FIKRA PEVU: Slaa afufua ufisadi EPA na rada, awabana Kikwete, Mkapa, DPP

FIKRA PEVU: Slaa afufua ufisadi EPA na rada, awabana Kikwete, Mkapa, DPP

Hiki nacho ni kiingereza kweli ?Hivi lowasa aliamua kuacha kwa kushinikwa do we call him a defected PM ? Je si kwamba Slaa aliomba kuacha kazi za upadre kwa wakubwa wake na akakubaliwa ? Nini maana ya mtu ku defect ?

we Josephine?
 
CCM wamepoteza dira ktk kipindi hiki cha uchaguzi wa Arumeru!! Watatukana hapa, watajishikiza kule halafu wakijibibiwa kwa nguvu wanakimbilia kwa Msajili, Polisi na Kwa wazee wa hekima kuomba suluhu na Matamko ya kusitisha mijadala wanayo anzisha!!!!!
CCM ni janga la kitaifa!
 
no dought, no qns, ww ni sweety wa tigo..... acha ujinga, don't expose ur ignorance hapa, harlot.... Ww mke wa Wasira nn..? Dr. Slaa aliacha upadre baada ya kuitwa na Wazee wa Kiiraqw pale Karatu, tena kupitia CCM wakati ule 1995 na alimshinda Qorro kupitia kura za maoni za CCM kwa 80%, ila Qorro aliyekuwa mbunge wa Karatu alikuwa hapendwi kabisa na wananchi those days hakuna alicho fanya miaka mingi ya ubunge wake, Qorro akaenda
KUSEMA KUWA Dr. Slaa si mzoefu wa siasa na hajulikani CCM that was 1995, Dr. Slaa akatolewa na Qorro kurudishwa kugombea ubunge thru CCM, na Dr. Slaa aliyeitwa na WAZEE WA KARATU na ndio kisa cha kuacha upadre akaambiwa achague chama chochote agombee, ndio akaenda CDM, na akashinda kwa 90%, Qorro alikoswa koswa kupigwa na wananchi siku ya kutangaza matokeo kwani Polisi walisaidia sana, maana alipata like 7% ya matokeo ya kura yote,.
Sasa hapa Wasira anadanganya watu na U calling ur self swty wa tigo unakurupuka, ur such an asshole.....

Mbona matusi kama mwanamke anasutana na mwanamke mwenzake? Dume zima limekaa kikike kikeeeeeeee.....
 
Wako wapi wakina mwanahali na kina Taa ?
 
Mbona matusi kama mwanamke anasutana na mwanamke mwenzake? Dume zima limekaa kikike kikeeeeeeee.....


wewe mtoto unania ya kujulikana hapa JF kwa kujaza ''thread'' za kipuuzi? mimi nakusihi nenda taratibu utajulikana tu hata usipo changia mada, yaani kwa kifupi unatia kichefuchefu na unaboa sana.
 
Dokta sawa tunakubali uliyoyasema, lakini na wewe pia unatuhumiwa, jibu tuhuma na ujisafishe pia.
 
radhia sweety hivi matokeo yako yale ya form 4 uliopata zero yakachakachuliwa angalau upate four weka hapa jf tunteneke tulimfukuza uanachama ndio maana anangaika
 
one point i said, one too many loses the taste

does it mean hakuna ufisadi mpya hadi tubaki na epa na richmond tu??? mbona upo mwing tu wa madini, mambo ya mikataba ya exploration, contracts za energy sector na barabara bila kusahau kilimo kwanza na sekta ya afya??

anyway, ni mawazo yangu tu
 
I am wondering how is he able of launching assaults on others while he has failed to respond to fraud allegations directed at him by TUNTEMEKE? The defected priest should know better that those who live in glass houses do not want to hurl rocks at others. And unless he starts putting into practice what he discourses, his boldness will soon backfire to degrade him to a cowardice crook politician.

That proves Dr. Slaa is not in a glassy house. At any measure, I am convisingly confident Dr. Slaa will not compromise with CCM hooligans to be in the same syndicate.
 
one point i said, one too many loses the taste

does it mean hakuna ufisadi mpya hadi tubaki na epa na richmond tu??? mbona upo mwing tu wa madini, mambo ya mikataba ya exploration, contracts za energy sector na barabara bila kusahau kilimo kwanza na sekta ya afya??

anyway, ni mawazo yangu tu

Ni sahihi kuongelea ufisadi mwingine pia lakini kwa hapa Tanzania hakuna ufisadi mkubwa uliowahi kufanyika kama wa EPA, MEREMETA, TANGOLD na RADAR. Ufisadi huu ulikuwa mkubwa sana kwa madhara na kiwango kwa vile ulifanywa na chama tawala kwa kushirikiana na wafanyabiashara binafsi. Ufisadi huu ulivuka mpaka mipaka ya nchi, kwa kuhusisha makampuni tapeli ya nje na mabaenki ya ndani na nje.

CCM waliamini kuwa Watanzania watazungumzia kwa muda mfupi, Rais atawadanganya kuwa pesa zimelipwa, mkuu wa mashtaka atafungua mashtaka dhaifu dhidi ya wahusika, n.k.; na hayo yakifanyika wananchi watafarijika na kisha kusahau kama ilivyo kawaida yao. Sasa ni jukumu la Watanzania kuhakikisha kuwa hawasahaulisshwi na mbinu yeyote, waendelee kulisemea hili tena na tena, na hakika kurudiwa rudiwa kwa mambo haya kunaitesa sana CCM inayosimamia wizi na wezi.
 
I am wondering how is he able of launching assaults on others while he has failed to respond to fraud allegations directed at him by TUNTEMEKE? The defected priest should know better that those who live in glass houses do not want to hurl rocks at others. And unless he starts putting into practice what he discourses, his boldness will soon backfire to degrade him to a cowardice crook politician.
Absolutili Dushibagi.
 
jana ilikuwa jumamosi tarehe 17 machi 2012. jumapili ni leo tarehe 18.

mama yangu hatuna wahariri magazeti yetu.
 
Watz tupo makini, padri kwanza ajibu tuhuma za ufisadi na wizi zinazomuandama! hakuna tofauti yake na chenge wote majambazi ti sema katika idara tofauti.
 
no dought, no qns, ww ni sweety wa tigo..... acha ujinga, don't expose ur ignorance hapa, harlot.... Ww mke wa Wasira nn..? Dr. Slaa aliacha upadre baada ya kuitwa na Wazee wa Kiiraqw pale Karatu, tena kupitia CCM wakati ule 1995 na alimshinda Qorro kupitia kura za maoni za CCM kwa 80%, ila Qorro aliyekuwa mbunge wa Karatu alikuwa hapendwi kabisa na wananchi those days hakuna alicho fanya miaka mingi ya ubunge wake, Qorro akaenda
KUSEMA KUWA Dr. Slaa si mzoefu wa siasa na hajulikani CCM that was 1995, Dr. Slaa akatolewa na Qorro kurudishwa kugombea ubunge thru CCM, na Dr. Slaa aliyeitwa na WAZEE WA KARATU na ndio kisa cha kuacha upadre akaambiwa achague chama chochote agombee, ndio akaenda CDM, na akashinda kwa 90%, Qorro alikoswa koswa kupigwa na wananchi siku ya kutangaza matokeo kwani Polisi walisaidia sana, maana alipata like 7% ya matokeo ya kura yote,.
Sasa hapa Wasira anadanganya watu na U calling ur self swty wa tigo unakurupuka, ur such an asshole.....

Safi sana ndugu na rafiki wa JF uitwae Radhia Sweety: Nikushukuru kwa kuwa wewe ni Sweety na bila shaka umechagua jina unalolipenda maana hakuna aliyekuchagulia. Lakini kwa kuwa majini yako yote ni 'acronyms' nahisi wewe pia ni Radhia kwa maana ya Ridhiwani au u mshabiki wa Ridhiwani kwa hiyo wa MAFISADI. Kitu kimoja tu si sahihi kwako, kueleza historia ya Dr. Slaa usiyoijua na pia kueleza masuala ya ukasisi usiyoyajua kama alivyofanya Wasira. Siasa za kuchukiana kwa kuwa mtu amekukataza kuiba ni chafu na mbaya, maana amekuokoa kwenda gerezani au kuchomwa moto kama kibaka. Kwa nini mwamchukia Dr. Slaa wakati anaendeleza kazi yake ya ukasisi kuwaokoa wanaofanya makosa? Kuwaambia wajirekebishe mwapata taabu gani, kama hukubaliani na ushauri wake si unajikalia kimya tu maana yeye hadi sasa hana magereza wala polisi wasiwasi wako ni nini jamani? 2015 labda mtalalamika zaidi maana kuna watu wame/tumekalia kuti kavu katika siasa za TZ. Enjoy your day Sweety!!!!!!!
 
one point i said, one too many loses the taste

does it mean hakuna ufisadi mpya hadi tubaki na epa na richmond tu??? mbona upo mwing tu wa madini, mambo ya mikataba ya exploration, contracts za energy sector na barabara bila kusahau kilimo kwanza na sekta ya afya??

anyway, ni mawazo yangu tu

Nakushukuru kwa mawazo yako mazuri, naomba pia ukumbuke kuwa sote ni waTZ tunaopaswa kufichua ufisadi, wewe ukilisikia lianzishe kwenye jamvi hapa na muda si mrefu wanaharakati wataangalia uhalali wa nyaraka na kwenda mahakamani. Please leta yote ya kifisadi. Tanzania itajengwa na watu wenye moyo wa kuwarekebisha wakosaji.
 
Back
Top Bottom