Wewe ndio mjingaUjinga ni mzigo yaani ikioneshwa TV zote bongo ndio watu wa nanjilinjili wataenda kutalii shida mko na watu hawajawahi kumiliki hata genge la kuuza pilipili thinking ya biashara watatoa wapi
Hivi kuna mradi wa JPM uliosimama mpaka sasa?Ndo mtaelewa sasa kuwa raisi asiyecheka na nyani na mpiga kazi vs raisi mlenda mlenda anaekumbatia wapigaji nani ana tija kwa maendeleo!
Oh raisi ananyima watu uhuru haya sasa uhuru umepatikana wa mtu kupiga hela ya serikali kadri atakavyo na hamna kazi inayofanyika!
Posho umeshapewa utasumbua snHata hapo Ufipa?
Yule alikuwa ni zaidi ya shetaniKuingia tu kaanza kubomoa nyumba,kinondoni pale na huko ushuani,2017 akaanza kubomoa toka dar mpaka mwanza,zaidi ya Mita 30 toka kwenye reli Kama Sheria inavyosema,kauli zake za hakuna Cha bure,mtaishi Kama mashetani,kule kagera aliwaamvia hatoi chakula baada ya tetemeko,sijui tunahifadhi chakula kwa ajili ya Nani!?..hela zao za rambirambi akakomba,akapunguza mzunguko wa fedha toka 12% mpaka 6% ili tuishi Kama mashetani,Mimi mkulima,kikwete alituwekea ruzuku ya pembejeo maeneo zalishi,tukawa tunanunua mbolea elfu 18,magu Akaona tunafaidi,akaondoa,tukanunua kwa elfu 60
Ndo mtaelewa sasa kuwa raisi asiyecheka na nyani na mpiga kazi vs raisi mlenda mlenda anaekumbatia wapigaji nani ana tija kwa maendeleo!
Oh raisi ananyima watu uhuru haya sasa uhuru umepatikana wa mtu kupiga hela ya serikali kadri atakavyo na hamna kazi inayofanyika!
Raia wapumbavu wanaendeshwa na wanasiasa. Uhuru uliokuwa unaliliwa ni wa kuiba hela bila kukamatwa.Yani Acha kabisa aisee... huyu bi mzee sijui ni nini uchi anafanya spending a lot of money kwenye upuuzi!!!! Na iyo project yake inasaidia nini kwa taifa hili? Inamaana hao wazingu walikuwa hawajui vivutio vilivyopo Tanzania?
2025 hatoboi na sasa utaanza kusikia baazi ya taasisi wanapunguza raia kazi maana pesa inapigwa vbaya vbaya!!!
Iyo pesa ametumia na bado anatumia angesafisha mapori baadhi na tukafanya kulimo cha alizeti mafuta yapungue bei!!! Hii nchi ni ngumu sana sisi kufikia nchi ya ahadi viongozi wetu ni wa ovyo sana
Ndo mtaelewa sasa kuwa raisi asiyecheka na nyani na mpiga kazi vs raisi mlenda mlenda anaekumbatia wapigaji nani ana tija kwa maendeleo!
Oh raisi ananyima watu uhuru haya sasa uhuru umepatikana wa mtu kupiga hela ya serikali kadri atakavyo na hamna kazi inayofanyika!
Raia wapumbavu wanaendeshwa na wanasiasa. Uhuru uliokuwa unaliliwa ni wa kuiba hela bila kukamatwa.
