Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

Financial Education must address Spiritual, Psychological, Emotional, and Technical aspects of Wealth Management
Mkuu unashindwa kuelewa

Benki sio mama yako

Bank is there to do business na ukifa ni ajali kazini kama zilivyo hospitali unaenda ukiumwa wanapiga hela na ukifa wanapiga hela

Wewe kama unaona kua tajiri unaumia sana acha kaa group la masikini na lalamika vizuri

Serikali,Banks na Matajiri wapo hapa kuwaendesha speed masikini mfanye kazi kwa jasho nchi iendelee

Serikali anaikopesha bank,bank anamkopesha tajiri anabeba dhamana then yeye anakuja kuwasimamia nyie masikini mnapigwa mijeledi uzalishaji ufanyike kwa hali na mali hela irudi apate yeye faida arudishe benki,benki apate interest yake na benki amrudishie BOT with interest

Matajiri mnaowalalamikia nao ni vidampa wa banks tu...na banks ni malaya wa serikali through BOT,mwisho wa yote shetani mkuu ni Benki Kuu yaani BOT maana mzizi wa hela ya kufanyia kazi locally inatoka pale kama mikopo kuja huku commercial banks watu wafanye kazi

Matajiri wanatombwa na mabenki kama wao wanavyowatomba nyie masikini...hakuna mwenye afadhali

Ukitaka kua trully independent uwe na kampuni multinational inayofanya biashara worldwide ndio utakwepa makucha ya shilingi za BOT lakini huwezi kwepa makucha ya Federal Reserve ya United States maana utakua una operate kwa USD huko duniani

Matajiri ni wapumbavu tu kama sisi wengine...japo wao wana afadhali zaidi ya masikini kimfumo
 
Mkuu unashindwa kuelewa

Benki sio mama yako

Bank is there to do business na ukifa ni ajali kazini kama zilivyo hospitali unaenda ukiumwa wanapiga hela na ukifa wanapiga hela

Wewe kama unaona kua tajiri unaumia sana acha kaa group la masikini na lalamika vizuri

Serikali,Banks na Matajiri wapo hapa kuwaendesha speed masikini mfanye kazi kwa jasho nchi iendelee

Serikali anaikopesha bank,bank anamkopesha tajiri anabeba dhamana then yeye anakuja kuwasimamia nyie masikini mnapigwa mijeledi uzalishaji ufanyike kwa hali na mali hela irudi apate yeye faida arudishe benki,benki apate interest yake na benki amrudishie BOT with interest

Matajiri mnaowalalamikia nao ni vidampa wa banks tu...na banks ni malaya wa serikali through BOT,mwisho wa yote shetani mkuu ni Benki Kuu yaani BOT maana mzizi wa hela ya kufanyia kazi locally inatoka pale kama mikopo kuja huku commercial banks watu wafanye kazi

Matajiri wanatombwa na mabenki kama wao wanavyowatomba nyie masikini...hakuna mwenye afadhali

Ukitaka kua trully independent uwe na kampuni multinational inayofanya biashara worldwide ndio utakwepa makucha ya shilingi za BOT lakini huwezi kwepa makucha ya Federal Reserve ya United States maana utakua una operate kwa USD huko duniani

Matajiri ni wapumbavu tu kama sisi wengine...japo wao wana afadhali zaidi ya masikini kimfumo
Uko nje ya Maada kabisa,

Sijasema kwamba watu wasikope na kujua financia education si kwamba mtu asiende kukopa, kukopa kuko pale pale, ila unakopa ukijua unakopa nini. nimetokea.mifano walimu na watumishi wengine mtu anakopa hajui hata riba zina calculatiwa vipi, yeye ameambiwa tu arejeshe miaka kadhaaa.

Elimy ya kifedha haizuii kukopa ila inakufa ujue unacho kopa na ulaghai wa Taasisi za mikopo
 
Kila mtu akiwa mjanja na kila mtu akawa na pesa nani afanye kazi kufanya uzalishaji nchi iende mbele?

