Kikwete alipokutana na kupeana mkono na Dr Slaa Ikulu Dar alidhani yamekwisha.
Issue ya Wizi wa Mabilioni Tanzania haijaisha na haitakaa iishe kwa sababu ndilo jambo namba moja liilo tuingiza katika vurugu kubwa za kiuchumi.
Wananchi tuko Bussy kutafuta riziki ya mchana na jioni kiasi kwamba hatuna hamu kabisa kuzungumzia masuala makuu yaliyo dhoofisha ustawi wa familia zetu.
Mtu unaamka asubuhi na kuingia katika mishughuliko ili tu kukidhi mahitaji ya mlo wa siku moja.
Kesho kukicha unaingia katika shughui hiyo hiyo miaka nenda miaka rudi.
Moja katika masuala ya ovyo ambayo CCM wamefanikiwa Tanzania ni kuwaingiza Watanzania katika mzunguko wa ufukara wa mawazo na wa hali.
Nilisha msikia mtu akisema kusimama kidete na kupinga Uharamia wa CCM hakuwezi kuleta Ugali mezani wala chenji mfukoni.Mtu huyu anasahau kwamba ni Uharamia huo huo wa CCM ndiyo umefanya uwezo wa Mtanzania kujitoshereza mahitaji yake kuyeyuka na kumwingiza katika songombingo ya kufukuza shilingi.
Ni usingizi gani huu tulio lala kiasi cha kushindwa kutambua ni vipi hali zetu ni mbaya na za kwao ni njema za kunona kinguruwe???
Tumebaki kuchuuza bidhaa katika viambaza vya nyumba zetu huku tukiwaachia wageni wanao kingiwa vifua na Serikali ya CCM kufanya biashara kubwa kwa mitaji kutoka katika account za serikali yetu wenyewe.
Kwa mgeni mtaji ni ugeni na utapeli kidogo tu wa kimataifa.
Kuna mahabithi watakuja hapa na kudai suala a EPA lilishaongelewa.
Ni kweli tulikwisha ongelea mtaani kwa nguvu sana akini mpaka leo serikali ya CCM imeingia kigugumizi kuchukua hatua a kisheria. Ni vipi serikali ya CC itachukua hatua ili hali chama chake cha CCM kilichukua sehemu kubwa ya fedha hizo na kuzitumia katika kampeni. Ni vipi serikali ya CCM itachukua hatua huku Viongozi wake wakuu akiwemo MH Jakaya Mrisho Kikwete na Kijana wake Riz kufaidika moja kwa moja na wizi huo wa mabilioni.
Riz sasa hivi ni Tajiri sana wakienda sambamba na Mtoto wa Kambo wa MH BenMkapa.( Si unajua Mama Anna kabla ya Beni alikata mtaa na Basil Mramba na kuzaa mtoto)
Watoto wa Marais hawa wawili ndiyo wenye pesa nyingi na nyodo za nguvu sana.
Hii ni kansa mpaka Tuma inyofolewe ndiyo tutaweka mnyanga chini.