Magufuli alipunguza grupu la wadokozi na ndio alichukiwa vibaya na kuzushiwa kila baya yani! Wadokozi wakishirikiana na viongozi wa serikalini na watumishi wahuni ndio hasa wamekuwa wakiendesha propoganda hizi za kipuuzi na ndio wengine wamekuwa machawa wa kumtetea mama
Honestly magu hakuwa mpiga kazi,ukatili tu na roho mbaya,Kama sgr na jnhep vinaendelea kujengwa
Kuingia tu kaanza kubomoa nyumba,kinondoni pale na huko ushuani,2017 akaanza kubomoa toka dar mpaka mwanza,zaidi ya Mita 30 toka kwenye reli Kama Sheria inavyosema,kauli zake za hakuna Cha bure,mtaishi Kama mashetani,kule kagera aliwaamvia hatoi chakula baada ya tetemeko,sijui tunahifadhi chakula kwa ajili ya Nani!?..hela zao za rambirambi akakomba,akapunguza mzunguko wa fedha toka 12% mpaka 6% ili tuishi Kama mashetani,Mimi mkulima,kikwete alituwekea ruzuku ya pembejeo maeneo zalishi,tukawa tunanunua mbolea elfu 18,magu Akaona tunafaidi,akaondoa,tukanunua kwa elfu 60
Elimu yenyewe huna halafu unataka unipe elimu,nipo tabora,hebu nipe alichoufanyia mkoa wa tabora!?...CAG akisema trial 1.5 hazikujulikana zilikoenda,akasema mradi wa umeme Haina faida,magu wako akahakikisha cag anatoka hata kinyume Cha sheria,We unaishi wapi mkuu au mkoa gani? Nataka popote ulipo nikwambie magu alichokufanyia hapo ulipo kama wewe huwoni..... Ngoja nikupe elimu kazi ya raisi ni kuwa msimamizi wa fedha za umma nakuletea maendeleo kwenye nchi husika....
Magu hakuwa anatoa pesa zako mfukoni ni pesa za umma ila aliweza kuzisimamia kikamilifu na ndo sbabu unaona Iyo miradi ipo ni kwasababu kuna mikataba ilishaingiwa hapo.....
Huyu mtu sasa ni marehemu lakini mazuri ni mengi kuliko mabaya..... kwa miaka 5 ya magu alipiga kazi na kujichosha sana na pengine ndo sbabu hatupo nae!!! Mwili unahitaji kupumzika ila kile chuma adi kwenye mapumziko yake bado alikuwa anatoa maelekezo na kupitia mafile ya nchi!!! Alafu nchi hii karibu %60 ukiwauliza maendeleo ni nini hawajui na wewe ni mmoja wapo!!! Kwaiyo iyo royal tour ndo maendeleo kwa nchi kama tz?
Asee Rais SSH bado hajafahamu ni nini watanzania wanahitaji
Faida ni mauzo kutia gharama,gharama zikizidi faida hupungua au kuondoka kabisa,mbaya zaidi akaingia mgogoro na Kenya tunapouza zaidi nafaka zetu,tulikaa na mpunga wa 2017-18 kwa miaka mitatu,mpaka mwezi wa tisa bado gunia kilikua elfu 45-50,wakati wa kikwete tukiuza 80-100Kwaiyo kwenye icho kilimo ulikuwa huapati faida? Kipindi cha uyu mzee wako kkt mlikuwa unalia lia na kwa magu mkalia lia na sasa ivi unalia lia ifike mahali nchi ni kubwa na inahitaji fedha bila kubanana humu nchini ndo Haya ya mama ako kuomba uko kwa beberu na hutaamini hawa wazungu sio wajinga kiasi hiki wana jambo lao
One Down Two to Go!!Baada ya Royo Tua itakuja movie gani tena
Kawakusanya kina bongo movie wamejaa huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..... nina uwakika majirani zetu wanatucheka sana kwamba hapa ndo tz ilipofikia kutoka kwenye speed ya magu mpaka royal tour
Elimu yenyewe huna halafu unataka unipe elimu,nipo tabora,hebu nipe alichoufanyia mkoa wa tabora!?...CAG akisema trial 1.5 hazikujulikana zilikoenda,akasema mradi wa umeme Haina faida,magu wako akahakikisha cag anatoka hata kinyume Cha sheria,
Sishabikii lolote linalotokea ila ni mdau wa kuwa sehemu ninayodhani itanipa jibu kwa future yangu na nchi.
Hiyo sinema ina tangazq yenyewe (blanding) kuwachukua wasanii na kuwapeleka Arusha kupromote utalii na sinema ni kutufanya watanzania wajinga.
[emoji746] Hiyo sinema yenyewe tu inajitangaza kimataifa pasi kumtegemea mtu, mngesubiri impact kutoka majuu not inside, pesa zimekuwa nyingi hakuna pa kuzipeleka zikatoe +matokea!.