ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Why not? Nimekupigia mara mbili kwa voda yangu hupokei (on your 601). Call me back when free. 🙂
@snochet mdogo wangu, naomba kukuuliza swali moja..
Moshi umekosa kabisa wadada wwanaokidhi vigezo vyako au ni kwa sababu uko busy sana kuweza ktembea na kujionea?
Nimeishi Moshi for like 17 years na sidhani kama ni ngumu kukutana na ladies wa hiyo age group na kufahamiana nao kiurahisi zaidi kuliko unavyofanya kupitia Jamii forums.
It's more fun getting to know a lady the natural way you know..kuna MUCCoBS, Mwenge sjui Mweka najua saivi Moshi kuna a lot of colleges...plus town imeendelea sana tofauti na enzi zile. Now kuna Makumba bay, ile garden nshasahau inaitwaje, kuna Mr price, kuna pale ccm mkoa..yani siku hizi kuna a loooot of places ambazo unaweza kukutana na watu wa rika yako bila shida.
I want to know cha zaidi hasa wewe kuja huku...IF YOU DONT MIND THAT IS.
IN OTHER NEWS: Roulette, can I get to know you in person sis??
Haina haja ya kumuundia TUME huyo,mi mwenyewe tu namtosha as long as umeshanishtakia dada!
Relax...!
kaka Mentor,@snochet mdogo wangu, naomba kukuuliza swali moja..
Moshi umekosa kabisa wadada wwanaokidhi vigezo vyako au ni kwa sababu uko busy sana kuweza ktembea na kujionea?
Nimeishi Moshi for like 17 years na sidhani kama ni ngumu kukutana na ladies wa hiyo age group na kufahamiana nao kiurahisi zaidi kuliko unavyofanya kupitia Jamii forums.
It's more fun getting to know a lady the natural way you know..kuna MUCCoBS, Mwenge sjui Mweka najua saivi Moshi kuna a lot of colleges...plus town imeendelea sana tofauti na enzi zile. Now kuna Makumba bay, ile garden nshasahau inaitwaje, kuna Mr price, kuna pale ccm mkoa..yani siku hizi kuna a loooot of places ambazo unaweza kukutana na watu wa rika yako bila shida.
I want to know cha zaidi hasa wewe kuja huku...IF YOU DONT MIND THAT IS.
IN OTHER NEWS: Roulette, can I get to know you in person sis??
kaka Mentor,
George Edward Moore a philosopher amewahi kusema "A man travels the world in search of what he needs and returns home to find it.".....JF is one of my homes(home of great thinkers)......,i am here for that reason.
Hahaha, JF is a family and you are my brother.Oh no bro, u getting it all wrong n twisted...JF is travelling the world for you coz u get to be in Yaeda while still in Moshi...Home, according to the philosopher is Moshi for you.
IN OTHER NEWS: Roulette u got me there!!!:A S shade::shut-mouth:
aisee kwahii cv..namimi nna bebifesi walai naenda kutengeza birth certificate mpya.. Tukishaoana tukitoka kanisani...Ndo namuambia ukweli nna 50's lol...Bytheway nna mdogo wangu kwakweli namshawishi aingie humu .. Ila atamsumbua sijui..maana hajaanza mapenzi na nimtundu sana ila she is a nice girl,cute,fun na bright..19yrs,in college. Uwii hii cv hakianani imenivutia..Mungu akupe wa ubavu wako,amen.snochet ni mdogo wangu na rafiki yangu wa karibu sana. I am sure he will make his friend/girlfriend a happy woman. He is a VERY sensitive person, available and ready to help. He is honest and he holds values that most of us would want to see in a brother/a man. He is moderate in most of his believes and quite open to different thinking. He is curious and tolerant. He is very smart and holds structured arguments in his discussions with me, which makes him one of the best companies I have. Tunapishana kwa dini na siasa but this has never been a problem and far from dividing us it has helped me understand better christianity and Chadema. Likewise, na yeye amegundua mengi kupitia maongezi yetu.Although we don't live in the same town we communicate very often. I really hope he will find a girl who deserves him. Good luck hun, I am sure atajitokeza mmoja atakae meet expectations zako.
seriously Roulette, siku nikiwa natafuta ajira nitakuomba unirecommendie...snochet ni mdogo wangu na rafiki yangu wa karibu sana. I am sure he will make his friend/girlfriend a happy woman. He is a VERY sensitive person, available and ready to help. He is honest and he holds values that most of us would want to see in a brother/a man. He is moderate in most of his believes and quite open to different thinking. He is curious and tolerant. He is very smart and holds structured arguments in his discussions with me, which makes him one of the best companies I have. Tunapishana kwa dini na siasa but this has never been a problem and far from dividing us it has helped me understand better christianity and Chadema. Likewise, na yeye amegundua mengi kupitia maongezi yetu.
Although we don't live in the same town we communicate very often. I really hope he will find a girl who deserves him. Good luck hun, I am sure atajitokeza mmoja atakae meet expectations zako.
aisee kwahii cv..namimi nna bebifesi walai naenda kutengeza birth certificate mpya.. Tukishaoana tukitoka kanisani...Ndo namuambia ukweli nna 50's lol...Bytheway nna mdogo wangu kwakweli namshawishi aingie humu .. Ila atamsumbua sijui..maana hajaanza mapenzi na nimtundu sana ila she is a nice girl,cute,fun na bright..19yrs,in college. Uwii hii cv hakianani imenivutia..Mungu akupe wa ubavu wako,amen.
i wish u all the best mdogo wangu! By the Way.. mimi ni above 22..je naweza kuku PM haha haaaa..
Fanya mpango basi tuwaunganishe hawa wawili, it could be the next best couple in town bwanaaisee kwahii cv..namimi nna bebifesi walai naenda kutengeza birth certificate mpya.. Tukishaoana tukitoka kanisani...Ndo namuambia ukweli nna 50's lol...Bytheway nna mdogo wangu kwakweli namshawishi aingie humu .. Ila atamsumbua sijui..maana hajaanza mapenzi na nimtundu sana ila she is a nice girl,cute,fun na bright..19yrs,in college. Uwii hii cv hakianani imenivutia..Mungu akupe wa ubavu wako,amen.
seriously Roulette, siku nikiwa natafuta ajira nitakuomba unirecommendie...
ningekuwa nahitaji ningeshamwambia niko na my husband Mentor kwanini nijichoshe na hako katoto kenye kuvalishwa pampers masaa yote, watu tuna watu siye au we unanionaje mie ha ha haaaaa
Hahah...kaka mbona nipo kitambo tu ila hapa JF nilibatizwa February 2010...
Asprin hebu toa muongozo kwa hawa wakuu...