Filamu ya wwz na mipango ya kupunguza idadi ya watu

Ni zaid ya hapo, sababu uislamu haujaanzia kwa mtume muhammad(s.a.w) uislam upo tangu enzi adam na kabla kuumbwa kwake..

Lakin hata tukichukua logic hyo tu unaona ugaidi ni kitu kilichopandikizwa katika akili za watu ionekane ni ubaya wa waislam... Uislam upo karne na karne, ugaidiumeanza miaka kadhaa tu ambapo km angalikuwa mtu basi ugaidi ungeamkia baadhi ya watu...
 
kwaiyo adhabu yakumpiga mwanamke aliyezini mawe mpka afe na kumwacha mwanaume aendelee kuishi imeanzishwa mwaka gani? so far ukiwa na IQ kubwa na techolojia inavyokuwa hata wew kuna vitu unaweza kupredict 10yrs to come
Aliyekwambia adhabu inamtenga mwanaume ni nani!?
 
Kwanza nimesikitika kwamba hii filamu ya nyuma sana ndo leo umeiangalia ok si tatizo sana. Lakini pia ujue hata wewe unaweza predict future yako kwa kuona unavyoishi sasa aina ya maisha uliyonayo. Kwa hiyo si kitu cha ajabu sana ila umeelewekaa vizuri kwa bandiko hili yawezekana kuna mengi yanapangwa kwani kuna mtu aliwahi sema hakuna jambo hata moja linatoke kwa bahati mbaya Noo...
 
naona umevutiwa na kazi zangu nivizuri ukawa una acknowledged source kuwa umeitua wapi ili wengine wakaelimike huko kwenye source.
The master himself.
 
Acha woga wa maisha ndugu fanya kazi live life,.. Kama kufa utakufa tu, slow down ur mind,
 
Sasa msimamo wa dini ya kiislamu na hiyo thread hapo inhusiana nini?????
 
Mwenzenu siwezagi kusoma post ndeefu hivi. Sijui nimelogwa!!!???
 
Kna series moja ya kimarekani inaitwa 'sleepy hollow 'hii movie naona ina uhalisia kbsa na maisha ytu
 
watu kama wewe ni wachache hata ukitoa mawaza unafaa kabisa.sio hawa juma mpika pirau au shabani mkabaji kaacha shule kitambo naye kawa sheik au hostazi wakati mda wao wote wapo kwenye mambo yao.
 
Well said mkuu [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
By the way huo ni mtazamo wako haupaswi kupingwa.
 
Kuna vitu vingine kuvitenganisha ni kazi sana ata kama havina ukweli
1.Uislam na ugaidi
2.punyeto na nguvu za kiume
3.CCM na ujinga
4.Pombe na umalaya
5.Wasukuma na ushamba
6.... Vingine malizieni nyie wadau
Add this
Christianity and infidelity
 
Trust me you're thinking too much, nothing will happen as they're planning, Mungu hawezi kuwaachia ulimwengu to that far, ulimwengu utaisha kwa namna nyingine kabisa pale Mungu atakapoamua na kusema kuwa ni wakati sasa wa ulimwengu kutokea namna flani
 
  • Hizo ni theory za watu tu waliokaa huko marekani na kuamua kuandika hivyo.Toka wameanza kusema illuminati wana mpango wa kupunguza watu duniani ndo kwanza Wanaongezeka kwa wingi.
 
Zamani nilijua Madenge,kipepe,sokomoko,ndumila kuwili , mapung'o na wote kwenye gazeti la sani ni watu wa ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…