Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmm! kwahiyo Kizanaki kimefanana na Kitusi....,Kitusi neno Ndabughaa maana yake naongea,Au baba wa taifa alikuwa nae wazaze wake wanatokea Utusini,,,??!Mwaka fulani nilimsikia bibi mmoja wa Diego Garcia akihojiwa na BBC juu ya kesi yao ya kuhusu kuhamishwa maeneo yao kupisha kambi za jeshi la ********** kisiwani humo.Alitumia neno "Ndabughaa" la Kizanaki lenye maana "Nasema!" Nikahisi huenda alitokea huku Tanganyika vizazi na vizazi.
Kwann..???Msipeleke wanaume wa Dar.
Ndabugha ni kibantu na KINYARWANDA ni Kibantu sio Kitusi. Hakuna lugha ya Kitusi.Mmmmm! kwahiyo Kizanaki kimefanana na Kitusi....,Kitusi neno Ndabughaa maana yake naongea,Au baba wa taifa alikuwa nae wazaze wake wanatokea Utusini,,,??!
Wahutu wanaongea lugha gani?Ndabugha ni kibantu na KINYARWANDA ni Kibantu sio Kitusi. Hakuna lugha ya Kitusi.
Hahaah huko kisiwan nahis hata ngoma haijafka mkuu bado wako cleanKuna madem wazur hvo naenda...
Ndio maana nchi imelaanika eeeNa hawa ndo wenye nchi yao, sisi wengine tuliwafukuza tukajitwalia nchi!! Warudi kwenye nchi yao
Wewe ni komesha, kwa hiyo yule mcheza tennis mzungu maarufu anayeitwa Azalenka naye atakuwa Muha!Kwa andiko hili waha tutaendelea kuwa masuperstar. ZUSUMBA=UNAVYOVIZIDI. Pure kiha
Hutu+Tutsi =ethnicWahutu wanaongea lugha gani?
Moana mwananguHuko sio kwa akina moana?
Moana mwananguHuko sio kwa akina moana?
Umesoma maelezo vizuriuongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Watakua na akili za hovyo kama wabongo kweli?Habarini wakuu.
Fiji ni nchi iliyopo katika bahari ya Pacific karibu sana na nchi ya Australia.
Jamii ya wenyeji wa Fiji kimuonekano wanafanana na waafrika ila kuna tofauti kidogo kutokana na kuzaliana na jamii zingine za Asia na Pacific.
Masimuliz ya kale kutoka kwa mababu wa hapo Fiji wanadai wao walitoka Tanganyika miaka mingi sana iliyopita kwa boti kuelekea pacific kupitia Madagascar. Hivo wanadai wametokea hapa Afrika mashariki nchini kwetu Tanzania. Ikumbukwe hapa nchini pia kuna mto unaitwa Rufiji. Hapo chini nmeweka maelezo yao wanayotoa kuhusu historia yao na picha zao.View attachment 712526View attachment 712529View attachment 712531View attachment 712532View attachment 712533View attachment 712534View attachment 712537View attachment 712538
Azalenka ndo nini mkuu? Angeitwa Azolonka angekuwa muha aiseeWewe ni komesha, kwa hiyo yule mcheza tennis mzungu maarufu anayeitwa Azalenka naye atakuwa Muha!
Vv
Kinyarwanda hicho hicho.Wahutu wanaongea lugha gani?
thubutu !hao jamaa wako huko kitambo halafu walikuwa wana practise canibalism mgeni akiingia analiwa nyama wanaita long pigs.Naona waingereza waliwapeleka ndugu zetu huko kuwalimisha
Na wahindi wakaenda pia ndio maana hata rangi zimebadilika
Wakarimu sana kama sisi
kula nyama ya mtuKama mila zipi mkuu?