tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,419
<br />By lara 1<br />
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!<br />
<br />
Hayawi hayawi sasa yamekuwa! Wale mliokuwa mnapuuza movies za kibongo sasa kumbuka mdomo wazi baada ya serious people with serious money kuamua kuinvest big kwenye tasnia hii! Zile jitihada ya Marehemu Kanumba (R.I.P) zimepata muendelezaji.<br />
<br />
Muke ya bosi, Cynthia Masasi Mzirai, video vixen wa U.s kitambo kwa support ya mumewe wako mbioni kudondosha bonge la movie likiwashirikisha actors kibao wavumao Africa, na kibongo bongo atacheza yeye Muke ya bosi, na Beauty Queen, Sepetu wa Sepetunga na hilo muvi litakuwa next level nikimaanisha Dude la Kimataifa!<br />
<br />
Sasa basi ngoja niwahi English kozi nipate japo scene mbili za kucheza hata beki 3, manake Tollywood inafufuka kwa kasi, and i want to be in the action. Mwanzo mgumu na kingrezaring not reachable ivo ivo tutafika!<br />
<br />
YOU HEARD!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! KHABARI NDO HIO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
<br />
<br />
Kama uko nao close<br />
waambie watafute team zilizotengeneza movie<br />
kama hizi mbili<br />
1VIVA RIVA ya DRC<br />
2.Tootsie ya SA... kama wako that serious na pesa wanayo
Wanajishaua tu ukoo wa wabeba sembe huo...si wanashinda catalunya mwenge kwa mjomba yao mbeba sembe maarufu...yetu machoo