Lazima wasiokua na pesa wawepo waajiriwe wajenge huduma na bidhaa nchi iende mbele

Sasa kila mtu awe na pesa,kila mtu awe tajiri,NANI AFANYE KAZI mtaroni nchi iwe safi?

Wasiokua na pesa wawe wengi ili kazi zifanyike nchi izalishe

Matajiri wawe wachache masikini wawe wengi ndio uchumi utafanya kazi otherwise hakuna atakaemuajiri mwenzie nani aende kazi kushika mavi nchi iende mbele?

Matajiri ni carefully selected na uchumi maana ni akili zao na survival of the fittest,nature inawachagua then tuwape resource ya fedha kama mkopo wao wabebe dhamana then waaajiri washenzi kama nyie mfanye kazi uzalishaji ufanyike

Wewe ni masikini huna uwezo wa kua na dhamana ila tajiri tunamtwisha huo mzigo wa dhamana tunampa hiyo hela kama mkopo asimamie uzalishaji kama kiranja,tukifaulu anavuna zaidi yetu na tukifeli anabeba dhamana yeye na wala sio sisi masikini,hivyo kaa kwa kutulia tayari masikini na tajiri tushawachambua kila mmoja kazi yake na wajibu wake na mshahara wake

Kama hamuwezi anzisheni mfumo mpya wa communism which will never work maana nature ya mwanadamu ni selfishness
Financial education ziko kwenye ujamaa? Wazungu ni moja ya watu wenye kiwango cha juu cha financial education, unajibu vitu njie kabisa ya maada.Tatizo la Financual eduction liko third world countries huku, huko kwa mabepari wako full
 
Kila mtu akiwa mjanja na kila mtu akawa na pesa nani afanye kazi kufanya uzalishaji nchi iende mbele?

Lazima wasiokua na pesa wawepo waajiriwe wajenge huduma na bidhaa nchi iende mbele

Sasa kila mtu awe na pesa,kila mtu awe tajiri,NANI AFANYE KAZI mtaroni nchi iwe safi?

Wasiokua na pesa wawe wengi ili kazi zifanyike nchi izalishe

Matajiri wawe wachache masikini wawe wengi ndio uchumi utafanya kazi otherwise hakuna atakaemuajiri mwenzie nani aende kazi kushika mavi nchi iende mbele?

Matajiri ni carefully selected na uchumi maana ni akili zao na survival of the fittest,nature inawachagua then tuwape resource ya fedha kama mkopo wao wabebe dhamana then waaajiri washenzi kama nyie mfanye kazi uzalishaji ufanyike

Wewe ni masikini huna uwezo wa kua na dhamana ila tajiri tunamtwisha huo mzigo wa dhamana tunampa hiyo hela kama mkopo asimamie uzalishaji kama kiranja,tukifaulu anavuna zaidi yetu na tukifeli anabeba dhamana yeye na wala sio sisi masikini,hivyo kaa kwa kutulia tayari masikini na tajiri tushawachambua kila mmoja kazi yake na wajibu wake na mshahara wake

Kama hamuwezi anzisheni mfumo mpya wa communism which will never work maana nature ya mwanadamu ni selfishness
Fimamcia eduction sio kukufanya uwe mjanja wala kukufanya usikope, mkuu uko nje ya maada elewa kwanza hivyo alie kuambia Financia education ni kukufanya usikope ni nani?

Financia education ni kujua sababu za kukopa na matumizi ta mkopo, na terms zingine.

Nchi nyingi wanafundisha haya masomo shuleni kabisa, kwa hio wanawaandaaa raia wao kuwa masikini? Haya ni masomo yanafundishwa mashuleni nchi nyingi. nina Vitabu mfano. ya Financia education ya Zambia wanafundisha kuanzia shule za msingi hadi Secondary.
 
Kila mtu akiwa mjanja na kila mtu akawa na pesa nani afanye kazi kufanya uzalishaji nchi iende mbele?

