Sasa Preta.......sasa bana......haya!
Hahahaha umenikumbusha mbaaaaali sana.
Hii ndio MMU Masalia sasa.
Pasaka njema.....
Sisi wenye mahitaji maalam tumekosa....(some 40+ could have been great)ndio nimegeuza miaka 19 juzi juzi......nahitaji hii ujue......
:nono:preta umesemajeeee?thijakuthikia kabitha ati😛layball:
Zion Daughter hebu kanusha.....i know Asprin sio bazazi.........
Ok...hii nitoe ushiriki! Hakuna taxi....Hahahahahahaa...............Generation Y pambafu zake...!!
Dereva Taxi siku hizi ni mzee wa kurudi mwenyewe kimya kimya.
Mzee ya wivu mwingi naona ameanza kijiachia taratiiibuuu!!!!
Unatakaaaaaaa............Aseeeeee siku hizi Eliza yupo Uwanjani kwenye mdudu choma.
Umemsikia Preta? amesema anataka nini tena???.....hebu fanyeni miundo mbinu jamani.
Jamani Asprin, Teamo, Preta, Zion Daughter Bigirita na wengine tumsaidie huyu kijana kupata mpenzi, mbona maneno yenu yanavunja moyo kwa mtu anae tafuta mpenzi.
Kutafuta mpenzi haiwezi kuwa this serious.....
Asee....wakisema ndiyo unishtue!
Last edited by a moderator: