Fikiria haya kuhusu mchezo wa Yanga na Monastir majibu baki nayo mwenyewe

Fikiria haya kuhusu mchezo wa Yanga na Monastir majibu baki nayo mwenyewe

1. Wachezaji wa Monastir 6 wa kikosi cha kwanza walianzia benchi.

2. Jamaa hawakupiga hata on target moja.

3. Rais wa Monastir Ahmed Belli, awapongeza Yanga kufuzu Robo Fainali.

4. Monastir waingia mkataba wa makubaliano na Singida Big Stars (na kwenye press ya mkataba akatumia nafasi hiyo kuwapongeza Yanga)

NB: Jibu baki nalo mwenyewe.
Mipangomiji (Bahasha) FC
 
1. Wachezaji wa Monastir 6 wa kikosi cha kwanza walianzia benchi.

2. Jamaa hawakupiga hata on target moja.

3. Rais wa Monastir Ahmed Belli, awapongeza Yanga kufuzu Robo Fainali.

4. Monastir waingia mkataba wa makubaliano na Singida Big Stars (na kwenye press ya mkataba akatumia nafasi hiyo kuwapongeza Yanga)

NB: Jibu baki nalo mwenyewe.
Hapa napo tunakuachia jibu ubaki nalo mwenyewe.
 

Attachments

  • FB_IMG_1679422066078.jpg
    FB_IMG_1679422066078.jpg
    65.1 KB · Views: 3
Moja ya kua smart kichwani kama ujiitavyo ni kujiepushia aibu ndogo ndogo km hizi
Uzuri sijasema uongo hata kitu kimoja...the rest judge for urself mkuu aint no my problem
 
1. Wachezaji wa Monastir 6 wa kikosi cha kwanza walianzia benchi.

2. Jamaa hawakupiga hata on target moja.

3. Rais wa Monastir Ahmed Belli, awapongeza Yanga kufuzu Robo Fainali.

4. Monastir waingia mkataba wa makubaliano na Singida Big Stars (na kwenye press ya mkataba akatumia nafasi hiyo kuwapongeza Yanga)

NB: Jibu baki nalo mwenyewe.
Hii tabia ya kuchagua kuumizwa na mafanikio ya wengine mtakuja mkufe
 
Mleta mada ni mweupe sana linapokuja suala la kuficha ujinga wake hata hivyo magoli tuliyowakanda baki nayo na wewe
 
Makolo na Ujinga na kama nyuki na asali

Ujinga umewajaa
 
Hawako shindano 1, usijisahaulishe? Alikokua simba, yanga alifurushwaaa na Al Hilal, hata makundi hajanusa, ndo akaangukia kwa losers.

Kuwa specific wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] MAKOLO
Screenshot_20230322-034746~2.jpg
 
1. Wachezaji wa Monastir 6 wa kikosi cha kwanza walianzia benchi.

2. Jamaa hawakupiga hata on target moja.

3. Rais wa Monastir Ahmed Belli, awapongeza Yanga kufuzu Robo Fainali.

4. Monastir waingia mkataba wa makubaliano na Singida Big Stars (na kwenye press ya mkataba akatumia nafasi hiyo kuwapongeza Yanga)

NB: Jibu baki nalo mwenyewe.
Wewe si ndiye ulipewa jukumu la kuwakabidhi hao waarabu bahasha ya khaki. Kwa nini hukupiga picha (hata kama ni ya ku edit) ya makabidhiano hayo uje utonyeshe? Watu wana mafuta, una pesa gani ya kuwahonga?
 
1. Wachezaji wa Monastir 6 wa kikosi cha kwanza walianzia benchi.

2. Jamaa hawakupiga hata on target moja.

3. Rais wa Monastir Ahmed Belli, awapongeza Yanga kufuzu Robo Fainali.

4. Monastir waingia mkataba wa makubaliano na Singida Big Stars (na kwenye press ya mkataba akatumia nafasi hiyo kuwapongeza Yanga)

NB: Jibu baki nalo mwenyewe.
Wacha conspiracy theories. Monastir kama Yanga ni timu kubwa siyo kama Simba inatumia wachezaji wale wale. Wanaoitwa kikosi cha kwanza ni zaidi 18, kwa hiyo ukipata 111 lazima kutakuwa na wachezaji saba watakokuwa nje. Hata Yanga Aziz Ki alianzie nje, hat Feisal Toto hakuwapo kabisa mchezo wote. Unaweza kupata list yote ya Yanga ujue pia kuwa kuna timu ya kwanza hawakucheza. Kwanza mchezo huu ulikuwa mkali zaidi ya Ule wa Tunisia kama ultazama michezo yote lakini walielemewa; hakukuwa na goli la ulaini pale: Msonda na m ayele waliitendea haki Yanga kikamilifu.
 
Wacha conspiracy theories. Monastir kama Yanga ni timu kubwa siyo kama Simba inatumia wachezaji wale wale. Wanaoitwa kikosi cha kwanza ni zaidi 18, kwa hiyo ukipata 111 lazima kutakuwa na wachezaji saba watakokuwa nje. Hata Yanga Aziz Ki alianzie nje, hat Feisal Toto hakuwapo kabisa mchezo wote. Unaweza kupata list yote ya Yanga ujue pia kuwa kuna timu ya kwanza hawakucheza. Kwanza mchezo huu ulikuwa mkali zaidi ya Ule wa Tunisia kama ultazama michezo yote lakini walielemewa; hakukuwa na goli la ulaini pale: Msonda na m ayele waliitendea haki Yanga kikamilifu.
Labda kwa kumsaidia tu, wachezaji muhimu wa Yanga waliokuwa nje ni Aziz Ki, Dickson Job, Fei Toto, Kibwana Shomari, Morrison na Mudhathir, wangapi hao?

Mbumbumbu Fc wana matatizo makubwa kichwani.
 
Ila yanga bhna hainaga jambo jema.na zile saba tusemaje zilikuwa za halali eee
 
Back
Top Bottom