'First Class' ya UDOM ni sawa na 'Gentleman' ya SUA

first class ya UDOM,UDSM unadisco kabisa tena mwaka wa kwanza

Inaonekana mkuu unafanya kazi TCU so ndo mmepanga ivo daah sema nahis mtakuwa vichwa maji ww na TCU wenzio maana mtaala wa udsm na udom ni mmoja sa sielew daah pole sana sema ushauri wangu nenda MILEMBE wanatoa tiba ya matatizo yako kuwa kichwa maj ndan ya masaa 24.
 

Sasa ww umethibitisha kama ni mnafiki maana mi nadhan hujui UDOM ipoje lakn unajitia kudai haina wahadhiri cjui nn wakati sio kweli wala nn SO WW ACHA UNANFKI kwa kusema yasiyo ya kweli kuhusu UDOM sema vzuri maana mnaipandisha UDOM chat bila kujua wanafki wakubwa.
 

We nin usitake kujikosha apa hao sua wamefanya nini et elimu bora wakati KILIMO BADO KWANZA hamna lolote mi naomba tafakari kisha chukua hatua tangu sua ianzishwe kama chuo cha kilimo kimeifikisha wap secta iyo nyeti au uti wa mgongo wa uchumi wetu sio mnakaa kujisifia tu wakti hamna lolote pumbafuu...
 

inaonekana mkuu unakikubali UDOM sema unajitia kama unavunga hv et elimu mbovu hahahahhhahahahhahahahahahhaha
 

Ukikuta mtu kafanya kituko cha ajabu kama kunya kwenye sink la kunawia mikono, kitu cha kwanza kabla hujamlambisha makofi unacheka kwanza kwa sekunde kadhaa ili kupunguza hasira usije ukamung'oa meno ya sebuleni. Huyu dogo sijui yuko mwaka wa ngapi huko anakosoma maana quality ya post yake inaonesha kama hii ni case ya discontinuation, kama bado haja-disco basi hicho chuo ma-professor hawafanyi kazi inayotakiwa, uelewa wake wa mambo ya kawaida naona uko far below average!! Dogo, nakushauri mwaka kesho ujiunge na epiq bongo star search. You seem to be totally uninformed about UDOM lakini unakuja na statistics, this is completely unprofessional kwa mtu anayesoma kwenye a highly reputable university kama SUA, halafu unajiita Sir Mushi!
 
hajavurugwa bali amekandamizwa kiaina na isitoshe asipoangalia atakuwa mental kabisa
Naona umevurugwa kweli, ila hebu nenda kwanza hospitali ukapime akili zako kua ziko vizuri au si makosa yako? Haiwezekan utoe vi2 mtaani afu utuletee upuuzi wako hapa 2ujadili!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

labda wewe ndo uende milembe,mimi naendelea kukimbiza UDSM,ukikua utaacha upumbavu wako
 
Mse*****gee wewe...unatumia makalio kufikiri na kukurupuka bila kuwa na uhakika na unachokipost,,,,una uhakika kuwa C ya udom inaanzia 35????na kuhusu issue ya asilimia 80 ya graduates wamechukuliwa mwaka huu ni ww ndo umewachukua au...acha kupotosha umma wewe,,,jipange
 
Siku zote akili kubwa lazima itawale akili ndogo....review ur post.
 
.........UDOM mbona hakijafunguliwa kwani kuna watu wanasoma pale,mara ujenzi,mara uzinduz....
 
Usilinganishe UDSM, SUA na UDOM. SUA ina maprof kama njugu ikifuatiwa na UDSM. UDOM vijana wa Bachelor ndo ma-Lecturer wa Bachelor wenzao.
 

Iwapo hivyo ndio vigezo vyako ulivyotumia kulinganisha wewe una division 5.
 


*am feel very proud
*collages

Sasa hapo huoni umezidi kuipa hoja ya mleta mada uzito? Lugha yenyewe foul! Next time usilazimishe,tumia kiswahili,sawa wewe mwanaUDOM?
 
Mimi nimemaliza udom so naweza nikasema nakijua kwa mapana kwa tz kila chuo kina mapungufu yake,hata ud pia kina mapungufu yake,udom ndio chuo kipya kulikoni vyote tz kama sijakosea na kimejengwa na serikali so changamoto lazma ziwepo,kwa uelewa wangu changamoto nyingi zinasababishwa na mambo yafuatayo chuo kuendeshwa kisisa kwa mfano principal mwenyekiti wa bodi kuwa wanasiasa,pili udahili wa wanafunzi wengi ambai chuo kinashindwa kuwahudumia haingii akilini darasa moja lets say course ya adminstrtion lina wanafunzi 300 hapo haman elimu ya kweli mwl hujui nani kaelewa nani hajaelewa nani kaja darasani nani hajaja hata utaratibu wa kuendesha semina lazima uwe mgumu mahali amabpo mwanafunzi anaelewa zaidi amabayo hakuelewa darasani tena sometime unakuta somo moja mnashare mnajikuta mnafika mpk wanafunzi buku so kwangu hapa hamna elimu ni kusukuma gurudumu liende,pili coz kuchukua watu wasiostahili mfano coz ya project planning and management hii course ina masomo mengi yanayohusu hesabu obviously lazima mwanafunzi aliyefaulu hesabu ndo asome course kitu ambacho kilikuwa tofauti udom matokeo yake walichukuliwa watu ambao wamemaliza hkl na hgk ambao wengi wao hawajui au wamefeli hesabu so wakawa ni mizigo kwa walimu na kukahitajika kubebana ili wamalize something thats was not right,so nini kifanyike au kimefanyika course ya ppm wanachuliwe wanachukuliwa angalau mtu aliyepata d hesabu o level,na idadi ya wanfunzi imepungua kutoka kudahili wanafunzi 8000 kwa mwaka mmoja mpk wanafunzi 5000 kasoro,as long as chuo ni kichanga i blv wanaendelea kpata experience na kurekebisha walipokuwa wanakosea, ,naomba kuwasilisha
 
ivi udom ni chuo kinachotoa wataalam kweli? kama ufaulu wao unaanzia C ya 35 je hapo kunaelimu kweli?

kozi za Afya (Medicine, Pharmacy, Nursing e.tc) UDOM na kwingine, passmark ya chini ni 50%!
 
Hujui unachokisema we sifuri...passmark ya udom siyo 35....kafanye utafiti upya na cyo unakurupuka...ndo maana jina lako ni visenti na viakili vichache ulivyonavyo havikusaidii....jipangeee
 

nashangaa wanaotakiwa kulalamika ni wana udom sasa hao ambao haya hawajasoma hapo kama si umbea nini?
SUA wenyewe hawana jipya wanafanya utafiti wa majimoto mwaka wa 5 majibu hakuna na wakulima wanaendelea kupata hasara...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…