Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Joeboy,Fireboy,Rema..wote nawasikiliza sana,napenda taste ya muziki wako,ila Fireboy yuko poa zaidi
LTG album ya Fireboy ni moto,Joeboy naye ana balaa..Baby,Beginning,Don't Call Me..hatari
✓Sema nini wazee,hawa artist wa nigeria wataste nzuri ya muziki na unabadilika time after time..bongo taste muziki wetu upo saturated
LTG album ya Fireboy ni moto,Joeboy naye ana balaa..Baby,Beginning,Don't Call Me..hatari
✓Sema nini wazee,hawa artist wa nigeria wataste nzuri ya muziki na unabadilika time after time..bongo taste muziki wetu upo saturated