Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120][emoji120][emoji120]Pole sana...
Kongole nyingi kwa mke wangu,Pole mtoa mada.
Kiuhalisia hakuna mwanamke anaependa kuishi maisha ya shida. Hivyo mume unapoyumba kiuchumi, mabadiliko ya kitabia ya mkeo lazima ukutane nayo. Ni wanawake wachache sana wanaweza kuwa wavumilivu.
Tulishawaambia WASIOE.
Na bado siku ukijenga hekalu utaona hana hadhi ya kukaa na wewe, unapiga chini unaingiza katoto kabichiii katoto namba D!!!!Kongole nyingi kwa mke wangu,
Kutoka kwenye kuvumilia chumba chenye mchanga mpaka kwenye chumba chenye zege kwa juu.. Mungu akutunze
Dhambi Mungu hapendiNa bado siku ukijenga hekalu utaona hana hadhi ya kukaa na wewe, unapiga chini inaingiza katoto kabichiii katoto namba D!!!!
Ukiwa huna unaona dhambi, ukiwa nazo fck dhambi 😁Dhambi Mungu hapendi
Yawe yamemkuta nae...ndo atavumilia coz kaonja hiyo pinchPole mtoa mada.
Kiuhalisia hakuna mwanamke anaependa kuishi maisha ya shida. Hivyo mume unapoyumba kiuchumi, mabadiliko ya kitabia ya mkeo lazima ukutane nayo. Ni wanawake wachache sana wanaweza kuwa wavumilivu.
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Muda wa raha ni wa wote 'ke na me' na muda wa shida ni wa 'me' tu...
Hehehe kwamba now mko kwenye floor[emoji848]Kongole nyingi kwa mke wangu,
Kutoka kwenye kuvumilia chumba chenye mchanga mpaka kwenye chumba chenye zege kwa juu.. Mungu akutunze
Noma mzeeHehehe kwamba now mko kwenye floor[emoji848]
Tundaman[emoji1]Pesa Iko juu ya sheria nimafukala ndiyo tunalia
KwakweliHili point namba Tano ina ukweli kabisa....mi sina ramani hisia ntazipata wapi[emoji848][emoji848]
Hapo namuunga mkono wifi
Aamen[emoji120][emoji120]Pole sana Mungu akupiganie katika changamoto unayopitia.