Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyuzi za namna hii huwa hazina kichwa wala miguu, yani zipo nyingi kazi kutaja taja majina ya watu pasi na sababu ya msingi.
Amina mkuu, tuko pamoja.Nakukubali sana endelea kutupa madini.
Acha utani wewe basi mbona sijamwona kama admin hapa??Mda mrefu, Kumbe hulijui hilo
Aisee humsomi mwl RCTMkuu mi ni mdau sana jukwaa lile sema huwa sichangii mara kwa mara. Mwenyewe ni IT by profession na nathamini sana mkuu CHIEF MKWAWA anavyojitoa kutatua changamoto mbalimbali za member wenzetu pasipo malipo yoyote yale. Popote ulipo Chief ubarikiwe sana.
Mkuu Chige umenifanya nicheke, hakika una kumbukumbu sana nimekumbuka ulirecomend The last ship pia. Ngoja nifanye mchakato wa zawadiNimekuja kwa kasi sana... si unajua mie ninavyopenda kusifiwa?Oh Lord... this's so beautiful Prishaz, and thanks sana yaani kwa ku-appreciate!!
Sema Malcom unajua nini huyu Prishaz! About 2-3 years ago nili-recommend akaangalie Breaking Bad na akiipenda, itabidi anipe zawadi! Tangia siku hiyo, sijamuona tena... sijui huwa anaandika majukwaa yapi!!!
Acha utani wewe basi mbona sijamwona kama admin hapa??
Naanzaje Prishaz kusahau zawadi??!! Tena umenikumbusha, na The Last Ship kwahiyo ni double gift!!Mkuu Chige umenifanya nicheke, hakika una kumbukumbu sana nimekumbuka ulirecomend The last ship pia. Ngoja nifanye mchakato wa zawadi
Ni double gift lakini zitatofautiana uzito kulingana na uzuri wa movie.Naanzaje Prishaz kusahau zawadi??!! Tena umenikumbusha, na The Last Ship kwahiyo ni double gift!!
Wooow!!!Mkuu Chige umenifanya nicheke, hakika una kumbukumbu sana nimekumbuka ulirecomend The last ship pia. Ngoja nifanye mchakato wa zawadi
Kwahiyo ni zawadi moja unusu, sio?! Kwanza hebu niambie, uliipenda ipi zaidi?!Ni double gift lakini zitatofautiana uzito kulingana na uzuri wa movie.
Zawadi ni mbili siyo moja na nusu ila tu zitatofautiana thamani kidoogo sana maana series zote nilizipenda ila zinazidiana kidogo tu.Kwahiyo ni zawadi moja unusu, sio?! Kwanza hebu niambie, uliipenda ipi zaidi?!