First date;Naomba ushauri wenu.

Niangushe taulo mbele yake?

great thinker
 
Sasa mtu umemtongoza kakubali halaf kasema mtoke bado unataka kulaza damu tu....acheni kujifanya wazungu
Uzungu ndio mzuri. Sasa kama kakukubali ndio siku hiyo hiyo muende kwenye next level? Labda kama hamna mipango mingine
 
Uzungu ndio mzuri. Sasa kama kakukubali ndio siku hiyo hiyo muende kwenye next level? Labda kama hamna mipango mingine

Sasa km umekubali kwann ushindwe kwenda nxt level?..wazungu wenyewe wanakazana
 
Uzungu ndio mzuri. Sasa kama kakukubali ndio siku hiyo hiyo muende kwenye next level? Labda kama hamna mipango mingine
Mipango ipo mkuu lakini kuona ndani muhimu sana kwa kesho

great thinker
 
mpuuzi kweli wewe,
yani 1st date unataka ule mzigo,
utakimbiwa luako....
..
i think kesho itumie vizur kujua mengi kuhusu yeye..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa km umekubali kwann ushindwe kwenda nxt level?..wazungu wenyewe wanakazana
Sijakataa. Lakini kukubali kua tuwe wapenzi haimaanishi ndio siku ya kwanza tufanye.
Sex inaweza leta results positive o negative kwa siku hiyo ya kwanza.
Labda kama mtu Ulikua unamuwinda kwa lengo hilo
 
Sijakataa. Lakini kukubali kua tuwe wapenzi haimaanishi ndio siku ya kwanza tufanye.
Sex inaweza leta results positive o negative kwa siku hiyo ya kwanza.
Labda kama mtu Ulikua unamuwinda kwa lengo hilo

Kama mtu alipanga ale mzigo asepe haijalishi umpe siku ya kwnz au ya 20 ataondoka tu


If ur nt a risk taker basi usimkubalie mtu wakat haupo tayari kuachia mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…