanahitaj mikusanyiko?
Sasa president, kisa kukagua miradi ya maendeleo wafikili Corona inamuogopa? tunachosema ni kwamba tuamue Kama taifa hakuna mikusanyiko yoyote, hakuna Cha president, tena ambaye ni kiongonzi wa taifa,Yeye alikuwa anakagua Mirad ya maendeleo,na usisahau yule ni president
Kwa hiyo hata mechiya simba na Yanga Kigoma Haitukua na watazamajiHali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!...