Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

Hao wengine siwajui ila tu nachojua sisi WAKURYA ndio waebrania wa Biblia na babu yetu PETRO. Maana hakuna mtu mwenye ujasiri wa kumtaka mtu masikio mbele ya YESU kama sio MKURYA.
Hao wafiji ni wandengereko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila mi saingine huwa siwaelewi kwa kweli, hawa jamaa ni wakarimu kinomaaaaaa, shida yao uzinzi tu
Basi kama ni wazinzi hao wenzetuuu kabsaa ,maana hat sisi tuna elements za uzinzi ,maana kla sehem dawa ya kuongeza nguvu za kiume na kurefusha uume na kunenepesha mpka sm 4 upanda..sasa ndo nmeamin ka hao wafji ni wenzetu na bila shaka watakua wametokea huku kwetu tanga au pwani pwani
 
ukiangalia vitabu au online inasemekana walitokea Rukwa, ila kwa ukarimu hatuwapati hata chembe chembe moja
 
Watu wenye rangi nyeusi sisiwote ni wamoja. For example Leo DRC Congo, uganda, Rwanda, Kenya... Wakisema watafute Raiya wao, kuwasaka kabisa uchunguzi waki talaamu ufanyike DNA. Hakuna atakae baki.
 
Hawa jamaa kweli wa Tanganyika, maana walikuwa wanakula watu kama jamaa zetu wachongaji
 
Ndo hao walitokea kisiwa cha melanesia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…