Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mr. Bones/gwaragwara
Gods must be crazy
Kuna movie moja ya jack chain sijui inaitwaje
Nollywood na bongo hata hazistahili kuitwa movies. Zile ni skits au maigizo
Wanajua sana 🙌🙌🙌. Siku hizi naangalia movie na series za SA tu. Kuna Isono, blood & Water, Oloture, Redemption ukipata nafasi ziangalie mkuuKwema Wakuu!
Nje na kuandika na kusoma vitabu na Makala mbalimbali. Ninapenda Sana kuangalia Filamu.
Kwa Hapa Afrika nimejikuta nikivutiwa na Filamu za Afrika ya Kûsini.
Nigeria wanakibarua kizito Kwa washindani waô yàani South Africa.
Kaangalie vyuma vifuatavyo Kutoka Bondeni alafu uje Hapa kunishukuru:
1. King of Johannesburg ( Joburg)
2. Savage Beauty
3. Queen of Sono
4. Fatal seduction
5. Shaka Ilembe.
Ukipata Muda fuatilia vyuma h
Wanapataje mauzo?Kuna movie nyingi sana SA wametoa.
Halafu quality ya movies zao kama Hollywood, jamaa wapo vizuri sana..
Una maana ya namna wanaingiza faida kupitia movies?Wanapataje mauzo?
Wanajua sana 🙌🙌🙌. Siku hizi naangalia movie na series za SA tu. Kuna Isono, blood & Water, Oloture, Redemption ukipata nafasi ziangalie mkuu
South Africa wamecopy movie nyingi za Nigeria. Hizo zote ni mapitio ya Nigeria. Wanabadiri kidogo tu. South Africa hawana tofauti na WaTz.
Nigeria huwezi kiwalinganisha na yoyote hapa Africa. Nigeria ndio mwamba wa movie,sio Africa tu. Na baadhi ya nchi huko juu.
Labda kwa vijana wa 2000 ndio hawawajui Nigeria
My fav of all time.
Ndio kwa sababu naona ziko free, huku wao wamewekeza fedha za kutosha kwenye uzalishaji.Una maana ya namna wanaingiza faida kupitia movies?
Mkuu movies sio free, hizi za free ni wana download kutoka torrent za piracy.Ndio kwa sababu naona ziko free, huku wao wamewekeza fedha za kutosha kwenye uzalishaji.
Mkuu ongezea hiziKwema Wakuu!
Nje na kuandika na kusoma vitabu na Makala mbalimbali. Ninapenda Sana kuangalia Filamu.
Kwa Hapa Afrika nimejikuta nikivutiwa na Filamu za Afrika ya Kûsini.
Nigeria wanakibarua kizito Kwa washindani waô yàani South Africa.
Kaangalie vyuma vifuatavyo Kutoka Bondeni alafu uje Hapa kunishukuru:
1. King of Johannesburg ( Joburg)
2. Savage Beauty
3. Queen of Sono
4. Fatal seduction
5. Shaka Ilembe.
Ukipata Muda fuatilia vyuma hivyo.
Uje unishukuru
na wana mizigo hatariLakini wasouth wana rangi nzuri Sana Kuliko mataifa mengi sijui hua wanakuaje, wana watoto watamu hatari
indeed!Kuna hiyo fatal seduction ni noma sana bwana Mdogo Jacob anavyojipigia lishangaz na binti yake kwa wakat mmoja!!
Shida ya movies nyingi za sauzi zinasupport sana hizi mambo za LGBTQ na ni karibu kila movie nnayo icheki lazma iwe na hizi mambo
Hapa kwetu ni upuuzi tu, wauza sura watupu, imagine katika tasnia ya habari, ukiacha Tido muhando, Charles Hilary, na Kikeke, hakuna mwingine anayeweza kuendesha mahojiano na viongozi, mabalozi wa nje!Kwema Wakuu!
Nje na kuandika na kusoma vitabu na Makala mbalimbali. Ninapenda Sana kuangalia Filamu.
Kwa Hapa Afrika nimejikuta nikivutiwa na Filamu za Afrika ya Kûsini.
Nigeria wanakibarua kizito Kwa washindani waô yàani South Africa.
Kaangalie vyuma vifuatavyo Kutoka Bondeni alafu uje Hapa kunishukuru:
1. King of Johannesburg ( Joburg)
2. Savage Beauty
3. Queen of Sono
4. Fatal seduction
5. Shaka Ilembe.
Ukipata Muda fuatilia vyuma hivyo.
Uje unishukuru
Who Am IMr. Bones/gwaragwara
Gods must be crazy
Kuna movie moja ya jack chain sijui inaitwaje