Figisu dhidi ya CHADEMA zashika kasi, RC Mwanza apiga marufuku mikusanyiko

Figisu dhidi ya CHADEMA zashika kasi, RC Mwanza apiga marufuku mikusanyiko

Huyu mkuu wa Mkoa aliekuja kufungua kongamano la maelfu ya wafuasi wa Mwamposa hapo uwanja wa furahisha au ni mwingine? Kama ni yeye awajibishwe kwa kuweka maisha yetu rehani kwa kuruhusu na kushiriki kongamano la Mwamposa huku akijua Bugando mitungi ya gas haitoshi na Covid 19 bado ni tishio.
Naam, ndiye...



Lakini leo anathubutu kupiga marufuku kongamano la Katiba, mpuuzi waahed!
Eti mapepo yataondoka, vipofu wataona na vilema watatembea...!
 
Hali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!....
Hii ni kali sana. Na mikusanyiko ya bar na kwenye kwenye magari yanayojaa kupita kiasi virusi vinachukuwa likizo! Kiwango cha juu cha upumbavu!
 
Hoja ya Mkuu wa mkoa ni kwa sababu ya corona! Kitu cha kustaajabisha ni kuwa ameruhusu tamasha la muziki la Mkongoman Fally Pupa kuendelea kufanyika.

Hivi hapa ametumia nini kufikiri?
 
Mbowe mkizuiwa nendeni kigoma siku ya Simba na yanga wekeni kikao tuone watazuia mechi ya Simba na Yanga au watawazuia na nyie
 
Sio kweli hata La music litasitishwa, sheria haiwezi kuegemea upande mmoja! Unless ni kweli 🧎
 
Covid guidelines zinatolewa na wizara siyo mkuu wa mkoa.
Mkoa nao lazima uchukue hatua zake sio mpaka wizara, RC yupo sawa mikusanyiko iwepo yenye ulazima tu kwenye misiba na kuwepo na watu wachache ndugu na majirani wachache ma bwana afya na Bi afya wasimamie hilo.
 
Huyu mkuu wa Mkoa aliekuja kufungua kongamano la maelfu ya wafuasi wa Mwamposa hapo uwanja wa furahisha au ni mwingine? Kama ni yeye awajibishwe kwa kuweka maisha yetu rehani kwa kuruhusu na kushiriki kongamano la Mwamposa huku akijua Bugando mitungi ya gas haitoshi na Covid 19 bado ni tishio.
Ndio ujinga wa CCM kila Mara technology inawaumbua
 
Mkoa nao lazima uchukue hatua zake sio mpaka wizara, RC yupo sawa mikusanyiko iwepo yenye ulazima tu kwenye misiba na kuwepo na watu wachache ndugu na majirani wachache ma bwana afya na Bi afya wasimamie hilo.
Hizo ndiyo guidelines unatoa ?
 
Hali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!...
Hiyo Safi Sana, maana Jana mwamba ameomba serikali iwe serious na kupambana na Corona, kwa hiyo serikali inamkumbusha wajibu wake kuwaepusha wanachama wake na maambukizi ya Corona.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Sio kweli hata La music litasitishwa, sheria haiwezi kuegemea upande mmoja! Unless ni kweli 🧎
Tiketi za Shs 50,000/= bado zinakatwa, je wanataka kuwafanyia utapeli watu wa Mwanza?
 
Tiketi za Shs 50,000/= bado zinakatwa, je wanataka kuwafanyia utapeli watu wa Mwanza?

Hilo ni Katazo maalum kwa ajili ya cdm ili wasijadili katiba. Ndio maana akasema hakuna kufanya kusanyiko bila kibali. Hilo la Falii Ipupa watasema wamepata kibali. Bila kufanya machafuko sio rahisi kuheshimiana. Mbona watu wanaweza kuchoma mashule, ni kipi kinashindikana kwenye hili?
 
Hilo ni Katazo maalum kwa ajili ya cdm ili wasijadili katiba. Ndio maana akasema hakuna kufanya kusanyiko bila kibali. Hilo la Falii Ipupa watasema wamepata kibali. Bila kufanya machafuko sio rahisi kuheshimiana. Mbona watu wanaweza kuchoma mashule, ni kipi kinashindikana kwenye hili?
Ndiyo tunakoelekea sababu ya utawala mbovu wa huyu mama
 
Hilo ni Katazo maalum kwa ajili ya cdm ili wasijadili katiba. Ndio maana akasema hakuna kufanya kusanyiko bila kibali. Hilo la Falii Ipupa watasema wamepata kibali. Bila kufanya machafuko sio rahisi kuheshimiana. Mbona watu wanaweza kuchoma mashule, ni kipi kinashindikana kwenye hili?
Nadhani hapa una hoja, ni mwendo wa kulipua ofisi zote za serikali nchi nzima!
 
Back
Top Bottom