McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
nimesoma udom Bsc.ed(chemistry&biology),kiukweli shule pale ipo nahawatanii hatakidogo unacho ongea ww niushuzi mtupu,bila shaka unataka kujifurahisha au uliomba ukatoswa ndio unafanya post defensive mechanism humu kwamaumivu yakukataliwa...nimehimtimu nimeomba kazi nakufanya interview nimepita salama kabisa tena nimewapita hata waliomaliza vyuo vingine ulivyo olewa navyo kifikra,napiga kazi na ninapokea pesa ndefu!ELIMU NI UWEZO SIO CHUO ULICHO SOMA AU CHETI....ukitaka kuamini njoo maofisini nakwenye soko la ajira!usipende kupost vitu ambavyo huna uhakika navyo...
naona umevurugwa kweli, ila hebu nenda kwanza hospitali ukapime akili zako kua ziko vizuri au si makosa yako? Haiwezekan utoe vi2 mtaani afu utuletee upuuzi wako hapa 2ujadili!!!!!!!!!!!!
nani anabisha? Ivi udom ni chuo kinachotoa wataalam kweli? Kama ufaulu wao unaanzia c ya 35 je hapo kunaelimu kweli? Namuuliza rafiki yangu anaye soma udom anasema kudisko udom umetaka mwenyewe yaani labda umechoka kukaa chuoni mana hata usipofikisha 35 ukitoa kidogo kwa mhadhiri unakula maisha safi kabisa.njoo sua huone hiyo c yenyewe inaanzia 50 mpaka rais kikwete anaomba ipungizwe lkn maprofesa wakamtuliza nakumwambia aje afundishe yeye.hiyo education wanavyodisco, wanasoma utafikiri hakuna maisha zaidi ya kusoma, wanafanya operation za wanyama utafikiri wanasoma vertinary medcn,. Mwaka huu asilimia 80 ya walio graduates wamechukuliwa hata kabla hawajamaliza semista ya mwisho, ama kweli nadiriki kusema first class ya udom ni sawa na gentomen ya sua.
vyuo vya kikwete
mimi namtetea ....hajavurugwa wala nini! Labda hajaipresent vizuri post yake kiasi cha wewe kumuelewa. Au labda wewe ulisoma udom ukafaidika na udhaifu huo. Mimi sikusoma sua wala udom nimesoma st augustin lakini namuunga mkono kwa hilo kwamba inabidi elimu yetu iboreshe...i mean tuwe na viwango tusishabikie kijiita umefaulu wakati alama zako ni chini ya 50% ya zinazotakiwa. Laiti vyuo vyote vingekuwa kama sua . Tungekuwa na wasomi bora sana
nani anabisha? ivi udom ni chuo kinachotoa wataalam kweli? kama ufaulu wao unaanzia C ya 35 je hapo kunaelimu kweli? namuuliza rafiki yangu anaye soma udom anasema kudisko udom umetaka mwenyewe yaani labda umechoka kukaa chuoni mana hata usipofikisha 35 ukitoa kidogo kwa mhadhiri unakula maisha safi kabisa.njoo Sua huone hiyo C yenyewe inaanzia 50 mpaka Rais Kikwete anaomba ipungizwe lkn maprofesa wakamtuliza nakumwambia aje afundishe yeye.Hiyo education wanavyodisco, wanasoma utafikiri hakuna maisha zaidi ya kusoma, wanafanya operation za wanyama utafikiri wanasoma vertinary medcn,. mwaka huu asilimia 80 ya walio graduates wamechukuliwa hata kabla hawajamaliza semista ya mwisho, ama kweli nadiriki kusema first class ya udom ni sawa na gentomen ya Sua.
nani anabisha? ivi udom ni chuo kinachotoa wataalam kweli? kama ufaulu wao unaanzia C ya 35 je hapo kunaelimu kweli? namuuliza rafiki yangu anaye soma udom anasema kudisko udom umetaka mwenyewe yaani labda umechoka kukaa chuoni mana hata usipofikisha 35 ukitoa kidogo kwa mhadhiri unakula maisha safi kabisa.njoo Sua huone hiyo C yenyewe inaanzia 50 mpaka Rais Kikwete anaomba ipungizwe lkn maprofesa wakamtuliza nakumwambia aje afundishe yeye.Hiyo education wanavyodisco, wanasoma utafikiri hakuna maisha zaidi ya kusoma, wanafanya operation za wanyama utafikiri wanasoma vertinary medcn,. mwaka huu asilimia 80 ya walio graduates wamechukuliwa hata kabla hawajamaliza semista ya mwisho, ama kweli nadiriki kusema first class ya udom ni sawa na gentomen ya Sua.
Indeed! :smile-big:we unatafuta umaarufu kupitia chuo cha UDOM tu huna jipya.....! krb UDOM coED tukupe info zaid n c kulopoka upate cfa za kisenge. UDOM WE EMBRACING KNOWLEDGE
nani anabisha? ivi udom ni chuo kinachotoa wataalam kweli? kama ufaulu wao unaanzia C ya 35 je hapo kunaelimu kweli? namuuliza rafiki yangu anaye soma udom anasema kudisko udom umetaka mwenyewe yaani labda umechoka kukaa chuoni mana hata usipofikisha 35 ukitoa kidogo kwa mhadhiri unakula maisha safi kabisa.njoo Sua huone hiyo C yenyewe inaanzia 50 mpaka Rais Kikwete anaomba ipungizwe lkn maprofesa wakamtuliza nakumwambia aje afundishe yeye.Hiyo education wanavyodisco, wanasoma utafikiri hakuna maisha zaidi ya kusoma, wanafanya operation za wanyama utafikiri wanasoma vertinary medcn,. mwaka huu asilimia 80 ya walio graduates wamechukuliwa hata kabla hawajamaliza semista ya mwisho, ama kweli nadiriki kusema first class ya udom ni sawa na gentomen ya Sua.
Mnabisha Nini Wakati UDOM ni Full MAUZAUZA? Kina Sifa Mbaya na Mapungufu Mengi tu na Tunapokikosoa Hatukurupuki bali Tunakisaidia ili Kiwe bora na Nikifanyacho au Tukifanyacho hapa ni ktk Kukiboresha na Siku Zote Mtu Mwerevu, Muungwana na Mwenye Hekima na Busara Hukubali Changamoto na Ushauri. Mimi Mwenyewe Sasa Nimeanza MA Yangu Nia na Madhumuni Nikiimaliza Mwaka 2015 Niangalie Uwezekano Wa Kuja Kufundisha hapo Course ambayo Sasa ipo Sokoni Mno. Na hakuna Chuo Kisicho na Changamoto na Matatizo Yake hapa Tanzania ila Tunarekebishana tu na Kuwekana Sawa.