Filamu ya John Wick

Filamu ya John Wick

Kama ingekuwa CORONA imeua mbwa wa JONATHAN bas leo hii dunia nzima ingechafuka
tapatalk_1587024570168.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gonga Like [emoji1417] kama umeielewa Picha na unaisubiria kwa hamu zote. You just can't wait!

“YOU STABBED THE DEVIL IN THE BACK. TO HIM, THIS ISN’T VENGEANCE; THIS IS JUSTICE.”

"YOU WANTED ME BACK. I'M BACK."

“WHOEVER COMES, WHOEVER IT IS... I’LL KILL THEM. I’LL KILL THEM ALL.”
IMG_20200514_164802.jpg


Sent using NASA Satellites
 
John Wick ni kisanga, anachabanga risasi kama hana akili nzuri huyu mwamba. Vyuma vililia sana kwenye hii ya kwanza, ngoja nitafute muendelezo.
Mkongwe kwenye kazi za kimafia na muuaji wa kukodiwa asie na mipaka john wick,anastaafu hiyo kazi baada ya kuoa na kutulia na mkewe..

Baada ya mkewe kuugua ghafla na kufa,john anabaki kwenye huzuni kubwa..na maisha yakaendelea akiwa na zawadi ya mbwa alioachiwa na mkewe kama kumbukumbu

..Mtoto mmoja muhuni wa tajiri anamuona john wick sheli na kumwambia amuuzie gari lake..john anakataa..
Yule kijana akafanya kosa la kumfatilia john mpaka nyumbani kwake na wenzie na kumpiga kipigo cha mbwa mwizi wakitafuta funguo za gari,wakafanya kosa lingine kubwa zaidi

.....wakamuua mbwa wake...
..Walipopeleka gari gereji likabadilishwe..mwenye gereji akawafukuza sababu gari analijua ni la nani..yule kijana alipoenda kwa baba yake ambae ni tajiri na ni muuaji pia,akamwelezea..baba mtu akashtuka..akamuuliza mtoto wake"umechukua gari la nani?..mtoto akajibu "aah baba lile si gari tu na yule ni mnyonge"
..Baba akafoka akasema kwa sauti..lile sio gariiii...lile ni gari la
john wick..
..Mtoto akauliza "john wick ni nani"?..
..Baba akamnasa kwanza kofi mwanae halafu akaanza kumwambia kuhusu huyo john wick..huku akimwambia mwanangu umeyakanyaga..kaandae jeshi mpaka kutoka australia..umeamsha jini..
alipoambiwa kuwa na mbwa wake tumemuua mzee sigara ilimtoka mdomoni..anamjua vizuri huyo mtu
Muda huo john wick baada ya kuamka alipopigwa,akaamka akiwa yule john wick waliemsahau..mnyama..binadamu mwenye roho mbaya kuliko roho mbaya yenyewe...
...Rafiki yake john wick askari akamwambia hawa vijana ntawakamata john akamuuliza "umenisahau"..yule askari akatetemeka..aksema kazi imeanza,maaskari waanze kuokota maiti..sababu ni mbwa tu..
.Kweli jiji lilizima...mji ulichafuka..dunia ilijua..
...ITS JOHN WICK MOVIE SERIES..
67403702_1125447497638552_8411459665556144128_o.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vigo: It's not what u did son that angers me so, it's who u did it to.
Loseph: Who!!? The f*cking nobody!!??
Vigo: That f*cking nobody, is John Wick...
He once was an associate of ours, they call him baba yaga...
Loseph: The boogeyman!?
Vigo: Well, John wasn't exactly the boogeyman, he was the one u sent to kill the f*cking boogeyman.
Loseph: Ohh!!!
Vigo: John is the man of focus, commitment, sheer will, something u know very little about.
I once saw him kill 3 men in a bar with a pencil!!! With a f*cking...pencil!!
And then suddenly one day he asked to leave, it's over a woman ofcourse...So i made a deal with him, i gave him an impossible task! A job no one could have pulled off. The bodies he burried that day, laid the foundation of what we are now. And then my son, a few days after his wife died u steal his car, and kill his f*cking dog!!!
Loseph: Father i can make this right.
Vigo: Oh, and how do u plan that!?
Loseph: By finishing what i started.
Vigo: What the f*ck!!! Did he hear a fu
*cking word i have said!!?
Loseph: speaking Russian (Father i can do this)
Vigo: Loseph Loseph listen...John will come for u, and u will do nothing, because u can do nothing. So get the f*ck out of my sight...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom