First date;Naomba ushauri wenu.

First date;Naomba ushauri wenu.

Sasa dawa yake unampeleka bar yenye lodge kabisa, unampigisha vyombo na nyamachoma, akianza kolea unamuomba ukampe suprise special, mwambie ni siku nyingi ulitaka umpe ila hatimae muda muafaka umefika...unamvutia room taratibu. Hawezi chomoka hapo, cha msingi hakikisha stori zako ziwe za kumpa bichwa sana tangu mnapoketi hapo kwenye date.
Nimekusoma mkuu hii mbinu sidhani kama atachomoka

great thinker
 
Hakunaga hyo kitu kujitunza,..mi nawakamua sana hawa watoto,tena mi hua nabahatika hawa wapenda dini,wa get kali,walokole,tena wale wasoma masomo kanisani,lakin jinsi nnavyowabandua huwez amin..mwanamke akikupenda hua hana sabab bali nikukupa tuu hata kama hawez kua nawewe lakin ukikomaa anakupa,hata awe sista..ila sio kwa mingo za miaka miwil,huyo kakukubalia kwa sabab fulan,..ts good though ila kua makin atakuendesha hyo
Ni kweli mkuu lakini kuwa wa geti kali,mlokole,msomi injili hakufanyi kuwa sio kicheche,lakini kwa huyu demu wana kibao wamekataliwa mkuu

great thinker
 
Nimekusoma mkuu hii mbinu sidhani kama atachomoka

great thinker
Huyo haruki hapo, utaona atavyokuwa mnyonge mkikutana tu...Labda awe type ya wale wenye kauli kavu ndio atasumbua kidogo. Ila kama mpole mpole washa hio kidude chap!
 
Huyo haruki hapo, utaona atavyokuwa mnyonge mkikutana tu...Labda awe type ya wale wenye kauli kavu ndio atasumbua kidogo. Ila kama mpole mpole washa hio kidude chap!
Nashukuru sana ila kuna member wananikatisha tamaa sana

great thinker
 
Nashukuru sana ila kuna member wananikatisha tamaa sana

great thinker
Usiogope kauli zao, mwanamke ni dhaifu kwa kidume na hakuna mwanamke mwepesi kula kama aliekupa jibu la ndio. Yani kusema nmekubali means we ndio mjanja wake hapo kajitua. Cha msingi kamata akili yake kwa kumpa bichwa sana.
Mi nina experience nishapitia hio stage, kuna chupi mbili nilizikosa kwa kuleta urembo wa sanaa..mmoja nilimtoa nairobi mpk bongo gex kwangu aisee af sikumla akanipotezea mazima.

Mwengine nae alinsumbua kama huyo wako 2 years siku akanionea imani aje kunitunuku akakubali hadi anakuja gex nikapaka hina sikupiga. Akateleza mazima wahuni wakapita nae.

Tangu na hapo sikufanya makosa tena, ushauri fanya vyovyote umle huyo manzi on the first date. Kuna asilimia kubwa amekuonea imani unalialia akupoze machungu, ukizembea anaweza akakudharau maana amekuja akijua utaweka tu!
 
Usiogope kauli zao, mwanamke ni dhaifu kwa kidume na hakuna mwanamke mwepesi kula kama aliekupa jibu la ndio. Yani kusema nmekubali means we ndio mjanja wake hapo kajitua. Cha msingi kamata akili yake kwa kumpa bichwa sana.
Mi nina experience nishapitia hio stage, kuna chupi mbili nilizikosa kwa kuleta urembo wa sanaa..mmoja nilimtoa nairobi mpk bongo gex kwangu aisee af sikumla akanipotezea mazima.

Mwengine nae alinsumbua kama huyo wako 2 years siku akanionea imani aje kunitunuku akakubali hadi anakuja gex nikapaka hina sikupiga. Akateleza mazima wahuni wakapita nae.

Tangu na hapo sikufanya makosa tena, ushauri fanya vyovyote umle huyo manzi on the first date. Kuna asilimia kubwa amekuonea imani unalialia akupoze machungu, ukizembea anaweza akakudharau maana amekuja akijua utaweka tu!
Nimekuelewa mkuu yaani kesho akichomoka akaombe duwa nyumba za ibada

great thinker
 
Back
Top Bottom