Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli anafuta magoli ile mbayaduh kipa wa US leo nimemkubali
kurudi anaweza brazil sema bado naona usa wataendelea kujituma.Half time hiyo...bado mnategemea Brazil kurudisha?
Kama unamzungumzia Adou.....Kako benchi kanachekacheka tu.....hakapati namba wala nini...Kakijana kadogo ka Kighana kalikochezea USA kaliishia wapi?
kurudi anaweza brazil sema bado naona usa wataendelea kujituma.
Hivi hata kwenye kikosi chake yumo?
Mkuu ndipo nilisema 'Experience the difference' (msemo wa VodaCom)... Kile ambacho hakitarajiwi ndicho kinaonekana katika soka hili...Invisible, nilikwambia Brazil waksihangaa wanachapwa la pili hahaha ata dakika kumi hazikuisha wakatengenezwa.
Hivi hata kwenye kikosi chake yumo?