Finally,nimeamua kufunguka....

Naona kama umekosea sehemu ya kufungukia, ungekuja kwenye
White party ndio ungejua umekosea njia..
hapa jf kuna mijimama, mipashkuna, suburi uongeze umri kidogo

Wacha kumkatisha snochet tamaa bwana. Katika hali ya kawaida watoto wa 18 to 22 hawaendi ma white parties yenu huko. watakuja kufanya nini? na nanii atawapa ruhusa? No wonder only mijimama turned up.
 
Last edited by a moderator:
Jamani Asprin, Teamo, Preta, Zion Daughter Bigirita na wengine tumsaidie huyu kijana kupata mpenzi, mbona maneno yenu yanavunja moyo kwa mtu anae tafuta mpenzi.
mkuu wetu kiranja the thing is kwa uzoefu wa mtandao ambao tulio wengi tumeupitia ni vyema sana kumsapoti dogo WITH PRECAUTIONS...ili asije iumiza nafsi yake.....!kwa hiyo ndo maana tunamwekea na baaadhi ya sheria za mambo yeetu yaaaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ili awe anaelewa what is happening....this is the other way of teaching if yuu nooo woooraaaaameeeeen!
 
Wacha kumkatisha snochet tamaa bwana. Katika hali ya kawaida watoto wa 18 to 22 hawaendi ma white parties yenu huko. watakuja kufanya nini? na nanii atawapa ruhusa? No wonder only mijimama turned up.

Ungesema akina mama nisingedoubt nakubali mimi ni mama lkn mijimama!!??? Kweli??! Roulette?!
 
Last edited by a moderator:
Y so bro!u only kip sayin abt mazuri how abt upande wa pili wa shilingi!!Ili 2make a clear judgement!!
 
Hahah...juzi, jana na leo
Wewe ni mpwa wake ODM Asprin ambaye ni mpwa wangu...hivyo automatikale wewe ni mpwa skweadi.

heh!.....kwan we dhaman ulikuwa unatumia aiidii gani?
 
Last edited by a moderator:

inshallah utampata!!!!
 
Hahah...kaka mbona nipo kitambo tu ila hapa JF nilibatizwa February 2010...

Asprin hebu toa muongozo kwa hawa wakuu...

Hawa ndo wale walikuwa wanakuja kukaa kaunta pale kwa mzee wa Unataka nyonyo...wanatuangalia wanaogopa wanatambaa zao.
watu8 mbona unajificha bana!! nini mbaya ariffeyyy!!!
 
Last edited by a moderator:
halaf akija jamvini anajiita mpwa eti......!hahahahahahah!jf laha sana samtaim

Hahah naona msamiati "mpwa" unataka kuleta zogo loh!! haya wakuu ngoja niwaachie nyie wenyewe muendeleze libeneke la kuitana hivyo.
Mpwa Nicas Mtei kuja pande hii tumtafutie best yetu binti wa kuukonga mtima wake...
 
Last edited by a moderator:

Duh!.. Roulette
Hii recommendation inafaa kotekote..kutafutia kazi UN na kuendea ukweni pia...lol
 
Last edited by a moderator:
afadhali amekuja Gwamahala kwani atanisaidia hapo maana naona huyu snochet kaanzisha vagi
 
Last edited by a moderator:
ningekuwa nahitaji ningeshamwambia niko na my husband Mentor kwanini nijichoshe na hako katoto kenye kuvalishwa pampers masaa yote, watu tuna watu siye au we unanionaje mie ha ha haaaaa
Inauma sana mtu anatafuta mwanamke wakati wewe anakuona..lol
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…