Filamu ya The Royal Tour kuonyeshwa vituo vyote vya TV Mei 8

Mradi maji wa pesa za wahindi aliu-lobby jakaya
 
Alikuwa mkatili kwa nani? Hata mie ukiingia anga zangu nakupoteza mbona!

Fata mambo yako uone kama dunia itakuwa ngumu kwako hata siku moja.
Tuko pa1 mkuu!
Hata Mimi mtu akiingia anga zangu ni kumshona tu kisawasawaa!
Tatzo watu hawataki kufanya kazi, ni majungu tu!

HAPA KAZI TU.
 
Tuko pa1 mkuu!
Hata Mimi mtu akiingia anga zangu ni kumshona tu kisawasawaa!
Tatzo watu hawataki kufanya kazi, ni majungu tu!

HAPA KAZI TU.
Watu hawataki kuwa busy na yao wamekalia majungu tu kisha wanataka wachekewe.

Watu wamesurvive vizuri tu kipindi cha Magu na biashara zilikuwa maradufu ila wapiga dili ndio walikuwa wananyooshwa.
 
Watu hawataki kuwa busy na yao wamekalia majungu tu kisha wanataka wachekewe.

Watu wamesurvive vizuri tu kipindi cha Magu na biashara zilikuwa maradufu ila wapiga dili ndio walikuwa wananyooshwa.
Hahaha ,mfumo wetu ni wa kutesa kwa zamu chief

Ova
 
Like lilikuwa janga la kitaifa. Mungu anatupenda watanzania.
 
Watanzania ni wanufaiki wa pato la utalii litakaloongezeka baada ya royal tour kuoneshwa kwa waliolengwa kuiona huko duniani. Ndivo nilivoelewa kutoka na maelezo ya hapo awali.
 

Duh! Kamati ya Kitaifa ya Rais ya Kutangaza Tanzania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…