Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hata mimi nimchanganyiko[emoji1][emoji28]Speakng of goa..ndio maana uku kwetu kuna wagoa sasa nashindwaga waelewa kama ni wahindi ama ni wa aina gani...sasa nmepata jibu kumbe ni mchanganyiko aisee
UringeHata mimi nimchanganyiko[emoji1][emoji28]
Aki vile mchanganyiko kabisaaaaUringe
Ngosha na upi?Aki vile mchanganyiko kabisaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao wengine siwajui ila tu nachojua sisi WAKURYA ndio waebrania wa Biblia na babu yetu PETRO. Maana hakuna mtu mwenye ujasiri wa kumtaka mtu masikio mbele ya YESU kama sio MKURYA.
Hao wafiji ni wandengereko
Uvivu wa kufanya kaz,muda wote kweny mitandao,na kupenda ngono,na kutafuta dawa kwa ajili ya nguv za kiumeKwani utamaduni wa watanganyika ni upi mkuu?
Basi kama ni wazinzi hao wenzetuuu kabsaa ,maana hat sisi tuna elements za uzinzi ,maana kla sehem dawa ya kuongeza nguvu za kiume na kurefusha uume na kunenepesha mpka sm 4 upanda..sasa ndo nmeamin ka hao wafji ni wenzetu na bila shaka watakua wametokea huku kwetu tanga au pwani pwaniIla mi saingine huwa siwaelewi kwa kweli, hawa jamaa ni wakarimu kinomaaaaaa, shida yao uzinzi tu
ukiangalia vitabu au online inasemekana walitokea Rukwa, ila kwa ukarimu hatuwapati hata chembe chembe mojaBasi kama ni wazinzi hao wenzetuuu kabsaa ,maana hat sisi tuna elements za uzinzi ,maana kla sehem dawa ya kuongeza nguvu za kiume na kurefusha uume na kunenepesha mpka sm 4 upanda..sasa ndo nmeamin ka hao wafji ni wenzetu na bila shaka watakua wametokea huku kwetu tanga au pwani pwani
Wote wanaongea Kinyaruanda.Wanaongea lugha gani?
Documentary ya wafiji