MREMBO WA AFRIKA
Member
- Feb 6, 2014
- 65
- 17
UDOM ni chuo kinachotoa wataalam kweli? kama ufaulu wao unaanzia C ya 35 je hapo kunaelimu kweli?
Namuuliza rafiki yangu anaye soma UDOM anasema kudisko udom umetaka mwenyewe yaani labda umechoka kukaa chuoni mana hata usipofikisha 35 ukitoa kidogo kwa mhadhiri unakula maisha safi kabisa.
Njoo SUA uone hiyo C yenyewe inaanzia 50 mpaka Rais Kikwete anaomba ipungizwe lakini maprofesa wakamtuliza na kumwambia aje afundishe yeye. Hiyo 'Education' wanavyodisco, wanasoma utafikiri hakuna maisha zaidi ya kusoma, wanafanya operation za wanyama utafikiri wanasoma 'Vertinary medicine'.
Mwaka huu asilimia 80 ya walio graduates wamechukuliwa hata kabla hawajamaliza semista ya mwisho, ama kweli nadiriki kusema first class ya udom ni sawa na gentleman ya SUA.
UDOM ni chuo kilichopoteza muelekeo kwa kiasi kikubwa sana kitaaluma, huwezi kabisa kulinganisha ubora wa SUA na UDOM, Kwanza kabisa ukiangalia katika list ya vyuo 100 bora Afrika SUA ni chuo cha 59 wakati UDOM hakipo kabisa na achilia mbali hakitambuliki kabisa, nashangaa sana mambulura wengi wa UDOM wanavyotetea ujinga na upumbavu wa chuo chao, SUA ni chuo kilichojizolea sifa nyingi sana kitaaluma na pia mchango wake unaonekana katika Taifa
UDOM ni chuo kinachotoa wataalam kweli? kama ufaulu wao unaanzia C ya 35 je hapo kunaelimu kweli?
Namuuliza rafiki yangu anaye soma UDOM anasema kudisko udom umetaka mwenyewe yaani labda umechoka kukaa chuoni mana hata usipofikisha 35 ukitoa kidogo kwa mhadhiri unakula maisha safi kabisa.
Njoo SUA uone hiyo C yenyewe inaanzia 50 mpaka Rais Kikwete anaomba ipungizwe lakini maprofesa wakamtuliza na kumwambia aje afundishe yeye. Hiyo 'Education' wanavyodisco, wanasoma utafikiri hakuna maisha zaidi ya kusoma, wanafanya operation za wanyama utafikiri wanasoma 'Vertinary medicine'.
Mwaka huu asilimia 80 ya walio graduates wamechukuliwa hata kabla hawajamaliza semista ya mwisho, ama kweli nadiriki kusema first class ya udom ni sawa na gentleman ya SUA.