Huruma siyo malezi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,433
- 3,210
Hilo la kutoroka kutokana na mazngira kuwa tofauti upande wangu ilibaki kidogo tu nikimbie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaa!! weee jamaa umegonga mulemuleeee! ivovio yaani....kuna majiishangazi yangu hayo asee yana roho mbaya balaa km majichawi vile wkt kila kitu cha babangu!ndugu na jamaa zetu wa karibu huwa hawatupendei mema hasa mashangazi, baba wadogo, na wajomba..siku zote hutunenea mabaya tu ili tuharibikiwe..furaha yao huwa ni kuona umeferi kwenye kila kitu.