Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

😀😀 poa Mkuu,...nimekufahamu ningelikushauri utoke nje ya Tanzania uone vipi wanaishi,kma unasikia Elimu bure ujionee mwenyewe nini kinazungumzwa.ukisikia wazee wazee na watoto wanapewa kipaumbele katika nchi uone nini wanakusudia...

Tanzania hajafikia wala haitofikia kuzifikia hizo sifa nilizozitaja,Tanzania tunaishi miaka mia tano (500) nyuma ukilinganisha na hizo nchi za scandaniva,...Ndio maana nchi kama Tanzania inaitwa dunia ya tatu,kwasasa kwavile Tanzania inashika mkia katika nchi zenye raia walio na furaha,naona Tanzania iko katika kiwango cha dunia ya nne😀
 
nimemuona binti amefanana na binamu yangu ngoja niende
 

Mkuu, kuna kitu kimekuwa kinanishangaza kiasi kwamba naweza kuamini kuwa watu wa Fiji wana unasaba na Waafrika Mashariki (Tanganyika), huko Indonesia nina rafiki zangu kadhaa ambao wanatumia jina la HILUKA (ambalo ni jina langu la ukoo) na majina mengine yanayofanana na majina ya Tanzania.

Hata wao wamekuwa wanashangaa kuona tunashea surname...
 
Wakijichanganya wakarudi watatoka nduki maana vyuma jinsi vilivyokaza hapa kwetu watahisi wameingia jehahanam
 
Mara ya mwisho nilienda Fiji mwaka '98 na huko kuna ndugu zetu kabisa upande wa baba mkubwa, wapo huko na historia inaonesha baba wa babu mkubwa ndo alienda huko, ni watanzania pure!
bado mnawasiliana nao mpaka leo mkuu, na lugha gani wanatumia kwa mawasiliano, manake naona hata kiingereza wanakifahamu
 
uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
ukisoma historia utajua mkuu, ni mchanganyika na watu wa melanesia na polynesia, google utajua ni wapi
 
Sawa, wanazungumza lugha gani?
kiswahili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…