Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,771
Hiki nacho ni kiingereza kweli ?Hivi lowasa aliamua kuacha kwa kushinikwa do we call him a defected PM ? Je si kwamba Slaa aliomba kuacha kazi za upadre kwa wakubwa wake na akakubaliwa ? Nini maana ya mtu ku defect ?
no dought, no qns, ww ni sweety wa tigo..... acha ujinga, don't expose ur ignorance hapa, harlot.... Ww mke wa Wasira nn..? Dr. Slaa aliacha upadre baada ya kuitwa na Wazee wa Kiiraqw pale Karatu, tena kupitia CCM wakati ule 1995 na alimshinda Qorro kupitia kura za maoni za CCM kwa 80%, ila Qorro aliyekuwa mbunge wa Karatu alikuwa hapendwi kabisa na wananchi those days hakuna alicho fanya miaka mingi ya ubunge wake, Qorro akaenda
KUSEMA KUWA Dr. Slaa si mzoefu wa siasa na hajulikani CCM that was 1995, Dr. Slaa akatolewa na Qorro kurudishwa kugombea ubunge thru CCM, na Dr. Slaa aliyeitwa na WAZEE WA KARATU na ndio kisa cha kuacha upadre akaambiwa achague chama chochote agombee, ndio akaenda CDM, na akashinda kwa 90%, Qorro alikoswa koswa kupigwa na wananchi siku ya kutangaza matokeo kwani Polisi walisaidia sana, maana alipata like 7% ya matokeo ya kura yote,.
Sasa hapa Wasira anadanganya watu na U calling ur self swty wa tigo unakurupuka, ur such an asshole.....
Mbona matusi kama mwanamke anasutana na mwanamke mwenzake? Dume zima limekaa kikike kikeeeeeeee.....
Nashukuru pia, nimefahamu kuwa wajua kiswahili.
I am wondering how is he able of launching assaults on others while he has failed to respond to fraud allegations directed at him by TUNTEMEKE? The defected priest should know better that those who live in glass houses do not want to hurl rocks at others. And unless he starts putting into practice what he discourses, his boldness will soon backfire to degrade him to a cowardice crook politician.
one point i said, one too many loses the taste
does it mean hakuna ufisadi mpya hadi tubaki na epa na richmond tu??? mbona upo mwing tu wa madini, mambo ya mikataba ya exploration, contracts za energy sector na barabara bila kusahau kilimo kwanza na sekta ya afya??
anyway, ni mawazo yangu tu
kwa nini unamtukana Lunyungu?we Josephine?
Absolutili Dushibagi.I am wondering how is he able of launching assaults on others while he has failed to respond to fraud allegations directed at him by TUNTEMEKE? The defected priest should know better that those who live in glass houses do not want to hurl rocks at others. And unless he starts putting into practice what he discourses, his boldness will soon backfire to degrade him to a cowardice crook politician.
no dought, no qns, ww ni sweety wa tigo..... acha ujinga, don't expose ur ignorance hapa, harlot.... Ww mke wa Wasira nn..? Dr. Slaa aliacha upadre baada ya kuitwa na Wazee wa Kiiraqw pale Karatu, tena kupitia CCM wakati ule 1995 na alimshinda Qorro kupitia kura za maoni za CCM kwa 80%, ila Qorro aliyekuwa mbunge wa Karatu alikuwa hapendwi kabisa na wananchi those days hakuna alicho fanya miaka mingi ya ubunge wake, Qorro akaenda
KUSEMA KUWA Dr. Slaa si mzoefu wa siasa na hajulikani CCM that was 1995, Dr. Slaa akatolewa na Qorro kurudishwa kugombea ubunge thru CCM, na Dr. Slaa aliyeitwa na WAZEE WA KARATU na ndio kisa cha kuacha upadre akaambiwa achague chama chochote agombee, ndio akaenda CDM, na akashinda kwa 90%, Qorro alikoswa koswa kupigwa na wananchi siku ya kutangaza matokeo kwani Polisi walisaidia sana, maana alipata like 7% ya matokeo ya kura yote,.
Sasa hapa Wasira anadanganya watu na U calling ur self swty wa tigo unakurupuka, ur such an asshole.....
one point i said, one too many loses the taste
does it mean hakuna ufisadi mpya hadi tubaki na epa na richmond tu??? mbona upo mwing tu wa madini, mambo ya mikataba ya exploration, contracts za energy sector na barabara bila kusahau kilimo kwanza na sekta ya afya??
anyway, ni mawazo yangu tu