Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #81
I think it depends na mtu;i embrace both whenever they happen
Fine Dining can be lonely smtimes depending na venue..ni nzurii bt u need to be really into eachother esp mkileta habari za candles smwhere secluded mnatizamanaa weee mwishowe mnaanza ambiana uongo oh i see you in my eyes..its obvious dude u aint blind!!
Kula kwny normal joints is normal..mnamingle mara mnaangalia watu mara mechi mara mbebishane ts interactive...na story, kuna music inawadistract kidogo etc
Funny huyo alosema abt using cutlery..jmn be urself ...cutlery and dishes arrangement for whoo..i never follow any rules.,hizo royal family watadeal nazo., i js eat any food i love at the venue..maadam nakula kistaarabu tu standard
Great insight...