Fireboy, Rema na Joeboy wameibuka kwenye mziki wa Nigeria na wanatamba sana

Fireboy, Rema na Joeboy wameibuka kwenye mziki wa Nigeria na wanatamba sana

Hii ngoma unaweza sahau shida zako ni[emoji91][emoji91][emoji91]
Screenshot_20220106-105211~2.jpg
 
Rema anajua ila ubaya nyimbo zake nyingi kusifia madem tu dogo inaonekana anapenda sana apple, joeboy nmemuelewa Zaid kwenye sip alcohol japo nilikuwaga naskilizaga beginning na baby, Ruger bounce[emoji91], Ckay kaiotea tu love nwanlili(sina hakika kama nimepatia jina) wooote hao hawaingii kwa FIREBOY DML midundo kama what if I say, like I do, God only know, Go way bila kusahau Club banger VIBRATION dem wng analipenda goma mpk tukigombana nampigia simu namsikilizisha tu bila me kuongea mtt anajirudi....

NB:Mchizi hakukosea kujiita FIREBOY maan ni fire kwl
 
Kiwanda cha muziki cha Nigeria kila siku huwa kinazalisha vichwa vipya na vikali balaa,,Wengine hu'maintain but wengine hutoa hit na kupotea...Mfano kuna Olakira, Jay Willz alieimba Medicine, Guchi wa Jennifer, kuna dogo kaimba Bounce yo body, Ayra starr,nk. Wanajua kinoma lakini watakao sustain ni wachache

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Mimi naona kutokuwa na lebel zenye nguvu ndyo tatizo kmaa tungekuwa na lebel nyingi ingekuwa faida ya kutoa vibaji vipya na ingekuwa raisi kusikika
 
Kiwanda cha muziki cha Nigeria kila siku huwa kinazalisha vichwa vipya na vikali balaa,,Wengine hu'maintain but wengine hutoa hit na kupotea...Mfano kuna Olakira, Jay Willz alieimba Medicine, Guchi wa Jennifer, kuna dogo kaimba Bounce yo body, Ayra starr,nk. Wanajua kinoma lakini watakao sustain ni wachache

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Ayra starr kama Tems kwa mbali
 
Leo ni 2022 hakuna collabo yoyote uliyoitaka kwa mariooo
 
Hebu tuwe tunazi upload hapa tunazisikiliza, na mziku mzur unasikilizwa na kifaa kizur je mnatumia vifaa gani kusikiliza?
 
Mi kwa FB ngoma ya vibration iliyonikosha sanaa 2021...ila na huyu JB ngoma ya sip(alcohol)imefanya nimfuatilie kiaina
 
Kuna jamaa anaitwa Chike,huyu mchizi anajua kupitiliza,Melody tamu sana,,sikiliza If you no love,Roju na Running to you ni[emoji95][emoji95]..Aaf kuna Ckay ni Nouma,,Msikilize kwenye Emiliana au Love Nwantiti..Kuna mwengine Anaitwa KiDi katoa hit inaitwa Touch it ni mwisho mazee,,Kuna huyu Mghana nilijua ni Mnigeria anaitwa Ruger anavaaga eye path jichoni,,katoa hit kama Bounce,Dior na Snapchat ni anajua Kimbwa[emoji123][emoji110][emoji110]..

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
JoeBoy ndio mpango mzima;- ngoma kama 'Baby', 'Call', 'Beginning' na 'Don't call me back' nnaweza nikazisikiliza siku nzima bila kuzichoka. Rema naona kama yuko overrated
Hii ni comment yangu ya mwakajuzi, ila bado hawa vijana ndo nawasikiliza sana kutoka Nigeria. List ya ninaowasikiliza sana ni kama ifuatavyo;-


1. Joeboy
2. Fireboy
3. Omah Lay
4. Rema

**Bonus; kuna vijana wapya kama Ckay na Ruger wametokea kunikosha, wakiendeleza moto walionao nitawaongeza kwenye hiyo list
 
Fireboy ni motoooooo saNa sema rema sku hz kama kashuka kdh ila yuk vzr still
 
Back
Top Bottom