Finally,nimeamua kufunguka....

Finally,nimeamua kufunguka....

Yaani nilitegemea utatuhakikishia hakuna kugonga cheers hadi siku ya ndoa. What was i thinking?
hahaha...tuongee daily,nikiongea na yeye ataongea....wote tutahusika katika kuongea.....tukikaa karibu itakuwa vyema zaidi ili niweze kumwona na kumjulia hali wakati tunapokuwa na nafasi,,ninaamini uhusiano ni kujuliana hali,kusaidiana wakati wa shida na raha,kufurahi na kadhalika...haya yote ni ngumu kutimiza kama tutakuwa mbali geographically.......
 
snochet ni mdogo wangu na rafiki yangu wa karibu sana. I am sure he will make his friend/girlfriend a happy woman. He is a VERY sensitive person, available and ready to help. He is honest and he holds values that most of us would want to see in a brother/a man. He is moderate in most of his believes and quite open to different thinking. He is curious and tolerant. He is very smart and holds structured arguments in his discussions with me, which makes him one of the best companies I have. Tunapishana kwa dini na siasa but this has never been a problem and far from dividing us it has helped me understand better christianity and Chadema. Likewise, na yeye amegundua mengi kupitia maongezi yetu.
Although we don't live in the same town we communicate very often. I really hope he will find a girl who deserves him. Good luck hun, I am sure atajitokeza mmoja atakae meet expectations zako.

Kwa jinsi ulivyompamba, ikitokea siku nimegombana na shemeji/wifi yako nitakuPM namba yake unisaidie kuniombea msamaha.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Heh. Kwani kampeni rasmi zimeshaanza? Afu unajua im just 22 yrs old. Sijui niapply?
snochet ni mdogo wangu na rafiki yangu wa karibu sana. I am sure he will make his friend/girlfriend a happy woman. He is a VERY sensitive person, available and ready to help. He is honest and he holds values that most of us would want to see in a brother/a man. He is moderate in most of his believes and quite open to different thinking. He is curious and tolerant. He is very smart and holds structured arguments in his discussions with me, which makes him one of the best companies I have. Tunapishana kwa dini na siasa but this has never been a problem and far from dividing us it has helped me understand better christianity and Chadema. Likewise, na yeye amegundua mengi kupitia maongezi yetu.
Although we don't live in the same town we communicate very often. I really hope he will find a girl who deserves him. Good luck hun, I am sure atajitokeza mmoja atakae meet expectations zako.
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi ulivyompamba, ikitokea siku nimegombana na shemeji/wifi yako nitakuPM namba yake unisaidie kuniombea msamaha.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Huyu ninavo msema ndivyo alivo nakwambia. Ila sasa wewe na shem mkikosana siwezi kua na confidence ya kukusemea maana makosa yanaweza kua kwako kiukweli. lol
 
hongera Mungu akupe kile alichoomba toka kwake kila la kheri, ila sijafurahishwa kunimention hapo, sijui kwanini umefanya hivyo lakiini yote ni kheri ondoa shaka kwa hilo

ubarikiwe

watu8, MadameX, Chimbuvu, nitonye, Pipi, lara 1, Amoeba, Judgement, Zinduna, MziziMkavu, AshaDii, neggirl, C6, Arushaone, Bigirita, Bishanga, Bujibuji, figganigga, madameb, sweetlady, St. Paka Mweusi, Nicas Mtei

ID yako nyingine ni ipi katika hizo zilizokuwa mentioned? maana hii ya ladyfurahia siioni hapo atii
 
Heh. Kwani kampeni rasmi zimeshaanza? Afu unajua im just 22 yrs old. Sijui niapply?

Biashara matangazo mpenzi. Kama hataki kujitangaza because he is too humble and modest, mi nitamtangaza. Lazima interested parties wamkaribie kwa heshima, he is a rare breed!
Ila kwa wewe ku-apply naomba ufikirie tena coz you are toooo tough. Umeona nilivo sema he is VERY sensitive (very in capital)? you might take advantage of ukarimu wake. lol
 
watu8, MadameX, Chimbuvu, nitonye, Pipi, lara 1, Amoeba, Judgement, Zinduna, MziziMkavu, AshaDii, neggirl, C6, Arushaone, Bigirita, Bishanga, Bujibuji, figganigga, madameb, sweetlady, St. Paka Mweusi, Nicas Mtei

ID yako nyingine ni ipi katika hizo zilizokuwa mentioned? maana hii ya ladyfurahia siioni hapo atii
ilikuwepo hapo juu,nimeshaitoa
 
Nilijua tu ataandika hii sred

Ndio maana jusi nilileta sred ya jinsi ya ku-cope na mwanamme sensitive au emotional
Nitaomba unishauri ili ni-impruvu skills jamani

Biashara matangazo mpenzi. Kama hataki kujitangaza because he is too humble and modest, mi nitamtangaza. Lazima interested parties wamkaribie kwa heshima, he is a rare breed!
Ila kwa wewe ku-apply naomba ufikirie tena coz you are toooo tough. Umeona nilivo sema he is VERY sensitive (very in capital)? you might take advantage of ukarimu wake. lol
 
Nilijua tu ataandika hii sred

Ndio maana jusi nilileta sred ya jinsi ya ku-cope na mwanamme sensitive au emotional
Nitaomba unishauri ili ni-impruvu skills jamani
Unakazi kubwa sana ya ku-compete na King'asti maana I know her determination, akiamua ameamua. But I see you as a best match, ingawa umri ndio hivo tena...
 
Last edited by a moderator:
ni kweli kabisa
Biashara matangazo mpenzi. Kama hataki kujitangaza because he is too humble and modest, mi nitamtangaza. Lazima interested parties wamkaribie kwa heshima, he is a rare breed!
Ila kwa wewe ku-apply naomba ufikirie tena coz you are toooo tough. Umeona nilivo sema he is VERY sensitive (very in capital)? you might take advantage of ukarimu wake. lol
 
Duh! ndio kamind...kweli job true true
Best mie nakutakia kila la kheri kwenye huu mchakato wako, naamini utafanikiwa tu.
Muhimu uzingatie masharti na vigezo.

ilikuwepo hapo juu,nimeshaitoa
 
kwani watu8 hujaona amenimention hapo juu kwenye ukurasa juu ya thread yake kabisa angalia vizuri utaniona
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom