Finally,nimeamua kufunguka....

aliyekwambia uitoe ni nani naomba uiweke haraka iwezekanavyo kabla sijakuchulia sheria , katika kifungu no.5 ibara ya 50 fanya haraka kurudisha hapohapo ulipokuwa haraka tena sasa, nisije unda TUME hapa
ilikuwepo hapo juu,nimeshaitoa
 
Kaka, kama unafahamiana na wakongwe wote hao wa JF na hasa wadada si wakupe network zao. Wao wanakufahamu na wanawafahamu watu wao si watakuunganisha na mtu wa aina yako huko kitaa. Humu JF alibahatika MadameX kumpata afande. Na ametuliaje siku hizi hata thread anachangia kwa shida. Wakabe hawa watu8 MadameX Chimbuvu nitonye Pipi lara 1 Amoeba Judgement Zinduna MziziMkavu AshaDii neggirl C6 Arushaone Bigirita Bishanga Bujibuji figganigga madameb sweetlady St. Paka Mweusi Nicas Mtei wakuoneshe wadada wa aina yako. Kila la kheri
 
aliyekwambia uitoe ni nani naomba uiweke haraka iwezekanavyo kabla sijakuchulia sheria , katika kifungu no.5 ibara ya 50 fanya haraka kurudisha hapohapo ulipokuwa haraka tena sasa, nisije unda TUME hapa
Sasa mbona unnamchanganya? we si ulisema huoni kwanini amekutaja? sasa anatoa unataka arudishe? jibu swali hili: Unamkubali snochet kama member wa familia yako hapa JF? (Yes I do au No I don't, lol)
 
Last edited by a moderator:
No! I don't
Sasa mbona unnamchanganya? we si ulisema huoni kwanini amekutaja? sasa anatoa unataka arudishe? jibu swali hili: Unamkubali snochet kama member wa familia yako hapa JF? (Yes I do au No I don't, lol)
 
Ila sasa wewe na shem mkikosana siwezi kua na confidence ya kukusemea maana makosa yanaweza kua kwako kiukweli. lol

Ha ha ha ha! Kama ulijua vile! Nikikaa mwezi mzima bila ya kumtibua anaboreka.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Makofi kwako tafadhali......:A S 41:
Hapo akikosa tena, akaoge na maji yenye ndimu na magadi soda.
 
Sasa mbona unnamchanganya? we si ulisema huoni kwanini amekutaja? sasa anatoa unataka arudishe? jibu swali hili: Unamkubali snochet kama member wa familia yako hapa JF? (Yes I do au No I don't, lol)
Mwali.......I am smelling something here.....!!!
 
Ha ha ha ha! Kama ulijua vile! Nikikaa mwezi mzima bila ya kumtibua anaboreka.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ipo siku atachoka kiukweli, kazi yako. ha ha ha
 

halafu wewe.....kwanza na mimi natafuta kidume.....hebu rekebisha hii maneno......
cc: Asprin..... Teamo..... Kimey..... Kaizer.... PakaJimmy..... fidel......@RR......et all.....
 
Last edited by a moderator:
wazo zuri maana baridi mwaka huu itakua kali na kwa mda mrefu
 
hivi.....unawezaje kucheka wakati mwenzio nipo serious nikitafuta mupenzi.......?
Hebu nibadilishie mwandiko huko. Mi pata tabu kusoma wewe......

Afu hebu niambie yule akaunta wa pale Rest In Peace bado yupo?

Mwambie June siyo mbali eti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…