Lazima wasiokua na pesa wawepo waajiriwe wajenge huduma na bidhaa nchi iende mbele

Sasa kila mtu awe na pesa,kila mtu awe tajiri,NANI AFANYE KAZI mtaroni nchi iwe safi?

Wasiokua na pesa wawe wengi ili kazi zifanyike nchi izalishe

Matajiri wawe wachache masikini wawe wengi ndio uchumi utafanya kazi otherwise hakuna atakaemuajiri mwenzie nani aende kazi kushika mavi nchi iende mbele?

Matajiri ni carefully selected na uchumi maana ni akili zao na survival of the fittest,nature inawachagua then tuwape resource ya fedha kama mkopo wao wabebe dhamana then waaajiri washenzi kama nyie mfanye kazi uzalishaji ufanyike

Wewe ni masikini huna uwezo wa kua na dhamana ila tajiri tunamtwisha huo mzigo wa dhamana tunampa hiyo hela kama mkopo asimamie uzalishaji kama kiranja,tukifaulu anavuna zaidi yetu na tukifeli anabeba dhamana yeye na wala sio sisi masikini,hivyo kaa kwa kutulia tayari masikini na tajiri tushawachambua kila mmoja kazi yake na wajibu wake na mshahara wake

Kama hamuwezi anzisheni mfumo mpya wa communism which will never work maana nature ya mwanadamu ni selfishness
Finanancia eduction ni pana mno, na imebeba mambo mengi sana, hizi ni elimu za lazima kwa Wazungu huko
 
Hizo gharama za ATM haziji tu, kuna makubiano uliyakubali. Again nakuambia, lolote bank wanalofanya kwako bila makubaliano ni fursa kwako.

Nikuulize, hiyo ATM ulipewa bila makubaliano? Wakati unafungua akaunt na kuomba huduma ya kadi, ulisani nyaraka zipi? Zilikuwa zinasemaje?
Nyaraka zipo. Unaambia saini hapa wala hupewi muda wa kusoma nyaraka nzima kujiridhisha na kilichomo. Au wewe uliwahi kupewa nyaraka hizo uendenazo nyumbani ukazisome kabla ya kuzisaini halafu urudi benki kesho yake kuzisaini na kuwakabidhi? Tuelimishe.
 
Nyaraka zipo. Unaambia saini hapa wala hupewi muda wa kusoma nyaraka nzima kujiridhisha na kilichomo.
Mkuu, ukiambiwa saini hapa si unahoji tu nasaini nini?
Au wewe uliwahi kupewa nyaraka hizo uendenazo nyumbani ukazisome kabla ya kuzisaini halafu urudi benki kesho yake kuzisaini na kuwakabidhi? Tuelimishe.
Unaweza kufanya hivi ndio. Unamwambia tu naomba nizisome kabla sijasaini.
 
Kwenye Mkopo kuna kitu kinaitwa Loan Insurance. Hii unailipia pale wakat wa kukopa pesa. Hii inakulinda ww wakat ukishindwa kulipa mkopo. Kwahyo bank wanatakiwa walipwe na hyo insurance na sio kuuza mali zako.
mkuu usijidanganye kwamba insurance italipa mkopo wako endpo uta default no, ni pale ukishindwa kulipa mkopo tokana na matukio ya aidha umepata kilema au umekufa.

Lakini kama una dunda mtaani mali itauzwa tu.
 
Uko nje ya Maada kabisa,

Sijasema kwamba watu wasikope na kujua financia education si kwamba mtu asiende kukopa, kukopa kuko pale pale, ila unakopa ukijua unakopa nini. nimetokea.mifano walimu na watumishi wengine mtu anakopa hajui hata riba zina calculatiwa vipi, yeye ameambiwa tu arejeshe miaka kadhaaa.

