no dought, no qns, ww ni sweety wa tigo..... acha ujinga, don't expose ur ignorance hapa, harlot.... Ww mke wa Wasira nn..? Dr. Slaa aliacha upadre baada ya kuitwa na Wazee wa Kiiraqw pale Karatu, tena kupitia CCM wakati ule 1995 na alimshinda Qorro kupitia kura za maoni za CCM kwa 80%, ila Qorro aliyekuwa mbunge wa Karatu alikuwa hapendwi kabisa na wananchi those days hakuna alicho fanya miaka mingi ya ubunge wake, Qorro akaenda
KUSEMA KUWA Dr. Slaa si mzoefu wa siasa na hajulikani CCM that was 1995, Dr. Slaa akatolewa na Qorro kurudishwa kugombea ubunge thru CCM, na Dr. Slaa aliyeitwa na WAZEE WA KARATU na ndio kisa cha kuacha upadre akaambiwa achague chama chochote agombee, ndio akaenda CDM, na akashinda kwa 90%, Qorro alikoswa koswa kupigwa na wananchi siku ya kutangaza matokeo kwani Polisi walisaidia sana, maana alipata like 7% ya matokeo ya kura yote,.
Sasa hapa Wasira anadanganya watu na U calling ur self swty wa tigo unakurupuka, ur such an asshole.....