Filamu ya The Royal Tour kuonyeshwa vituo vyote vya TV Mei 8

Filamu ya The Royal Tour kuonyeshwa vituo vyote vya TV Mei 8

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
"Kamati ya Kitaifa ya Rais ya Kutangaza Tanzania, imesema kuwa Mei 8, 2022 Filamu ya Tanzania ‘The Royal Tour’ itaoneshwa vituo vyote vya Runinga Nchini ili watanzania wote wapate nafasi ya kuiona."-Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi.
 
"Kamati ya Kitaifa ya Rais ya Kutangaza Tanzania, imesema kuwa Mei 8, 2022 Filamu ya Tanzania ‘The Royal Tour’ itaoneshwa vituo vyote vya Runinga Nchini ili watanzania wote wapate nafasi ya kuiona."-Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi.
Ujinga ni mzigo yaani ikioneshwa TV zote bongo ndio watu wa Nanjilinjili wataenda kutalii shida mko na watu hawajawahi kumiliki hata genge la kuuza pilipili, thinking ya biashara watatoa wapi
 
"Kamati ya Kitaifa ya Rais ya Kutangaza Tanzania, imesema kuwa Mei 8, 2022 Filamu ya Tanzania ‘The Royal Tour’ itaoneshwa vituo vyote vya Runinga Nchini ili watanzania wote wapate nafasi ya kuiona."-Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi.
Sahivi pesa zinapigwa kwa kisingizio cha Royol Tour ambayo haina maana yoyote kwetu
 
Ndo mtaelewa sasa kuwa Rais asiyecheka na nyani na mpiga kazi vs Rais mlenda mlenda anaekumbatia wapigaji nani ana tija kwa maendeleo!

Oh Rais ananyima watu uhuru haya sasa uhuru umepatikana wa mtu kupiga hela ya Serikali kadri atakavyo na hamna kazi inayofanyika!
 
Baada ya Royo Tua itakuja movie gani tena
 
"Kamati ya Kitaifa ya Rais ya Kutangaza Tanzania, imesema kuwa Mei 8, 2022 Filamu ya Tanzania ‘The Royal Tour’ itaoneshwa vituo vyote vya Runinga Nchini ili watanzania wote wapate nafasi ya kuiona."-Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi.
Bora mvua inyeshe umeme ukatike siku hiyo kuliko kurushwa kwa huo upupu
 
Ndo mtaelewa sasa kuwa raisi asiyecheka na nyani na mpiga kazi vs raisi mlenda mlenda anaekumbatia wapigaji nani ana tija kwa maendeleo!

Oh raisi ananyima watu uhuru haya sasa uhuru umepatikana wa mtu kupiga hela ya serikali kadri atakavyo na hamna kazi inayofanyika!
Kazi karibu zote zimesimama
 
"Kamati ya Kitaifa ya Rais ya Kutangaza Tanzania, imesema kuwa Mei 8, 2022 Filamu ya Tanzania ‘The Royal Tour’ itaoneshwa vituo vyote vya Runinga Nchini ili watanzania wote wapate nafasi ya kuiona."-Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi.
Bila kusema itakuwa saa ngapi, uzi unapwaya 🙄
 
Ndo mtaelewa sasa kuwa raisi asiyecheka na nyani na mpiga kazi vs raisi mlenda mlenda anaekumbatia wapigaji nani ana tija kwa maendeleo!

Oh raisi ananyima watu uhuru haya sasa uhuru umepatikana wa mtu kupiga hela ya serikali kadri atakavyo na hamna kazi inayofanyika!
Honestly magu hakuwa mpiga kazi,ukatili tu na roho mbaya,Kama sgr na jnhep vinaendelea kujengwa
 
Alikuwa mkatili kwa nani? Hata mie ukiingia anga zangu nakupoteza mbona!

Fata mambo yako uone kama dunia itakuwa ngumu kwako hata siku moja.
Kuingia tu kaanza kubomoa nyumba, Kinondoni pale na huko ushuani, 2017 akaanza kubomoa toka Dar mpaka Mwanza, zaidi ya Mita 30 toka kwenye reli Kama Sheria inavyosema, kauli zake za hakuna Cha bure, mtaishi Kama mashetani, kule Kagera aliwaamvia hatoi chakula baada ya tetemeko, sijui tunahifadhi chakula kwa ajili ya Nani!?..hela zao za rambirambi akakomba, akapunguza mzunguko wa fedha toka 12% mpaka 6% ili tuishi Kama mashetani, Mimi mkulima, Kikwete alituwekea ruzuku ya pembejeo maeneo zalishi, tukawa tunanunua mbolea elfu 18, Magu Akaona tunafaidi akaondoa, tukanunua kwa elfu 60
 
Back
Top Bottom