Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

Wenzako hao mababu walenda na boto za kienyeji,na wewe chonga yako uende,gharama zitakuwa kuchonga huo mtumbwi na chakula chakula njia basi.
wakati wanafanya hivyo technology ilikuwa inawaruhusu ...so mimi siwezi kufnya hvyo kutokana na uwepo wa ukubwa wa technology iliyopo sasa ..ambayo nikiitumia kusafiri nitajikuta baada ya Massa kadhaa Nipo huko
 
uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Mleta mada amesema walichanyika na wahindi kwa muda mrefu

Wa Philippine wamechanyika na wa Hispania

Goa ni mchanganyiko wa wahindi na wareno
 
uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.

Mkakati maalum ulifanywa na Wazungu wa kuwachukua. wahindi kuwapeleka kwenye visiwa vya Fiji, Samoa nk ili wakachanganye damu na hao weusi, lengo likiwa ni kumaliza kizazi cha hao weusi,
 
wakati wanafanya hivyo technology ilikuwa inawaruhusu ...so mimi siwezi kufnya hvyo kutokana na uwepo wa ukubwa wa technology iliyopo sasa ..ambayo nikiitumia kusafiri nitajikuta baada ya Massa kadhaa Nipo huko
Poa tu mi naondoka tarehe25 april
 
uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Wahindi wamehamia huko, siunajua makanjibai Wazee wa furusa

Ila population kubwa Ni blacks 56%
Wahindi 39%
Iliyobak Ni wazungu
 
Kumbe ndo maana mtanzania anaingia fiji bila viza eeh.halafu huyo mdada aliyevaa shati jekundu anafanana na mke wa rais mstaafu mmoja ivi.
mkuu wametoa visa huko !!??

air ticket ni kiasi gani!!?""(sema hamkawii kusema niende Google hahaa)
 
Habarini wakuu.
Fiji ni nchi iliyopo katika bahari ya Pacific karibu sana na nchi ya Australia.
Jamii ya wenyeji wa Fiji kimuonekano wanafanana na waafrika ila kuna tofauti kidogo kutokana na kuzaliana na jamii zingine za Asia na Pacific.
Masimuliz ya kale kutoka kwa mababu wa hapo Fiji wanadai wao walitoka Tanganyika miaka mingi sana iliyopita kwa boti kuelekea pacific kupitia Madagascar. Hivo wanadai wametokea hapa Afrika mashariki nchini kwetu Tanzania. Ikumbukwe hapa nchini pia kuna mto unaitwa Rufiji. Hapo chini nmeweka maelezo yao wanayotoa kuhusu historia yao na picha zao.View attachment 712526View attachment 712529View attachment 712531View attachment 712532View attachment 712533View attachment 712534View attachment 712537View attachment 712538
Kwa andiko hili waha tutaendelea kuwa masuperstar. ZUSUMBA=UNAVYOVIZIDI. Pure kiha
 
Back
Top Bottom