Elimy ya kifedha haizuii kukopa ila inakufa ujue unacho kopa na ulaghai wa Taasisi za mikopo
Mkuu

Benki haipo hapa kutoa "Elimu",ipo hapa kufanya biashara

Wewe kutokujua ku-claculate hata riba ni very good for the bank business na sio kazi yake kukuelewesha anything

Walimu na hao wengine wanakopa kwa consumption

Ulaghai wa kmapuni za mikopo mi siuoni...kama wewe unakopa kwa ajili ya consumption kurudisha na riba ni lazima upate shida ndio maana mnapaniki mpaka mnasema ulaghai...hii ni confusion ya mkopaji,hua ni ugonjwa,watakaa sawa tu wakifika level ya acceptance
 
Twende taratibu boss. Kadi yako ni ya akunti aina gani? Ulipofungua hiyo akaunt nyaraka za kufungulia hazikuwa na maelezo kuhusu kadi iwapo utaihitaji?
Hakuna akaunti ianyofunguliwa bila nyaraka na wengi huonyeshwa tu sehemu ya kusaini na mwishowe hawajui vifungo walivyoingia!
Kimsingi unapochapisha bandiko lolote ni vema kulifanya lieleweke kwa kutoa elimu. Ndo sababu tunanunua vitabu na watoto anaenda inavyo shuleni ili wakaelimishwe na walimu. Hoja zako wewe ni kama kusema mtoto ukishamkabidhi kitabu ni jukumu lake kuelewa topics za kwenye kitabu.
Kimsingi benki wanatakiwa watoe elimu kwa mikataba wanayowaandikia wateja. Ndio lengo la mada hii
 
Hakuna akaunti ianyofunguliwa bila nyaraka na wengi huonyeshwa tu sehemu ya kusaini na mwishowe hawajui vifungo walivyoingia!
Kimsingi unapochapisha bandiko lolote ni vema kulifanya lieleweke kwa kutoa elimu. Ndo sababu tunanunua vitabu na watoto anaenda inavyo shuleni ili wakaelimishwe na walimu. Hoja zako wewe ni kama kusema mtoto ukishamkabidhi kitabu ni jukumu lake kuelewa topics za kwenye kitabu.
Kimsingi benki wanatakiwa watoe elimu kwa mikataba wanayowaandikia wateja. Ndio lengo la mada hii
Halafu hii tabia haishii bank tu inaenda mpaka serikalini unakuta kuna mwakilishi wa wananchi kasaini mikataba muhimu hajui kasaini nini. Ujinga ujinga tu.

Tujitahidi kutokuwa kama ng'ombe, unalishwa tu unanenepa hujui kwanini.
 
Mkuu

Benki haipo hapa kutoa "Elimu",ipo hapa kufanya biashara

Wewe kutokujua ku-claculate hata riba ni very good for the bank business na sio kazi yake kukuelewesha anything

Walimu na hao wengine wanakopa kwa consumption

Ulaghai wa kmapuni za mikopo mi siuoni...kama wewe unakopa kwa ajili ya consumption kurudisha na riba ni lazima upate shida ndio maana mnapaniki mpaka mnasema ulaghai...hii ni confusion ya mkopaji,hua ni ugonjwa,watakaa sawa tu wakifika level ya acceptance
Mkuu
Financial education ni muhimu kutolewa na mabenki, kiinachofanyika ni ulagahai unafanywa kwa lengo la kuzifanya benki zipate faida.
Tbl kwenye bia zake kaandika 'hairuhusiwi kuuzwa kwa wenye umri wa Maka 18' unadhani anapenda? TCC kwenye sigara' Uvutaji wa sigara husababisha saratani ' na siku hizi wana picha ya rangi ikionesha pafu la binadamu likiwa limeharibika viibaya kutokana na uvutaji sigara!

Ndo kitu kinajadiliwa hapa, products nyingi za benki ni toxic, walimu ndo wahanga wakuu,
 
walimu ndo wahanga wakuu,
Halafu wanaenda kufundisha watoto.

Hichi kitu unachotaka bank wafanye hakiwezekani. Elimu wanayotoa bank ni general education sababu wao si taasisi ya kutoa elimu ni taasisi ya fedha. Ukitaka elimu ya fedha kuna consultancy firms zinazotoa elimu ya sekta yako. Bank wataajiri wataalam wa sekta ngapi ili watoe elimu kwa wote?

