Finally,nimeamua kufunguka....

halafu wewe.....kwanza na mimi natafuta kidume.....hebu rekebisha hii maneno......
cc: Asprin..... Teamo..... Kimey..... Kaizer.... PakaJimmy..... fidel......@RR......et all.....

Sasa Preta.......sasa bana......haya!
Hahahaha umenikumbusha mbaaaaali sana.

Hii ndio MMU Masalia sasa.

Pasaka njema.....
ndio nimegeuza miaka 19 juzi juzi......nahitaji hii ujue......
Sisi wenye mahitaji maalam tumekosa....(some 40+ could have been great)
preta umesemajeeee?thijakuthikia kabitha ati😛layball:
:nono:
Teamo vipi tena baba! Asprin anakukumbusha nini?!?Siku hizi amekuwa bazazi..
Zion Daughter hebu kanusha.....i know Asprin sio bazazi.........
Ok...hii nitoe ushiriki! Hakuna taxi....
Jamani Asprin, Teamo, Preta, Zion Daughter Bigirita na wengine tumsaidie huyu kijana kupata mpenzi, mbona maneno yenu yanavunja moyo kwa mtu anae tafuta mpenzi.

Kutafuta mpenzi haiwezi kuwa this serious.....
CC: Paloma, amu, Remmy, Madame B,

Eti nyie ni Majimama?

Asee....wakisema ndiyo unishtue!
 
Last edited by a moderator:
afadhali amekuja Gwamahala kwani atanisaidia hapo maana naona huyu snochet kaanzisha vagi

Hivi watambua kuwa kuthubutu kutenda lile uliwazalo kunakupa hatua zaidi moja?
Anyway, am here dadangu sema kijana analeta vagi gani tena? (Ila kajieleza vizuri kweli inaonyesha ana NIA ya dhati).
 
sikutegemea kama maneno haya ungeongea wewe uliyekosa adabu hata kwa mama yako yani unatukosea adabu sis humu ndani wote, hebu tuombe radhi yani wanawake wa jf humu sisi ni mipakashume, mijimama, huna adabu hata kidogo laiti ungekuwa karibu yangu ningekutandika fimbo kumi wewe uliyekosa adabu mwana wa mitaani wwewe hebu omba radhi lasivyo nitakupeleka kwa farao sasa hivi muda si mrefu, jamani wanawake wenzangu mnakubali kutukanwa ovyo humu mjengoni akina Madame B, charminglady, sweetylady, gfsonwin, Mamndenyi, cacico, Zion Daughter tumpe adhabu gani huyu kama ajajirekebisha kwa kutengua kauli yake naunda TUME muda si mrefu
Naona kama umekosea sehemu ya kufungukia, ungekuja kwenye
White party ndio ungejua umekosea njia..
hapa jf kuna mijimama, mipashkuna, suburi uongeze umri kidogo
 
Last edited by a moderator:
umechelewa kidogo si alinimention kwenye thread yake pale juu saana mwanzoni mwa maandishi yake halafu akatoa nikamwambia aweke ajaweka kwani nini ananitafutaa ubaya kiasi hicho mwambie nduguyo aiweke lasivyo nitafundisha adabu mara moja, mwambie sasa hivi kabla sijaunda TUME YA KATIBA KUMJADILI YEYE ASIFIKIRI KUWA MM NASHINDWA NAWEZA TENA SANA hapa
Hivi watambua kuwa kuthubutu kutenda lile uliwazalo kunakupa hatua zaidi moja?
Anyway, am here dadangu sema kijana analeta vagi gani tena? (Ila kajieleza vizuri kweli inaonyesha ana NIA ya dhati).
 

Haina haja ya kumuundia TUME huyo,mi mwenyewe tu namtosha as long as umeshanishtakia dada!
Relax...!
 
@snochet mdogo wangu, naomba kukuuliza swali moja..
Moshi umekosa kabisa wadada wwanaokidhi vigezo vyako au ni kwa sababu uko busy sana kuweza ktembea na kujionea?

Nimeishi Moshi for like 17 years na sidhani kama ni ngumu kukutana na ladies wa hiyo age group na kufahamiana nao kiurahisi zaidi kuliko unavyofanya kupitia Jamii forums.

It's more fun getting to know a lady the natural way you know..kuna MUCCoBS, Mwenge sjui Mweka najua saivi Moshi kuna a lot of colleges...plus town imeendelea sana tofauti na enzi zile. Now kuna Makumba bay, ile garden nshasahau inaitwaje, kuna Mr price, kuna pale ccm mkoa..yani siku hizi kuna a loooot of places ambazo unaweza kukutana na watu wa rika yako bila shida.

I want to know cha zaidi hasa wewe kuja huku...IF YOU DONT MIND THAT IS.

IN OTHER NEWS: Roulette, can I get to know you in person sis??
 
ladyfurahia mtu wa kutuumiza kichwa awe Boflo?
labda aje kivingine, achana naye hana jipya huyo.

 
Last edited by a moderator:

Nimeishi Moshi for like 17 years na sidhani kama ni ngumu kukutana na ladies wa hiyo age group na kufahamiana nao kiurahisi zaidi kuliko unavyofanya kupitia Jamii forums.


Smart and charming introverts...lol
 
mmmhhh sabal kheri kwa malavi davi!!
 
sasa happo mwana umelonga, yeye anatafuta nani atakuwa mtafutwaji hapa mwambie huyo atafute kwa macho si kwa jf cc hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…