Filamu ya wwz na mipango ya kupunguza idadi ya watu

INAWEZEKANA UGONJWA WA EBOLA NI MAJARIBIO YA KUFANYA WATU KUWA MAZOMBI
 
kwaiyo adhabu yakumpiga mwanamke aliyezini mawe mpka afe na kumwacha mwanaume aendelee kuishi imeanzishwa mwaka gani? so far ukiwa na IQ kubwa na techolojia inavyokuwa hata wew kuna vitu unaweza kupredict 10yrs to come
 
Old wives tale, hapo zaman za kale....
 
Kuna vitu vingine kuvitenganisha ni kazi sana ata kama havina ukweli
1.Uislam na ugaidi
2.punyeto na nguvu za kiume
3.CCM na ujinga
4.Pombe na umalaya
5.Wasukuma na ushamba
6.... Vingine malizieni nyie wadau
Kuna vitu vingine kuvitenganisha ni kazi sana ata kama havina ukweli
1.Uislam na ugaidi
2.punyeto na nguvu za kiume
3.CCM na ujinga
4.Pombe na umalaya
5.Wasukuma na ushamba
6.... Vingine malizieni nyie wadau
1.Uislam na Ugaidi.
Kama unaakili timamu na akili zako zinafanya kazi tafuta maana ya Uislamu na Ugaidi utaona utofauti wake ebu jifunze mwenyewe funuafunua vitabu usome.
Uislamu na Ugaidi ni vitu viwili tofauti.
Ushawahi kusikia american wanamwita mzungu/mkristo mwenzao Gaidi japokuwa kaua watu 58 Las Vegas.
 
Ok
 
Kuna vitu vingine kuvitenganisha ni kazi sana ata kama havina ukweli
1.Uislam na ugaidi
2.punyeto na nguvu za kiume
3.CCM na ujinga
4.Pombe na umalaya
5.Wasukuma na ushamba
6.... Vingine malizieni nyie wadau
Unasahau "the first terrorist in the world is UNITED STATES." lakini kwa sababu uko "brain washed" huwezi ona hiyo!
 
Kwa hiyo unataka kusema mambo yote yanayotokea kuhusu ugaidi sio kweli ni Hollywood wanatuaminisha kwa hiyo Isis,book haram,alqaida na matukio yao yote ya kigaidi ambayo mengine yametugusa kabsa( refer West gate) sio kweli ni Hollywood tu ....dude really ?? Au mi ndo sijaelewa
 
Simpsons wametabir meng sana naamin ni zaid ya muvi yoyot ile ilowah kuigizwa dunian
 
Hebu fanya yako mkuu!! Hawa theorist huwa wapo kuilazimisha juu kuitwe chini! Yaani mtu anaandika kitu ambacho hata yeye mwenyewe hakielewi na anataka aaminike! Hebu angalia huu mkorogo wake hapa kisha tazama vizuri hizo tarehe zake uniambie kama huyu anaelewa alicho copy> mwaka 1954 kitabu kilicho kwenda kwa jina la ‘I Am Legend’ kilizinduliwa. Matukio katika kitabu hich
o ni baina ya mwaka 1976 – 1979. Mwaka 1957 janga la mafua likaimeza dunia na chanjo ya polio ikaanza kutumika ras
mi. Kipindi ambacho kimetumika kama muda wa maudhi ya kitabu yaani miaka minne ndicho kipindi kilicho chukua kuibuka
kwa janga la mafua tangu kitabu hicho kiingie s
oko

ni.

 
Kuna Chanel Fulani hivi ya TV inaitwa VIASAT HISTORY wanavipindi vingi vya ajabuajabu Ila kilichonishangaza ni kuwa vimpires kumbe tayari wanaishi na nchi iliyonao kwa wingi nimeisahau tu jina ila ni jirani jirani na Urusi. Walikuwa wanaoneshwa maisha yao na namna wakifa wanavyotakiwa kuzikwa ili wasifufuke kuja kunyonya damu za watu.
ONYO LANGU: Kama kichwa chako ni chepesi kudanganyika achana nao jamaa wanamajibu mepesi sana kwenye maswali magumu na wanaushawishi mkubwa sana kifupi wamejipanga.
 
Hao jamaa uliiwataja hapo ni kweli wanafanya vitu ambavyo sivyo ila kwa saudia pale wao kuchinja mtu anachinjwa kama amepatikana na hatia ambayo inarusu mtu huyo kuhumiwa hivyo kwenye swala la boko haram sijui al shabab na wengine hao jamaa ni kama hawana akili na nadhani hawajui kile wanafanya nani kawatuma kufanya hivyo maadam wameambiwa kuwa wanapigania kitu flani basi wao wanafanya laiti kama wangeona nyuma ya pazia sidhani kama wangefanya wanayoyafanya.
Tv manupulate your mind to believe what you can not see wanapindua tu.
 
Mazombie kwenye hiyo movie ya world war z yana mbio balaa! Hata train za umeme cha mtoto!
 
Nje kidogo... Bradd na angelina si wameachana kitambo?
 
nyingine inaitwa *In Time* amecheza Justin timberlake humu...maudhui yake tata aisee,
 
Nje kidogo... Bradd na angelina si wameachana kitambo?
Hata Mimi sijaelewa bradd na Angie wameingia vipi tena hapa na kama ndoa yao tayari ilishavunjika sasa anasemaje tena wanatarajia kuoana au labda in next life sio hii..
 
Ngoja na mimi sikuhizi niwe naangalia movie na nyuma ya pazia....
maana wametuaminisha mavampire,zombies,Dracula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…