Bank inatengeneza faida kwa kuhifadhi fedha na kuikopesha. Afisa wa bank anaangalia capacity, akiona unayo anakupa offer wewe ndo una wajibu wa kuikubali au kuikataa kulingana na malengo yako. Bank yenyewe ina malengo yake.

Ni ujamaa umetulemaza hivi au ni nini? Tujitahidini watoto wetu wasiwe kama sisi.
 
Halafu wanaenda kufundisha watoto.

Hichi kitu unachotaka bank wafanye hakiwezekani. Elimu wanayotoa bank ni general education sababu wao si taasisi ya kutoa elimu ni taasisi ya fedha. Ukitaka elimu ya fedha kuna consultancy firms zinazotoa elimu ya sekta yako. Bank wataajiri wataalam wa sekta ngapi ili watoe elimu kwa wote?

Bank inatengeneza faida kwa kuhifadhi fedha na kuikopesha. Afisa wa bank anaangalia capacity, akiona unayo anakupa offer wewe ndo una wajibu wa kuikubali au kuikataa kulingana na malengo yako. Bank yenyewe ina malengo yake.

Ni ujamaa umetulemaza hivi au ni nini? Tujitahidini watoto wetu wasiwe kama sisi.
Ujamaa brought us here!! Na vile Mwalm alikumbatia kiswahili kuwa lugha ya taifa ndo kazidi tudumaza.
 
Mabenki wanaweza wapatia wateja wao kila aina ya elimu ila sio Financial educaion, hio hawawezi itoa hata kwa bunduki make wanajua itawakosesha wateja wengi sana.

Na ukweli ni kwamba upigwaji kwenye mikopo ni kwa sababu watu hatuna elimu ya kifedha hilo ndio tatizo, hakuna tatizo jingine. Asilimua kubwa ya wakopaji hawana hio elimu na Mabenki hawataku kabisa watu waipate.

Mtu anakopa ukianza kumuuliza maswali unaona kabisa hapa kuna shida kubwa sana.

Kuna Project moja tulikuwa tunafanya na NGO moja kubwa sana, sasa ikawa inahusu kufanya kazi na Banki moja wapi kubwa sana Tanzania. Project ilihusu pia kutoa elimu ya kifedha kwa wanavikundi then wawe linked na Banki kwa ajili ya Saving na Loan, Sasa kwenye swala la Financial education hapo Benki wakakataa wakasema itolewe tu Financial linkage education na tuachane na Financial education.

Hawakuweka wazi sababu za kukataa Financial education ila tulijua tu sababu ni itaenda kinyume na siri zao za kukopesha.

Kwenye kukosa elimu ya kifedha hapo ndio Mabenki na hizi taasisi zingine zinazo toa mikopo wanako tajirikia. Ukiaona walimu sijui wafanya kazi wanalia lia na mikopo kisa ni Financia education hawakuwa nayo na wangekuwa nayo wange weza hata kughairi kwenda kukopa pesa.

Mabenki wanaweza toa sana elimu za ujasiriamali ila sio elimu ya kifedha.

Ni elimu inayo paswa kutolewa sana kwenye jamii hasa walimu ambao ni wahanga wakuu wa mikopo, shida nani anatoa hio elimu?
Hata fundi umeme naye hataki mwenye nyumba ajue umeme..!! Hii ni law of nature ili tutegemeane
 
Huwezi kuona kwenye Atm, Kuna gharama za miamala!
Zile karatasi zinazotupwa kwenye dust bins benki wameshachaji!!! Laiti kama watu wangejua gharama za kutaka Ile receipt ambayo wanasoma tu balance na kuitupa kwenye bin , wasingeitaka Ile receipt , na benki zingekosa mapato,
Mm siombagi risiti kamwe, nachungulia sim banking tu na pia najizuia san kutuma pesa kutoka bank kwenda mitandao ya sim, makato makubwa mno.. just imagine ukituma elf 3 unakatwa 800
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu unashindwa kuelewa

