MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Yeah, Omah Lay.!Omah lay.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, Omah Lay.!Omah lay.
Walishafanya mpaka shooting Zanzibar, naona anaitafutia gap.Anasubiri nini aisee...Au ilikuwa kwenye Kompyuta zilizovunjwa studio kwa S2kizzy
Oky Imagine Mond,Kidayo kwenye Track moja mmmmhWalishafanya mpaka shooting Zanzibar, naona anaitafutia gap.
Umewahi kusikiliza PAMI? Dogo katembea kinoma,Kutembea kwenye ngoma moja na mtu kama Star Boy Wizy sio mchezoYeah, Omah Lay.!
Itakuwa ni vurugu, na yule mwamba anatoa dozi kulingana na ukubwa wa collabo!Oky Imagine Mond,Kidayo kwenye Track moja mmmmh
Nani? Wizy?Itakuwa ni vurugu, na yule mwamba anatoa dozi kulingana na ukubwa wa collabo!
Wizkid msanii wake hatambi, mbona hujamtajaNi kweli maana wakongwe wamewekeza sana kiasi kwamba wamewaajiri hawa madogo; fireboy dml yupo chini ya olamide(ynbl), mayorkun chini ya davido (dmw), rema chini ya don jazzy (marvin) joeboy chini ya mr eazi (empawa)
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Terry--ojoro🔥Wizkid msanii wake hatambi, mbona hujamtaja
Wizkid??
Duh,mkuu umetisha ila dogo kwa Burna boy bado....Mkuu kwa simu yangu nina nyimbo 1902 my most listened song ni za Fireboy DML.
BY the way Burna boy ajipange saana kwa huyu bro wangu.
Hizi nyimbo ni hatari.
God knows, shade, lifestyle, vibration. lazima nizisikilize kila sikuView attachment 1612040
Burna boy kwangu ni utopolo. Ngoma ake nayoikubali ni yawadey pekee ya 2012Duh,mkuu umetisha ila dogo kwa Burna boy bado....
Eti utopolo😂😂😂😂 Wizkid,Davido je???Burna boy kwangu ni utopolo. Ngoma ake nayoikubali ni yawadey pekee ya 2012
Wizkid simfuatilii, kwa upande wa davido hapi ni pengine . Davido nakubali hizi; feel alright, assurance,gobe, fall, fiaEti utopolo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wizkid,Davido je???
Duh humfuatilii Wizkid😀 Haya bhanaWizkid simfuatilii, kwa upande wa davido hapi ni pengine . Davido nakubali hizi; feel alright, assurance,gobe, fall, fia
Habadiliki ana kichwa kigumuDuh humfuatilii Wizkid[emoji3] Haya bhana
Habadiliki wakati humfuatilii😀Habadiliki ana kichwa kigumu
Mwanzoni nilikuwa namsikiliza. Kwa simu angu nina nyimbo ake moja tu ya on top your matter. Baada ya ojuelegba sijaona lolote. Kidogo come closerHabadiliki wakati humfuatilii[emoji3]
SawaMwanzoni nilikuwa namsikiliza. Kwa simu angu nina nyimbo ake moja tu ya on top your matter. Baada ya ojuelegba sijaona lolote. Kidogo come closer