Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,196
Hahahahahhaha umenikumbusha moana ni shida sasa kwenye dansing ndo tatizo af kweli kabisaHuko sio kwa akina moana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahhaha umenikumbusha moana ni shida sasa kwenye dansing ndo tatizo af kweli kabisaHuko sio kwa akina moana?
Itakuwa na influence ya Kichina na kihindiLugha yao ni gani mkuu
OohWalienda wenyewe zamani sana hawakupelekwa na wazungu.
We nae unajifanya huelewi?Walienda kwa BOTI miaka mingi iliyopita????
Hivi boti zimegunduliwa mwaka gani?
Kuna wenye nywele laini kutakana na mchanganyiko wa damu ila wapo wengi tu wenye maafro.uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Yaaa, mimi nilikaa visiwa vya Fiji from 2001 to 2008,kuna eneo linaitwa ABHACHU, yaani lugha yao ni KIHA, ila Wazungu wanawabagua sana, nilirudi bongo kwa kazi maalum. Ikiwa ni pamoja na shule.Kwa andiko hili waha tutaendelea kuwa masuperstar. ZUSUMBA=UNAVYOVIZIDI. Pure kiha
Sasa huko si wame interact na jamii nyingine?Hujawah ona Shombeshombe?uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Aksante mamaUnawashwa? Njoo nikufumue
MKUU ULIFANIKIWAKuna madem wazur hvo naenda...
Kuna madem wazur hvo naenda...