Benki sio mama yako

Bank is there to do business na ukifa ni ajali kazini kama zilivyo hospitali unaenda ukiumwa wanapiga hela na ukifa wanapiga hela

Wewe kama unaona kua tajiri unaumia sana acha kaa group la masikini na lalamika vizuri

Serikali,Banks na Matajiri wapo hapa kuwaendesha speed masikini mfanye kazi kwa jasho nchi iendelee

Serikali anaikopesha bank,bank anamkopesha tajiri anabeba dhamana then yeye anakuja kuwasimamia nyie masikini mnapigwa mijeledi uzalishaji ufanyike kwa hali na mali hela irudi apate yeye faida arudishe benki,benki apate interest yake na benki amrudishie BOT with interest

Matajiri mnaowalalamikia nao ni vidampa wa banks tu...na banks ni malaya wa serikali through BOT,mwisho wa yote shetani mkuu ni Benki Kuu yaani BOT maana mzizi wa hela ya kufanyia kazi locally inatoka pale kama mikopo kuja huku commercial banks watu wafanye kazi

Matajiri wanatombwa na mabenki kama wao wanavyowatomba nyie masikini...hakuna mwenye afadhali

Ukitaka kua trully independent uwe na kampuni multinational inayofanya biashara worldwide ndio utakwepa makucha ya shilingi za BOT lakini huwezi kwepa makucha ya Federal Reserve ya United States maana utakua una operate kwa USD huko duniani

Matajiri ni wapumbavu tu kama sisi wengine...japo wao wana afadhali zaidi ya masikini kimfumo
Umeongea ukweli ila kwa lugha kali mno. Upo sawa kabisa kuwa ni suala la mfumo na unaanzia top serikalini kupitia BOT.

Hakuna asiye utumikia mfumo wa fedha, Serikali nayo inamikataba ya kifedha ambayo ina gharama.

Mjanja ni yule anayeweza kutumia fedha za wengine akalipa gharama za kuzitumia na akabakiwa na chenji yake.

Mfano umekopa M100 Bank, unatakiwa urudishe M120, gharama nyingine ni M10 jumla M130 halafu ww unatengeneza M150 umerudisha M130 unabakiwa na M20 wewe ni mjanja.
 
Ujamaa brought us here!! Na vile Mwalm alikumbatia kiswahili kuwa lugha ya taifa ndo kazidi tudumaza.
Inawezekana kabisa mkuu. Inabidi tupambane watoto wetu basi wasiangukie huku tulipo.
 
Halafu wanaenda kufundisha watoto.

Hichi kitu unachotaka bank wafanye hakiwezekani. Elimu wanayotoa bank ni general education sababu wao si taasisi ya kutoa elimu ni taasisi ya fedha. Ukitaka elimu ya fedha kuna consultancy firms zinazotoa elimu ya sekta yako. Bank wataajiri wataalam wa sekta ngapi ili watoe elimu kwa wote?

Bank inatengeneza faida kwa kuhifadhi fedha na kuikopesha. Afisa wa bank anaangalia capacity, akiona unayo anakupa offer wewe ndo una wajibu wa kuikubali au kuikataa kulingana na malengo yako. Bank yenyewe ina malengo yake.

Ni ujamaa umetulemaza hivi au ni nini? Tujitahidini watoto wetu wasiwe kama sisi.
consultancy Firm hawatoi elimu ya oesa, elimu ya pesa inapatikana kwa kusoma kama tunavyo soma elimu za Mazingira, Afya, mambo ya Ukimwi na kadhalika. Elimu ya kifedha ni pana sana
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
consultancy Firm hawatoi elimu ya oesa, elimu ya pesa inapatikana kwa kusoma kama tunavyo soma elimu za Mazingira, Afya, mambo ya Ukimwi na kadhalika. Elimu ya kifedha ni pana sana
Upo sawa ila Zipo onsultancy firms za elimu ya fedha boss. Wanakutengenezea na mpango kazi wa miaka kadhaa ukihitaji.
 
Back
Top Bottom