Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Ni sawa tu maana ndo taratibuje ni sawa sii sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa tu maana ndo taratibuje ni sawa sii sawa.
Taratibu za wanyonyaji wala kwa kamba au utaratibu wako ndio kubambikia fine iwapo hakuna mlungula.Ni sawa tu maana ndo taratibu
Kwa makosa ya kipuuzi namna hii yanayohatarisha usalama wako na watumiaji wengine wa barabara, lipa tu ndgu yangu.Makosa mawili niliandikiwa kwa siku 4 zilizopita ila leo asubuh nmepita njia ya mwendo kasi wakanidaka wakaniandikia makosa matatu,kupta mwendokasi,mkanda na na speed yamekuwa matano so jumla 150000
Hapo hajambambikiwa ,kachelewa kulipa fineTaratibu za wanyonyaji wala kwa kamba au utaratibu wako ndio kubambikia fine iwapo hakuna mlungula.
askari wanaohusika na usalama barabarani wana changamoto nyingi sana ambazo si za kupendeza lakini kwenye hayo makosa yako inaonyesha kabisa wewe si aina ya mtu mwenye kupenda kutii sheria bila shuruti, hivyo basi namna nzuri ya kuskip hilo deni ni kulilipa na kutorudia makosa ambayo unaweza kuyaepuka.Makosa mawili niliandikiwa kwa siku 4 zilizopita ila leo asubuh nmepita njia ya mwendo kasi wakanidaka wakaniandikia makosa matatu,kupta mwendokasi,mkanda na na speed yamekuwa matano so jumla 150000
Kosa la kujitakia,ulistahili adhabu kama hiyoMakosa mawili niliandikiwa kwa siku 4 zilizopita ila leo asubuh nmepita njia ya mwendo kasi wakanidaka wakaniandikia makosa matatu,kupta mwendokasi,mkanda na na speed yamekuwa matano so jumla 150000
Hawa jamaa n wauaji…Makosa mawili niliandikiwa kwa siku 4 zilizopita ila leo asubuh nmepita njia ya mwendo kasi wakanidaka wakaniandikia makosa matatu,kupta mwendokasi,mkanda na na speed yamekuwa matano so jumla 150000
kasema Hana au kaonyesha ugumu wa kuto kulipa??Sasa huna 150k gari ulinunua la nini?
Soma tenakasema Hana au kaonyesha ugumu wa kuto kulipa??
ame sema Kwa Sasa, means baadae ina wezekana.Soma tena