First and true love never die...! hii ni kweli??

First and true love never die...! hii ni kweli??

Tasia I

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2010
Posts
1,223
Reaction score
193
JF habari,
Kichwa cha habari kinahusika. jamani mimi sikua naamini hili, mtu wa kwanza kumpenda, na ukipenda kwa dhati,
upendo hua hauishi hata ukija kupata mwingine.
Nimefikia kuandika ili kupata maoni na uzoef wenu pia manake nimefika wakti sasa nashindwa kuamini
kama saikolojia yangu na moyo wangu vipo sawa.
Nilishapenda mara 1 tu kwa dhati. hii ilikua mwaka 2007, hata hivyo sikufanikiwa kua na huyo nilie angukia kwake
manake alikua na mtu tyari. (kaolewa mwezi wa nane mwaka huu).
Lakini pamoja na kurealize na kukubali katika akili na moyo wangu kua nilimpenda ila imeshindikana kua
nae, bado hadi leo me nampenda(kwa sasa ni mke halali wa mtu, kiimani, sheria, na tamaduni)
na ni kama nieshindwa kabisa kupenda tena ingawa natamani sana nipende.
Kiukweli sio kua naumia, ila najiuliza hali kama hii iataendelea hadi lini, na ni ukweli kua sometimes mtu unatamani kua
na mapenzi ya dhati na rasmi.

Hivi jamani hii ndo kusema first true love never die??
 
Binafsi naamini hivyo kwa 100%
 
Mapenzi ya kweli yalishaisha zamani sana!
 
JF habari,
Kichwa cha habari kinahusika. jamani mimi sikua naamini hili, mtu wa kwanza kumpenda, na ukipenda kwa dhati,
upendo hua hauishi hata ukija kupata mwingine.
Nimefikia kuandika ili kupata maoni na uzoef wenu pia manake nimefika wakti sasa nashindwa kuamini
kama saikolojia yangu na moyo wangu vipo sawa.
Nilishapenda mara 1 tu kwa dhati. hii ilikua mwaka 2007, hata hivyo sikufanikiwa kua na huyo nilie angukia kwake
manake alikua na mtu tyari. (kaolewa mwezi wa nane mwaka huu).
Lakini pamoja na kurealize na kukubali katika akili na moyo wangu kua nilimpenda ila imeshindikana kua
nae, bado hadi leo me nampenda(kwa sasa ni mke halali wa mtu, kiimani, sheria, na tamaduni)
na ni kama nieshindwa kabisa kupenda tena ingawa natamani sana nipende.
Kiukweli sio kua naumia, ila najiuliza hali kama hii iataendelea hadi lini, na ni ukweli kua sometimes mtu unatamani kua
na mapenzi ya dhati na rasmi.

Hivi jamani hii ndo kusema first true love never die??

Jipe muda, mwezi wa nane juzi tu, ukipata mwingine utamsahau tu.....
 
sisi kwetu tuna msemo ya kuwa kama, 'kama hujatembea unaweza dhani mama yako ndo anajua pika kuliko wote".
Ukweli ni kwamba kama ulimpenda kwa sababu ya ukarimu basi hujapata bahati ya kukutana na mkarimu zaidi yake, kama ni uzuri vivyo hivyo. Amini unaweza msahau within a week, hapo ni kumuomba Mungu aupe zaidi yake vinginevyo itakuwa ngumu kumsahau.
 
ni wewe tu na mawazo yako ukiamua pata mwingine na mkapendana iiizuri unaweza.
 
Ni mawazo mgando tu,na iman za mapokeo ukipata wa ubavu wako,wala hutakumbuka km ulishawahi kupenda kabla yake!
 
Hamna kupendana sikuhizi,tunahifadhiana na kusaidiana huduma za kimwili tu nani amewaloga nyie kuna mapenzi now days ni kuviziana tu kwenye mioyo.
 
mh... Nafikiri inategemea mliachana vp mi kidume changu ckikumbuki hata robo japo kuwa nilikuwa nampenda sana
 
Nakubaliana kabisa, hicho kitu kinanisumbua pia, tulipotezana, tumeonana wote tuko married na tunashindwa jizuia, lakini tunajitahidi kukaa mbali
 
Roho iloumbwa na mwenyezi Mungu kupenda.... Huweza vunjwa na kusahau lile penzi... Na kujaliwa kupenda tena na Akavunjwa na akapenda tena... Depending on one's stance... Mapenzi hufa... Mapenzi ya kwanza yana bittersweet memories for the simple reason kwamba ndo ulikaribishwa katika ulimwengu wa kupenda....
 
Kunamakala moja ntajitahid kuianda nilisoma mahali nikaipenda sana bila shaka itakuwa msaada kwako, nikimalza kuandaa ntakupm
 
Tatizo wengi mnachanganya first love na first time u had sex.si lazima mtu wako wa kwanza ndie your first love.Wengi tumefanya mapenzi kabla ya kukutana na our first true love.One's first true love always has a special place no matter what happens.
 
JF habari,
Kichwa cha habari kinahusika. jamani mimi sikua naamini hili, mtu wa kwanza kumpenda, na ukipenda kwa dhati,
upendo hua hauishi hata ukija kupata mwingine.
Nimefikia kuandika ili kupata maoni na uzoef wenu pia manake nimefika wakti sasa nashindwa kuamini
kama saikolojia yangu na moyo wangu vipo sawa.
Nilishapenda mara 1 tu kwa dhati. hii ilikua mwaka 2007, hata hivyo sikufanikiwa kua na huyo nilie angukia kwake
manake alikua na mtu tyari. (kaolewa mwezi wa nane mwaka huu).
Lakini pamoja na kurealize na kukubali katika akili na moyo wangu kua nilimpenda ila imeshindikana kua
nae, bado hadi leo me nampenda(kwa sasa ni mke halali wa mtu, kiimani, sheria, na tamaduni)
na ni kama nieshindwa kabisa kupenda tena ingawa natamani sana nipende.
Kiukweli sio kua naumia, ila najiuliza hali kama hii iataendelea hadi lini, na ni ukweli kua sometimes mtu unatamani kua
na mapenzi ya dhati na rasmi.

Hivi jamani hii ndo kusema first true love never die??
Niliyempenda wa kwanza mpaka leo nampenda. Na akirudi na kuniambia ananipenda, ndoa yangu na mama matesha itakuwa hatarini.
 
Back
Top Bottom