Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Wahindi walienda zamani sana huko na walizaa nao hivyo ni coloureduongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
wakati wanafanya hivyo technology ilikuwa inawaruhusu ...so mimi siwezi kufnya hvyo kutokana na uwepo wa ukubwa wa technology iliyopo sasa ..ambayo nikiitumia kusafiri nitajikuta baada ya Massa kadhaa Nipo hukoWenzako hao mababu walenda na boto za kienyeji,na wewe chonga yako uende,gharama zitakuwa kuchonga huo mtumbwi na chakula chakula njia basi.
Mleta mada amesema walichanyika na wahindi kwa muda mrefuuongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
ulipaswa kumuuliza kwahiyo kwakuw ni coloured basii ndio kigezo cha wao kutokuwa watanzania !!? vipi kuhusu wale waarabu wa shinyanga nao sio watanzania !!?Wahindi walienda zamani sana huko na walizaa nao hivyo ni coloured
uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Poa tu mi naondoka tarehe25 aprilwakati wanafanya hivyo technology ilikuwa inawaruhusu ...so mimi siwezi kufnya hvyo kutokana na uwepo wa ukubwa wa technology iliyopo sasa ..ambayo nikiitumia kusafiri nitajikuta baada ya Massa kadhaa Nipo huko
Wahindi wamehamia huko, siunajua makanjibai Wazee wa furusauongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
unakimbia maandamano ..hahaaa wewe ni coward of the country""Poa tu mi naondoka tarehe25 april
mkuu wametoa visa huko !!??Kumbe ndo maana mtanzania anaingia fiji bila viza eeh.halafu huyo mdada aliyevaa shati jekundu anafanana na mke wa rais mstaafu mmoja ivi.
lakini wao hawatekani !!?Nimejaribu kugugo utamaduni wao 100%unafanana na wadanganyika
Mama SalmaKumbe ndo maana mtanzania anaingia fiji bila viza eeh.halafu huyo mdada aliyevaa shati jekundu anafanana na mke wa rais mstaafu mmoja ivi.
Kwa andiko hili waha tutaendelea kuwa masuperstar. ZUSUMBA=UNAVYOVIZIDI. Pure kihaHabarini wakuu.
Fiji ni nchi iliyopo katika bahari ya Pacific karibu sana na nchi ya Australia.
Jamii ya wenyeji wa Fiji kimuonekano wanafanana na waafrika ila kuna tofauti kidogo kutokana na kuzaliana na jamii zingine za Asia na Pacific.
Masimuliz ya kale kutoka kwa mababu wa hapo Fiji wanadai wao walitoka Tanganyika miaka mingi sana iliyopita kwa boti kuelekea pacific kupitia Madagascar. Hivo wanadai wametokea hapa Afrika mashariki nchini kwetu Tanzania. Ikumbukwe hapa nchini pia kuna mto unaitwa Rufiji. Hapo chini nmeweka maelezo yao wanayotoa kuhusu historia yao na picha zao.View attachment 712526View attachment 712529View attachment 712531View attachment 712532View attachment 712533View attachment 712534View attachment 712537View attachment 712538
Kama vile?Nimejaribu kugugo utamaduni wao 100%unafanana na wadanganyika