Kuingia tu kaanza kubomoa nyumba,kinondoni pale na huko ushuani,2017 akaanza kubomoa toka dar mpaka mwanza,zaidi ya Mita 30 toka kwenye reli Kama Sheria inavyosema,kauli zake za hakuna Cha bure,mtaishi Kama mashetani,kule kagera aliwaamvia hatoi chakula baada ya tetemeko,sijui tunahifadhi chakula kwa ajili ya Nani!?..hela zao za rambirambi akakomba,akapunguza mzunguko wa fedha toka 12% mpaka 6% ili tuishi Kama mashetani,Mimi mkulima,kikwete alituwekea ruzuku ya pembejeo maeneo zalishi,tukawa tunanunua mbolea elfu 18,magu Akaona tunafaidi,akaondoa,tukanunua kwa elfu 60